habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa ccm imeshindwa uchaguzi wa arumeru mashariki,ni kutokana na mvutano mkubwa unaoendelea katika kile kinachoitwa kujivua gamba.Kubwa ni kumkomoa Lowasa na jeuri yake ya pesa na ubishi wake wa kulazimisha mkwewe sioi sumari awe mgombea wa ccm,japo kamati kuu ilimkataa.Taarifa ni kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa ccm wamefurahi kuanguka kwa ccm huko arumeru,wakidai ni anguko la Lowasa na matumizi ya fedha nyingi kuelekea uchaguzi 2015
Arumeru ni ushindi mkubwa sana kwa CCM kwa mwenye uelewa!
Nakubaliana na wewe kwa 100%.Madhara ya utawala wa ccm hasa baada ya Nyerere kwa nchi hii ni makubwa sana na itachukua muda mrefu sana kuyarekebisha.Umenena mkuu! Sijui ni kwa nini watu wanashindwa kuona ukweli kuwa ccm imeshachokwa na muhimu zaidi ni kuwa inaboronga kwa kila jambo la maana!
Kirumba, Kiwira na Lisbon wamemkmoa nani? CCM kimeshindwa na wala si kwa sababu ya Lowassa.
siyo anguko la lowasa tu ni anguko la CCM na serikikali yake yake mbona serikali yote ilihamia kule kufanya kampeni?
Arumeru ni ushindi mkubwa sana kwa CCM kwa mwenye uelewa!