Siri nzito ndani ya CCM

Siri nzito ndani ya CCM

Waendelee kuua kwani ipo siku watasimama mbele ya Mungu kuulizwa kwa nini waliua na sidhani kama watamridhisha Mungu kwa sababu Mungu amekwisha ifuta CCM ila wao ndo wanajilazimisha. WatZ nao wameshaikataa CCM
 
Wajaribu wao kujilipua wafe watafanikiwa labda uongo huo utapata mashiko lakini kwa sasa bado
 
Katika kile kinachoelezwa kushindwa kwa mbinu za kuidhoofisha CHADEMA sasa viongozi wa juu wa chama wanahaha kuangalia mbinu ipi itumike baada ya kuumbuka kwa kifo cha mwandishi wa habari. Mwanachama mmoja ambaye hakutaka jina lake litejwe, anaelezea kuwa CHADEMA na mpasuko ndani ya CCM ni moja ya mambo ambayo yanawanyima usingizi viongozi wa juu wa CCM. Katika nyakati tofauti, kada wa CCM alisema, ndugu yangu ndani ya chama changu cha CCM kuna watu wana roho ngumu, baada ya kutumia mbinu ya ukanda na udini kushindwa wakahamua kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA. Kada huyo aliendelea kusema, jambo ambalo limeshitua CCM ni kwa ambavyo CHADEMA imekuwa ikikubalika hadi maeneo ambayo CCM walidhania propaganda ya udini imeingia. Kibaya zaidi, baada ya CCM kutekeleza amri ya kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA lakini bado watu wanalaumu serikali ya CCM na polisi na si CHADEMA kama ambavyo walitarajia, kuonesha kuwa mbinu hiyo imeshindikana. Kwa sasa viongozi wa juu wa CCM wanajadiriana kuhusu mbinu mpya au waendelee na mauaji, hali si shwari ndani ya chama

Je huyo watayemuua kila mkutano wa CHADEMA watahakikishaje kuwa siyo mfuasi wa CCM??
 
Nani atatungoza sasa? manake wote waliobaki mara utasikia wanamiliki makasino, mara utasikia wameasi kanisa na kukaa na vimada. JK kaza mwendo achana na hawa walevi na wazinzi

akaze mwendo kuwauwa raia ambao hawana hatia???
 
Nani atatungoza sasa? manake wote waliobaki mara utasikia wanamiliki makasino, mara utasikia wameasi kanisa na kukaa na vimada. JK kaza mwendo achana na hawa walevi na wazinzi


Mkuu Mamaisara, Dah??.. Hapa ndipo naposhindwa kuelewa yaani tuko radhi kuendelea na maisha ya tabu, mfumo mzima usioeleweka,
-Elimu duni-aliyemaliza darasa la saba asiyejua kuandika wala kusoma(sijui walew alio acha shule, kufeli, kurudia),
majengo bila waalimu, wanafunzi wa elimu ya juu kuhangaikia mikopo kwa gharama, lakini hata kucheleweshewa
kama desturi.
-Huduma za Afya mbovu -Vifaa vya kutendea kazi, madawa, vitanda, wataalamu wachache.

-Kilimo cha jembe la mkono,

-Wana Usalama (Polisi, n.k) kuhatarisha Usalama wa walewale wanaowalinda'

-Hali ya Ndani ya Nchi ikiwa haina amani. lakini nje ya nchi tujlikane ni kisiwa cha "amani"

-Viwanda vilivyokufa, badala ya kufufuliwa na wananchi kuajiriwa hata kama ni kwa ujira mdogo kwa kuanzia,

-Madini ingawa Tanzanite hupatikana nchini tu, duniani kote, bado tunakuwa ni nchi ya nne katika uuzaji wake, achilia
mbali madini mengi kwenda nje.

-Biashara-Wananchi wasio na uwezo mkubwa, kunyanyaswa, Ushuru mkubwa.

-Utalii-Wanyama kutoroshwa kwenda nje nasisi kufumbia macho, Nchi yenye kuwepo katika maajabu ya dunia lakini
kushindwa kuendeleza na kutangaza hata hili.

-Usafirishaji,Bandari-rushwa iliyojaa kila kona?

-Nishati-Kuwepo kwa Mabwawa, maporomoko, ma-Ziwa, Gesi, Makaa ya mawe, Vyura wa Kihansi, Upepo n.k lakini bado Nchi kukosa umeme, na wanao upata yaani chini ya asilimia asilimia(40%) ni kwa mashaka..lini miaka mitatu
mfululizo uliwahi kupata umeme wa uhakika?

-Miundombinu-Barabara zisizo fikika muda wote, isipokuwa wakati wa kampeni wakihitaji kura.

-Ajira na Kazi:Vijana lukuki wanaomaliza elimu yao ya juu na kukosa kazi, kwa vigezo vya kutokuwa na uzoefu na hivyo
wazee kubaki makazini hata kamamuda wa kustaafu umeshazidi, huongezewa mkataba, badala ya kuwaajiri
vijana ili moja wapate huo uzoefu, pili kuanza kulipa deni la mkopo alilokopeshwa nahivyokupunguza mzigo
kwa serikali, na kusaidia katika kusomesha vijana wengine, na mwisho vijana ndio population kubwa nchini,
projection ya miaka 15-20 ijayosijui kama wazee walio makazini watakuwa bado wako kazini-Hivyo Taifa
kuwana Watumishi wengi wasio na uzoefu-AMBAO WANGEUPATA SASA!

-Utawala bora-Usiotaka kujali wale walio waweka madarakani, wenye kuachia wizi, ubadhirifu unaothibitika kila leo na
kuwaacha kuwa viongozi.


Mkuu,haya ni baadhi ya mambo yanayoweza kubadilika, ila uko radhi KUENDELEA na haya Simply bse ya WOGA wa kutaka kujaribu kitu kipya, ..kusema kwamba wana makasino, ukasisi n.k..Believe me Mkuu, this is the reason why there are no heroes in the world because at the end of the day people envy them, wait for them to screw up..!!
Kwangu mimi kiongozi haijalishi ana mapungufu gani as long as anaweza kujaribu kufikisha watu mahali fulani, my point is (kuna mapungufu yanayobebeka..mfano mzuri ni wa hayo uliyoyataja.)
 
Sasa ni dhahiri nchi imemshinda rais JK na soon or later tutaona mambo ya ajabu ajabu zaidi kwenye chama hiki
 
Mhhhhhh!!!!!!!!!!! njia ni Rahisi .Amwambie JK atimize ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania ikiwemo meli mbadala ya MV BUKOBA maana hata MV Victoria imepaki.


It's too late muda iliobakia haumruhusu mutinies Hata robo ya maisha bora na ukizingatia Hazina kuna coins coins tuu kilichobakia Ni liwalo na liwe ili amuachie wakati mgumu mgombea wa gamba ajae maana JK Hana cha kupoteza Labda the Hague tuu
 
Badala YA KUUMIZA KICHWA JINSI YA KUPAMBANA NA UMASKINI WA WATANZANIA WAO WANAUMIZA KICHWA JINSI YA KUUWA WATU KWELI HAIJI AKILINI KABISA,WEWE UMEAHIDI AHADI TEKELEZA UONE KAMA UTACHUKIWA,MBONA NDANI YA CCM KUNA WATU WANAOPENDWA TU NA BADO NYOTA YAO INANGAA HAWANA SHIDA,TATIZO LINAKUJA KWA WALE WENYE UROHO WA MADARAKA NA HUKU AHADI HAWATEKELEZI WANACHUMIA TUMBO LAO TU,WANAFURAHI WAO WANAPATA MILO SITA KWA SIKU MIMI/WEWE UNAPATA MLO MMOJA KWA SIKU TENA KWA BAHATI.MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Katika kile kinachoelezwa kushindwa kwa mbinu za kuidhoofisha CHADEMA sasa viongozi wa juu wa chama wanahaha kuangalia mbinu ipi itumike baada ya kuumbuka kwa kifo cha mwandishi wa habari.

Mwanachama mmoja ambaye hakutaka jina lake litajwe, anaelezea kuwa CHADEMA na mpasuko ndani ya CCM ni moja ya mambo ambayo yanawanyima usingizi viongozi wa juu wa CCM. Katika nyakati tofauti, kada wa CCM alisema, ndugu yangu ndani ya chama changu cha CCM kuna watu wana roho ngumu, baada ya kutumia mbinu ya ukanda na udini kushindwa wakahamua kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA.

Kada huyo aliendelea kusema, jambo ambalo limeshitua CCM ni kwa ambavyo CHADEMA imekuwa ikikubalika hadi maeneo ambayo CCM walidhania propaganda ya udini imeingia. Kibaya zaidi, baada ya CCM kutekeleza amri ya kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA lakini bado watu wanalaumu serikali ya CCM na polisi na si CHADEMA kama ambavyo walitarajia, kuonesha kuwa mbinu hiyo imeshindikana.

Kwa sasa viongozi wa juu wa CCM wanajadiriana kuhusu mbinu mpya au waendelee na mauaji, hali si shwari ndani ya chama


HII NI KWELI au pia wewe ni SHABIKI WA UDINI? SIAMINI MTU KUANDIKA UDINI kama MPANGO WA CHAMA TAWALA na

MNAFURAHIA!!! MKO WAPI WATANZANIA???? BADALA YA KUKEMEA? SASA hao VIONGOZI wa CCM wanajua fika

wanatumia DINI ili kujiimarisha lakini pia wanaivuja NCHI? KWA UTAMU WA KUTAWALA?

Umejiunga August 12th 2012... Hauna SOURCE; Lakini Unatupa UDINI CCM inasema Imeshindwa??? Unajuaje Wameshindwa???

Juzi tu Mh. January Makamba kasema hataki kusikia Vyama Vya Upinzani vinaingia Mkoa wa Tanga; Na Unajua Chadema walisema

Baada ya IRINGA wangeenda TANGA... Sasa hapo Wapi CCM wameshindwa Tanga 70% ni Waislamu; logistically January Makamba

ameongelea Kiubabe.... jamani TUACHANE NA HAYA MAMBO... UDINI MABAYA; UDINI MBAYA hakuna MSHINDI

tunahitaji hekima na kuelewana... hakuna USHINDI...
 
Mmh hili suala linawezekana na Think tank wa CCM wamekwisha, fikra zao na mbinu zao ni nyepesi sana. Tazama ya Ulimboka, majibu ya uchunguzi wa mateso yake, mbinu za Nnape kuchafua CDM na mengine. Hizo zote fikra mgando za wana CCM. Kwa msingi huu, hii mbinu ni sahihi.
 
Umeoteshwa au?

kinacho nisikitisha ni kuwa watu wengi wana mapenzi ya upofu na cdm, ikiletwa habari nzuri yoyote ya cdm wanashangilia bila hata kuuliza chanzo, the same na inapoletwa habari mbaya ya serekali.
Huo ni ulimbukeni na upofu uliopindukia.
 
Hivi hizi kahawa za sikuhizi sijui wanachanganya na nini?
 
Mungu keshaiwashia Chadema taa ya kijani kwahiyo shetani ccm hata afanye nini mwisho wake umefika.
Watapanga mipango na mbinu za kila aina na namna lakini mwisho wa siku wananchi wameamua wao na Chadema yao.

Ndio maana kila wakipanga kuidhoofisha Chadema wanaishia kuadhirika wao wenyewe.
 
Je ziara ya Mbowe USA, na Kikwete kumpeleka Diamond kuna walakini.. kwamba vijana wengi hapa USA waende kwa diamond na watose M4C?
 
Back
Top Bottom