Siri ya kushindwa CCM Arumeru Mashariki

Siri ya kushindwa CCM Arumeru Mashariki

Kushindwa kushindwa hakuna cha siri lazima tuwe wakweli Chadema wameshinda wanaitaji pongezi.

Mkuu uliahidi kwenda utupu kutoka Kimara hadi Posta. Sijui saa hizi umefika wapi na matembezi yako? Hakuna mzigo mzito kama kuwa gamba.
 
Siri kubwa ya CCM kushindwa ni wananchi kuichoka kutokana na utawala mbovu wa Jakaya Kikwete na kundi lake la wezi Kikwete amekuwa na kasumba za kunawa lawama kuonekana kiongozi madhubuti kwa kuwafanya wanamtandao wamsifie na kumlaumu Mkapa kuwa alikuwa mwizi wakati na yeye Kikwete ni mwizi mkubwa kupitia Lowassa, William Ngereja na Rostam Azizi. kutokana na pesa za wizi wa kuibia serikali uchumi wa Tanzania umeyumba na kusababisha mfumuko wa bei mkubwa kuliko nchi yeyote ya ukanda wa Afrika Mashariki na kati ukitoa Zimbabwe

Sasas hivi pesa ni ngumu kupatikana na ukiipata haina thamani tofauti na wakati wa Mwinyi ingawa pesa haikuwa na thamani vilevile ilikuwa rahisi kuipata, vivyo hivyo wakati wa Mkapa pesa ilikuwa ngumu kuipata lakini ilikuwa na thamani mara uitiapo mfukoni. Kwa sasa mfumuko wa bei juu, ajira hakuna, uuzaji wa bidhaa nje umepungua, huduma za jamii zimedorola shule hazina madawati, mahospitali hayana dawa, umeme wa mgao kupindukia na mfumo wa maji ya kutumia mbovu. kilichobaki Kikwete kabaki kutaja urefu wa barabara kana kwamba barabara za lami ni muhimu kuliko ajira pia kuwawezesha kiuchumi wananchi.

Kikwete na serikali yake ya kihuni inabidi atambue kuwa bila ajira na kuwawezesha wananchi urefu wa barabara za lami anazojenga hzina thamani ingawa barabara za lami ni muhimu lakini ajira ni ya kwanza kabla ya barabara ya lami maana mtanzania anaweza kuishi kwa barabara zilizopo lakini hawezi kuishi bila ajira
 
Kushindwa kushindwa hakuna cha siri lazima tuwe wakweli Chadema wameshinda wanaitaji pongezi.

Kweli umeonyesha uungwana ritz!

Pole lakini, dawa chungu siku zote huponya haraka.............
 
sio kumkomoa wameshidwa kihalali hakuna kutafuta mchawi......watu wamachokaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!:rockon:


haha haaaaa kula tano... wanatafuta mchawi.. haooooo....!

usicheze na nguvu ya umma bana! pipoooz...:rockon::rockon::rockon::rockon::rockon::rockon::rockon::rockon:
 
wameshindwa kihalali...mbona nape alisema watashinda,je naye alikuwa anamkomoa lowasa, mkapa? wasira? na wengine wengi.......msitafute sababu, ccm ya sasa hataukiipambanisha na gogo ingeshindwa........
 
Wako wapi wale wana-CCM waliotukana na wale waliotumiwa hapa jukwaani kutukana? sijaona hata mmoja, ziko wapi mimba za Chadema alizzisema Lusinde? Wako wapi Mashoga aliowasema Lusinde? Uko wapi uchungu aliousema Lusinde dhidi ya Mbowe? Uko wapi Ubabe wa Lusinde kwa Mzee Slaa kuwa anaweza kumpiga ngumi moja tu? Uko wapi ule ukosefu wa akili ulionyeshwa na viongozi hawa wa CCM??????? Hakika malipo mengine hulipwa hapa hapa
 
Acha waendelee kutifuana na kutafuta mchawi, CDM lets keep on with new plans and strategies towards 2015.
M4C for real.
 
Siyo kweli, CCM ilishachokwa hata kabla ya Arumeru. Walichokuwa wanafanya ni kuiba kura
mbinu ambazo zinafahamika sasa.
 
Tunajua kwenye mpira kuna kipenga cha kwanza na cha mwisho lkn lazma tuwe wakweli ccm wamechoka hawana sera zaidi ya matusi na hawatetei wananchi kabisa kwa vile wananchi wako hoi kabisa hawana kitu ndani ya miaka 50 bado mambo ni yaleyale. Wasubiri kiboko chao 2015.
 
Arumeru ni ushindi mkubwa sana kwa CCM kwa mwenye uelewa!
 
Nyie mnao tafuta mchawi kwa kushindwa kwa ccm mnaidanganya maana watu sio wajinga wanapima na wameona ccm haina jipya. Kusema eti ni vita ya makundi ndo sababu ya kushindwa ni kuwadhalilisha watu wa arumeru kuwa hawana akili.
 
Kama wao CCM waliamua kukampeni kwa matusi wana Arumeru wamewajibu kwa matusi makubwa ya kutowapa kura (My take - ulitukana ili upewe kura, lakini hukupewa!!! hayo ni matusi maradufu!!!)
 
Nakumbuka maneno ya Ben Mkapa kuwa mnataka kuchagua amani au maandamano,kama ni amani mchagueni sioi,najiuliza mbona chadema imeshinda amani ipo nimeona ffu wanaondoka kimyakimya,siku zote nasemaga haki huwezi iba hata siku moja,na vita inapotokea sehemu ni kwamba haki imenyimwa haki yake.piiiiiiiiiiiiiiiipooooooooooooo?????????????tumalizie kwa pamoja''''''''''
 
Nasari hajaishinda tu sisiem, pia taasisi za serikali zilizokuwa zinasimamia uchaguzi arumeru kuanzia polisi, ofisi ya tendwa, nec etc
 
Hapo sijawaelwa wakuu kwani vipi na Mwanza,Mbeye na Songea ,matokeo ya Udiwani nayo walikuwa wanamkomoa LOWASSA?najua wamagamba wanataka kuitumia hiyo kama propaganda kwa ajili ya way forward kusudi waendelee kujikomba kwa wananchi kuwa wanamkomoa Lowasa.Lakini ukweli halisi ni kuwa CCM kushnei wapo muchwari wanasubiri ndugu na jamaa waje kuchukua maiti yano 2015 wakazike, bora Nape mwenzao amestuka mapema ameanza kuyatembelea makaburi
 
Wapi vuvuzela Nape Nnauye? Kiiiiiiimyyyyyyyyyyyyyaaaaaaaaaaaa!:rockon:
 
Nasari hajaishinda tu sisiem, pia taasisi za serikali zilizokuwa zinasimamia uchaguzi arumeru kuanzia polisi, ofisi ya tendwa, nec etc

Bila kusahau pia ni ushindi dhidi ya wazee wa kishiri.
 
Watanzania mbona tunakuwa kama mazezete hivi nchi yenye miaka 50 kama tanzania matatizo yote haya tunawasukumia watu watatu hii ni akili kweli? Tatizo ni CCM yote! Na msiwafanye watu wa Arumeru kuwa hawalijui hilo, wamepiga kura wakitambua kuwa CCM Impoteza dira na wala si kwa ajili ya Lowassa, wana CDM wote tupinge propaganda hizi kwa nguvu zote ambazo zinalenga kukisafisha CCM na kusingle out watu ili chama kionekane safi. A LUTA CONTINUA!!
 
Afadhali sasa watanzania wameanza kuona usiku usiku na machana mchana safi sana arumeru tukiendelea hizi ccm na ubabe na uwizi na uongo na unyonyaji wote utakwisha.
CDM oye oye oye
 
hehehe hayo maneno ya kujipa moyo tu ionekane chadema haijafanya kazi...ukweli ni kwamba ccm imezeeka haina nguvu tena..hakuna cha lowasa wala nini...hata mngemsimamisha jakaya kikwete chadema ingechukua jimbo
 
Back
Top Bottom