Siri ya kushindwa CCM Arumeru Mashariki

Siri ya kushindwa CCM Arumeru Mashariki

Wananchi wa Arumeru ndio waliopiga kura na hawana ugomvi wa moja kwa moja na Lowassa. Au unamaanisha kuwa kazi ya KUIBA kura ilikuwa ngumu kwa kuwa makada waligomea wizi au walihujumu? Kama suala ni ballots ujue hata ccm wangemuweka Nape kugalagazwa kulikuwa pale pale. Give credit kwa kampeni walizofanya CDM ndio zimeleta ushindi na sio conspiracy.
 
Hayo ni matokeo yaliyotarajiwa na wote wanao soma alama za nyakati. HAKUNA MCHAWI hapo
 
CCM-Chama Cha Mafisadi na Majambazi kimeshindwa kihalali. Hakuna haja ya kutafuta mchawi na kulaumiana. Maana kama ni kulaumiana waanze na Mzee wa Ubinafsishai wa Kila Kitu-Mkapa mwenyewe, Waziri wa Usingizi-Steven Wassira,Meneja Kampeni na Kubaka wake za Watu-Mwigulu Nchemba,Lowassa Richmonduli na Nnape Nauye-Katibu wa Uenezi wa Uongo na Propaganda za Chama Cha Majambazi.

CCM hakika wamevuna walichokipanda kwa miaka 50 iliyopita huko Arumeru East. Hii ni indicator kwamba come GE 2015 wembe ni uleule!

Bravo CHADEMA. Hongereni sana Makamanda wa chama kwa kazi nzuri saaaana.

God bless you all.
Unapozungumzia Makamanda unaitaja CHADEMA tulimtuma Kamanda mmoja ZITTO Kule Mwanza ,Mbeya na Songea kazi imeonekana tunahitaji Nchi iongozwe kwa Sera na nidhamu si muda wakuwaita viongozi wenzio Wajinga nani mjinga kati ya Mkapa na Dr Slaa maana kila anachosema Dr Mafisadi wanaona Ujinga tu,CCM Kaeni na PESA ZENU ZA UFISADI TUACHIENI NCHI YETU WALALAHOI.Hongera CHADEMA
 
habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015

kwani mwanza, songea na kiwira waligombea wakwe wa lowassa
 
Nafikiri muda umefika sasa CCM kujiandaa kuachia utawala wa nchi hii. kwa nini tusifanye mabadiliko kwani ukiangalia CCM nani msafi ndani yake? Inanisikitisha kwani hawana upendo na wala uchungu wa Watanzania wengi tunaoishi kwenye mazingira magumu sana, chakula, umeme, nk.
 
Mnaacha kumlaumu mwenyekiti wenu kwa uongozi goigoi mnakwenda kumlaumu Lowassa; je mkijashindwa huko Segerea bado mtamlaumu huyo mmeru? Kuna haja ya ccm kufanya tathmini ya uongozi wa Kikwete na kuchukua hatua za kurestructure chama kwani hicho sio chama chake na amekikuta hawezi kukihodhi!! Kuna umuhimu wa kutenganisha urais wa nchi na uenyekiti wa ccm ili serikali na chama vipate watu fulltime wa kuviongoza badala ya sasa.Mkiambiwa ukweli kuwa chama kitamfia mikononi mnakimbilia kusema watu wachochezi; ukweli ndio huo kuwa mwenyekiti hana uwezo wa kukiongoza chama yuko kwenye kukusanya mali zaidi.
Mwenyekiti JK Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,endelea kuongozwa na Mafisadi mwisho utauona GE 2015
 
wana Arusha nawapongeza sana kwa mioyo yenu ya ujasiri.Ukomavu wa siasa unaanza kuonekana.Viva Chadema viva Nassary.
 
...wameshindwa kwa kuwa hawapendwi.
...wizi umezidiwa nguvu huko na bado.
 
Ule utitiri wa FFU na Mapesa mengi sana ya kuhonga vyote vilitoka kwa Lowassa??

MATUSI ya nguoni ya Lusinde ni aibuya Lowassa pekee yake?

Mtu mzima Ovyo Mzee Mkapa naye Kajichora ili Edward Lowassa apate aibu??

Tulicho shuhudia Arumeru ni nguvu yote ya Viongozi wa serikali ya CCM na wake zao, Ikiwa ni pamoja na Ikulu kuanza kwa kuhonga ng'ombe, kupiga kampeni kwa nguvu zao zote huku wakifoka mapovu kisha kushindwa vibaya kwa sababu CCM ni muflisi.

Si kweli kwamba CCM wamefurahi kushindwa ingekuwa ni kweli walitaka kushindwa wasingetumia hizo Billions na Ufahari wa magari huko Arumeru.

CCM wameshindwa kwa sababu Kampeni za CHADEMA zilikuwa za kujenga na ukweli kwamba CHADEMA inakubalika Arumeru

habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015
 
sasa nguvu zinaelekezwa segerea,ccm kwisha khabari yake.:rockon::rockon::rockon::yo:
 
habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015
Hakuna cha siri yoyote wala cha Lowassa, CCM kwa ujumla wake haikubaliki. Hata wangemuweka mwingine yeyote wangemwaga tu. Mbona huko kwingine kwenye udiwani bado wamemiminwa???na huko kunamvutano wa makundi???Hebu tuangalie beyond the curtains jamani, tusijinarrow sana in our thinking.
 
habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015


Wakuu turudi nyuma kuna maneno waliyasema Wahenga wetu,Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.hivi mnawakumbuka

hawa wazee KITIME,KADUMA,BUTIKU.walieleza maoni yao juu ya Chama tawala kuwa chama kimepoteza mwelekeo
ila walijiwa juu kuwa si kweli kiko wapi?hawa wazee hakika huwa nawaheshimu hakika katka Chama tawala kuna watu
wapo ila kwa staili hii wameshaona mwelekeo wa chama chao kinako kwenda.walivyo yasema maoni yao walionekana kama wao niwasaliti ninyi badala ya kuwaita na kuwasikiliza kwanini wamesema hivyo mnaanza kuitisha waandishi wa habari na kujibu hoja zisizo na maaana,mngewaita wangewaambia ni kwa nini wanasema hivyo .
 
kimeshindwa kwa sababu ya LOWASA vip kirumba ,kiwira,songea ,lisbon.....nani alisabisha ...shame upon you ssm Be serious on important issues......peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz power
 
habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015
Kwani CCM hawakupeleka TOT, Mwigulu, Mkapa na fedha huko Arumeru?
 
Kama ni kumkomoa Lowasa mgari wa TOT umeenda kufanyaje na nani kawalipa ni lowasa? ccm bwana wanajua sana kubwata.
 
habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015
Wakishindwa hawakosi sababu kama kikwazo ilikuwa ni Lowassa basi sasa ndo wakati muafaka wa kumvua gamba kwani wameshaona kuwa inawezekana ingawa kwangu naona nguvu kubwa ya cdm ndo hasa imewashinda magamba na kwao Lowassa ni mtume hawawezi mtosa
 
sio hilo tu pia sera mbovu za CCM kuendelea na mambo yao ya kuwa na siasa ya kizamani....
 
Walitumia ikulu yetu kumteuwa sioi mungu hapendi ni kinyume na taratibu
 
Back
Top Bottom