Siri nzito ndani ya CCM

Siri nzito ndani ya CCM

Mbona Mbinu rahisi hawataki kuitumia? Wamwambie JK alihutubie taifa tu atangaze kwamba Nchi imemshinda/Imewashinda na wanawakabidhi watu wenye akili ili waiongoze ambao wanapatikana Chadema tu.

Nakumbuka hotuba ya Mhe.Msigwa aliyotoa Bungeni wakati wa kuchangia hotuba ya Bajeti. Alisema kwamba tatizo tulilonalo Tanzania kwa sasa ni KURUHUSU AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA,which is very true. CCM kumejaa magalasha kama ya karata,mijitu ambayo inafikiri au inadhani kuwa ina akili kichwani kumbe kumejaza makamasi! Shame on you CCM guys!!!

Mtu yeyote anajua kabisa kunapotokea issue to be discussed sikiliza kwa makini hoja za kutoka hizi pande 2 kati ya CCM na CHADEMA,hoja ya CDM zinaonekana dhahiri kuwa na mashiko hata kwa mtu ambaye hajaenda shule. Lakini ukija kwa hawa jamaa zetu wa CCM hoja zao zimejaa ufisadi,unafiki,uongo,ushabiki,ukereketwa,ufurukutwa,sijui mikukuta,mikurabita na ujinga mwingine wowote unaoufahamu!

CCM at this material time of M4C,they have nothing to do . Lazima wakubaliane na hali halisi. Watanzania wa sasa wameshaamua kwamba enough is enough lazima waone uongozi mwingine ukikaa pale juu ili kuleta mabadiliko. Hii ndiyo maana ya Demokrasia ya Vyama vingi.

Nenda kule USA kwa Barack Obama, the most super power and economicaly stable, it's either Democratic Party this term or Republican Party next term,No fighting,No bullets and No nothing! Ni swala la kubadilishana sera tu na kuona ni nani ana sera mbadala ya kusukuma maendeleo ya Taifa na Watu wake kusonga mbele bila ya kuangalia itikadi za udini,ukabila,uanachama au ukoo! Tunataka sera mbadala. Sera za CCM tumeshaziona for all these 50+ years. Wameweza walichoweza kufanya. Tunataka sasa na wengine nao wajaribu for some time. Wakishindwa tutawatoa tu si kwa mabavu,mabunduki,mabomu wala sumu!

Sanduku la KURA ndiyo mwamuzi! We gonna use a BALLOT BOX not a LIVE BULLET. Kwa CCM kuendelea kung'ang'ania kukalia The highest office in this country ilhali mambo yamewashinda ni kutafuta balaa na majanga ambayo matokeo yake ni Mungu tu anayejua!!!
 
Kwa kauli zilizotolewa na Nape na Msajili wa Vyama ni dhahiri kwamba kuna mkakati kweli wa kuihusisha CHADEMA na mauaji ili hatimaye idhibitiwe kisheria. Namshangaa sana kijana Nape kujiweka kwenye upande mbaya siasa zinapofikishwa kwenye mauaji ya binadamu bila kujali maisha yake ya baadaye.

Angejitafakari hatma yake angejua kuwa huo si mstari wa kuvukwa. Acha wauaji wafanye uovu wao na wabebe mzigo wao wenyewe. Damu ya mtu haifanyiwi mzaha na doa lake halifutiki kirahisi. Unapojaribu kuwakingia kifua kwa kusema uongo ujue umejiunga nao.

Nadhani mtu yeyote hata ndani ya CCM kwenyewe mwenye dhamiri iliyokamilika hawezi kusimamia uovu wa aina hiyo eti kwa ajili ya kukipigania chama! Ni wakati ambapo wenye chama chao waseme "stop!" na kukirejesha chama kwenye mstari. Hakuna ubishi kwamba baada ya kujisahau kwa muda mrefu, CCM imevamiwa na watu wa hatari sana ambao bila ya kuondolewa na mfumo mzima wa uongozi kujengwa upya basi tutarajie maajabu makubwa zaidi siku zijazo.

Mtu mwovu haelimishwi wala habembelezeki na kumuendekeza ni kujiletea balaa zaidi. Hata wewe unayemchekea chekea leo wakati muafaka ukiwadia anakuondoa tu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Chonde chonde CCM ondikeni kwa amani tuachieni nchi yetu iongozwe na wengine wenye upeo mpya kwa hamna hati miliki ya kuiongoza Tanzania.
 
Chonde chonde CCM ondikeni kwa amani tuachieni nchi yetu iongozwe na wengine wenye upeo mpya kwani hamna hati miliki ya kuiongoza Tanzania.
 
Katika kile kinachoelezwa kushindwa kwa mbinu za kuidhoofisha CHADEMA sasa viongozi wa juu wa chama wanahaha kuangalia mbinu ipi itumike baada ya kuumbuka kwa kifo cha mwandishi wa habari.

Mwanachama mmoja ambaye hakutaka jina lake litajwe, anaelezea kuwa CHADEMA na mpasuko ndani ya CCM ni moja ya mambo ambayo yanawanyima usingizi viongozi wa juu wa CCM. Katika nyakati tofauti, kada wa CCM alisema, ndugu yangu ndani ya chama changu cha CCM kuna watu wana roho ngumu, baada ya kutumia mbinu ya ukanda na udini kushindwa wakahamua kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA.

Kada huyo aliendelea kusema, jambo ambalo limeshitua CCM ni kwa ambavyo CHADEMA imekuwa ikikubalika hadi maeneo ambayo CCM walidhania propaganda ya udini imeingia. Kibaya zaidi, baada ya CCM kutekeleza amri ya kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA lakini bado watu wanalaumu serikali ya CCM na polisi na si CHADEMA kama ambavyo walitarajia, kuonesha kuwa mbinu hiyo imeshindikana.

Kwa sasa viongozi wa juu wa CCM wanajadiriana kuhusu mbinu mpya au waendelee na mauaji, hali si shwari ndani ya chama


Inawezekana ikawa kweli hili lipo lakini wewe umeliwahi kulisema. Hivi ndivyo ilivyo usijali hata sisi tunadhani hivyo.
 
Umeona bwana Nyabhingi. Hivi uwezo wake wa kutunga uongo ndo umeishia hapo? teh teh teh. JF bwana usipowajua majuha kama haya unaweza kuumiza kichwa ile mbaya.
Jibu hoja acha uvuvuzela kama bepari wako nepi.....kilaza at work.
 
Nani atatungoza sasa? manake wote waliobaki mara utasikia wanamiliki makasino, mara utasikia wameasi kanisa na kukaa na vimada. JK kaza mwendo achana na hawa walevi na wazinzi
Hilo tusi ulilotumia mbona ni muafaka sana kwa magamba hasa wale wa juu kimadaraka?
 
Wanajichimbia shimo lao wenyewe. They should understand that they are not safe at the end of this.

Though they think they are fighting against chadema, they are shooting themselves on their feets.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Katika kile kinachoelezwa kushindwa kwa mbinu za kuidhoofisha CHADEMA sasa viongozi wa juu wa chama wanahaha kuangalia mbinu ipi itumike baada ya kuumbuka kwa kifo cha mwandishi wa habari.

Mwanachama mmoja ambaye hakutaka jina lake litajwe, anaelezea kuwa CHADEMA na mpasuko ndani ya CCM ni moja ya mambo ambayo yanawanyima usingizi viongozi wa juu wa CCM. Katika nyakati tofauti, kada wa CCM alisema, ndugu yangu ndani ya chama changu cha CCM kuna watu wana roho ngumu, baada ya kutumia mbinu ya ukanda na udini kushindwa wakahamua kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA.

Kada huyo aliendelea kusema, jambo ambalo limeshitua CCM ni kwa ambavyo CHADEMA imekuwa ikikubalika hadi maeneo ambayo CCM walidhania propaganda ya udini imeingia. Kibaya zaidi, baada ya CCM kutekeleza amri ya kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa CHADEMA lakini bado watu wanalaumu serikali ya CCM na polisi na si CHADEMA kama ambavyo walitarajia, kuonesha kuwa mbinu hiyo imeshindikana.

Kwa sasa viongozi wa juu wa CCM wanajadiriana kuhusu mbinu mpya au waendelee na mauaji, hali si shwari ndani ya chama

Kwanini wasifanye waliowaahidi watanzania na kuboresha maisha yao ya kila siku kama jinsi ambavyo wanaimba. Hiyo ndio njia pekee vinginevyo wanajijengea kaburi la chuma.
 
Mbona jibu rahisi sana!!! CCM ikubali imeshindwa na iondoke ili uchaguzi huru na wa haki ufanyike.
 
Lumaga hebu tupe mawazo ya TL kuhusu nchbi? Coz huyu waziri alisema kwa dharau kama atajiuzulu hatutapata waziri kama yeye. Mmmmmmm
Lakini yote tisa hili la NGURI TUNDNU LISSU kudhalilisha tume ya waziri nchimbi, kumbe wizarani hakuna wanasheria wa kumshauri waziri au wapo ila ni vilaza????
 
Mbona Mbinu rahisi hawataki kuitumia? Wamwambie JK alihutubie taifa tu atangaze kwamba Nchi imemshinda/Imewashinda na wanawakabidhi watu wenye akili ili waiongoze ambao wanapatikana Chadema tu.
Hii ngumu sana kutokea subiri tu muda wake uishe.
 
Haya lile kundi lenye upeo mdogo wa kufikiri na kutafakari mmeshatupiwa uongo. jadilini.

wewe kama ungekuwa na upeo mkubwa ungeendelea kuishi kota za icc na watoto ,baba na housegirl ndani ya chumba na sebure?nadhan ww ndo tukushangae!
 
Dhalimu haitawahi kushinda Haki ndugu wacha waendelea kupepesa macho!Time will tell!
 
katika kile kinachoelezwa kushindwa kwa mbinu za kuidhoofisha chadema sasa viongozi wa juu wa chama wanahaha kuangalia mbinu ipi itumike baada ya kuumbuka kwa kifo cha mwandishi wa habari.

Mwanachama mmoja ambaye hakutaka jina lake litajwe, anaelezea kuwa chadema na mpasuko ndani ya ccm ni moja ya mambo ambayo yanawanyima usingizi viongozi wa juu wa ccm. Katika nyakati tofauti, kada wa ccm alisema, ndugu yangu ndani ya chama changu cha ccm kuna watu wana roho ngumu, baada ya kutumia mbinu ya ukanda na udini kushindwa wakahamua kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa chadema.

Kada huyo aliendelea kusema, jambo ambalo limeshitua ccm ni kwa ambavyo chadema imekuwa ikikubalika hadi maeneo ambayo ccm walidhania propaganda ya udini imeingia. Kibaya zaidi, baada ya ccm kutekeleza amri ya kuua angalau mtu mmoja katika kila mkutano wa chadema lakini bado watu wanalaumu serikali ya ccm na polisi na si chadema kama ambavyo walitarajia, kuonesha kuwa mbinu hiyo imeshindikana.

Kwa sasa viongozi wa juu wa ccm wanajadiriana kuhusu mbinu mpya au waendelee na mauaji, hali si shwari ndani ya chama

Kwa sasa, ccm na kundi lake la polisisiemu linalojiita 'polisi' wametekeleza mpango ambao ume-backfire kabla haujaanza, maana kifo cha mwandishi Mwangosi ni kama vile wameingia choo cha kike, maana kugombana na Wanahabari kwa kisingizio cha Chadema ni 'kujilisha upepo' maana historia ya uovu na mbinu chafu za ccm zinafahamika kwa wanahabari kwa miaka nenda rudi, hivyo mbinu yao ime-bounce vibaya na ndio lazima wahahe na ndani ya ccm kuchafuke....!
Na bado! Chadema bila shaka, baada ya kikao cha Kamati Kuu Jumapili, wakitoa tamko la jinsi na mbinu zote na vituko vya CCM tangu m4c ianzishwe, kwa kuitumia Polisisiemu, kila kitu kitakuwa wazi, watanzania wote wataikimbia ccm mara-2 ya sasa na tena, m4c ikiendelea ndio kabisaaa...ccm imelala mfu! Hakika, kwa sasa, Ndani ya ngazi za juu ccm, kunao moto, na wapo 'wanaohema-hema haraka', pressure, hawakai wakakalika...ndio homa mpya na haitaisha. Watambue sasa na daima kuwa, CDM sio ya kundi la wachache walafi na mafisadi kama ilivyo CCM...bali ni nguvu ya taifa, nguvu na sauti ya kila mtanzania, na umma mzima! Haizuiliki, na itakuwa Daima mbeleee! Aluta contunua..
 
Nani atatungoza sasa? manake wote waliobaki mara utasikia wanamiliki makasino, mara utasikia wameasi kanisa na kukaa na vimada. JK kaza mwendo achana na hawa walevi na wazinzi
Tulia wewe ndio mnavuliwa nguo hvyo ngoja tuone yaliyobakia
 

kwa hiyo nani si mzinzi? JK? ukijibu maswali haya hutarudi na hoja ya ki "K" kama hii
J.k anawake wangapi?
vimada je?
juzijuzi yule dereva wa ikulu alipo fariki kwenye msafara wa mama salma walikuwa wanakwenda wapi? na likuwa anatoka wapi? (confidential hiyo).
na kwanini wakosane na mmewe airport on the way to arusha akarudia airport, kisha yakafuata niliyoandika hapo juu?

Sasa kama huwezi jibu hata moja hapo usije siku nyingine na hoja finyu kiasi hiki, hujui mambo ya nchi hii weye

mh! Mkuu vipi unataka kutuambia kifo cha huyo dereva kimetokana na fumanizi au? Dah Mume yupo busy na Safari na Nyumba Ndogo Mama anamiss mengi Sana!
 
Back
Top Bottom