Nani atatungoza sasa? manake wote waliobaki mara utasikia wanamiliki makasino, mara utasikia wameasi kanisa na kukaa na vimada. JK kaza mwendo achana na hawa walevi na wazinzi
Haya lile kundi lenye upeo mdogo wa kufikiri na kutafakari mmeshatupiwa uongo. jadilini.
sema unatuwakilishia mawazo yako, na sio siri nzito! sasa wewe mwenyewe ulieleta huu uzi kweli we unaona hii ni siri? kuna siri gani sasa hapa, ivi unajua maana ya siri nzito wewe? hiki ni kitu ambacho mtanzania yoyote kwa sasa anaweza kukifikiria tu hata mtoto wa darasa la saba anaweza fikiria hili.
Katika kile kinachoelezwa kushindwa kwa mbinu za kuidhoofisha CHADEMA sasa viongozi wa juu wa chama wanahaha kuangalia mbinu ipi itumike baada ya kuumbuka kwa kifo cha mwandishi wa habari. Mwanachama mmoja ambaye hakutaka jina lake litejwe, anaelezea kuwa CHADEMA na mpasuko ndani ya CCM ni moja ya mambo ambayo yanawanyima usingizi viongozi wa juu wa CCM. Katika nyakati tofauti, kada wa CCM alisema, ndugu yangu ndani ya chama changu cha CCM kuna watu wana roho ngumu, baada ya kutumia mbinu ya ukanda na udini kushindwa wakahamua kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA. Kada huyo aliendelea kusema, jambo ambalo limeshitua CCM ni kwa ambavyo CHADEMA imekuwa ikikubalika hadi maeneo ambayo CCM walidhania propaganda ya udini imeingia. Kibaya zaidi, baada ya CCM kutekeleza amri ya kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA lakini bado watu wanalaumu serikali ya CCM na polisi na si CHADEMA kama ambavyo walitarajia, kuonesha kuwa mbinu hiyo imeshindikana. Kwa sasa viongozi wa juu wa CCM wanajadiriana kuhusu mbinu mpya au waendelee na mauaji, hali si shwari ndani ya chama
Tundu Lissu naye alishtuliwa na mabandiko yetu humu JF. Idumu sana JF.Lakini yote tisa hili la NGURI TUNDNU LISSU kudhalilisha tume ya waziri nchimbi, kumbe wizarani hakuna wanasheria wa kumshauri waziri au wapo ila ni vilaza????
Haya lile kundi lenye upeo mdogo wa kufikiri na kutafakari mmeshatupiwa uongo. jadilini.
kuna watu humu jukwaani wana arage na ukweli.pole sana ila ipo siku utapona.Haya lile kundi lenye upeo mdogo wa kufikiri na kutafakari mmeshatupiwa uongo. jadilini.
sipati picha chadema ikichukua nchi wakuu wote wa mikoa, wilaya, IGP, maRPC, RCO's
makatibu wakuu wa wizara, mawaziri wa JK na wabunge wote wa CCM sijui watakimbilia wapi,
wanafanya kila mbinu CCM waibe kura wazidi kubaki madarakani
msishangae kauli ya RPC wa Iringa ni wazi alitumwa kuua kwani magamba hawana pa kukimbilia
hawalali usingizi. nawashauri CUF,NCCCR,ADC unganeni na chadema mchukuec nchi ingawa hata wakikataa chadema ina uwezo mkubwa wa kuchukua nchi bila msaada wao.
Haya lile kundi lenye upeo mdogo wa kufikiri na kutafakari mmeshatupiwa uongo. jadilini.
Haya lile kundi lenye upeo mdogo wa kufikiri na kutafakari mmeshatupiwa uongo. jadilini.
Tundu Lissu naye alishtuliwa na mabandiko yetu humu JF. Idumu sana JF.