Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Aidha huelewi au umeamua kusema uongo. Muktadha aliouzungumzia pale ulikuwa wa kichama tena mahsusi pilikapilika za uchaguzi na kampeni zake. Uongo mwingine, ashkumsi matusi, ni kama kujitia kidole sehemu fulani halafu ukanusa ilhali harufu ya kule unaijua ikoje.Uzandiki haujengi.
Kweli wewe ni domokaya
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tanzania kuna double standard za ajabu sana Wakirsto wakiwatetea Wakirsto wenzao ambao wamefanya ufisadi uwa hawaitwi wadini daaah!!
 
Wakuniunbuwa ni nani na huu aliowapa Ritz umekuwa ugali wa moto wagalatia kuumeza:

Tanzania kumejaa wanafiki sana unataka kuitoa Kanisa Katoliki na kwenye ufisadi wa Escrow?

Maaskofu pamoja na benki ya Kanisa wameshiriki kufanya ufisadi.

Tuwe wakweli
Shekhe Jk umemsahsu lakini maana yeye ndie alikuwa engine
 
Askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilaini amekiri kupokea milioni 80.5 kutoka kwa James Rugemalira na akisema hii si mara yake ya kwanza kupokea fedha toka kwa mfanyabiashara huyo kwakuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamiii.Na michango amesema michango inayopelekwa kwake haina siri hivyo washikwe wezi halisi sio yeye.

Daah!! Umekutwa na mali ya wizi bado unakanusha.
 
Kukata mzizi wa fitina tutajie basi kiongozi hata mmoja wa madhehebu ya dini aliyepewa mgao wa Escrow.
Mkuu unapojibu hoja jaribu kuangalia tunazungumzia nini badala ya kukurupuka. Sijazungumzia dini hapo tunajibu hoja ya mtu aliyekosoa kichwa cha habari. Aliambiwa asiandike madhehebu maana ni katoliki tu, jamaa kamjibu kuwa neno madhehebu halina umoja ama wingi. Lakini kama kawaida ya watu wengi mnajiita wana dini muwe wakristu ama waislamu wengi wenu mmegubikwa na ujinga mnamini vitu ambavyo hamna hata uhakiki navyo (i.e Biblia/Korani) sitaki kwenda mbali maana mna uhuru wa kuamini hata kama ni uongo na mimi nina uhuru wangu wa kutoamini huu naouita upumbuvu wa dini.
 
Blind reference to issues! Kwa hiyo msukuma mmoja akikosa ni kosa la wassukuma wote? Injinia mmoja akiharibu basi ni mainjinia wote? CDM mmoja mwezi basi ni CDM wote? Where is your generalization ends? Wholesome conclusion based on "on surface analysis" ends up with laughing materials like yours. Anyway it was a good collection of words for nothing!
Mkuu hawa watu wanaosoma biblia na korani nadhani wana lana. Kitu cha kwanza magufuli angefanya ni kuzuia uwepo wa makanisa na misikiti, maana badala ya kuisaidia jamii inaivuruga jamii.
 
Nilishasema kama magufuli amezaliwa mwanaume,akamate hawa wa escrow. Otherwise anaonea watu.
Kwa hiyo unasema Rais ni mwanamke?
Acha matusi ya rejareja.
Hivi mpaka sasa hujui kuwa ishu ya IPTL ina historia ndefu na michanganyo mingi na haihitaji kukurupuka nayo?
 
Magufuli kauchuna kimyaaa kuhusu sakata la Escrow kama alivyouchuna kwenye Lugumi na MV Ufisadi, "Mie nimejitoa kafara kupambana na mafisadi nchini."
 
Magufuli kauchuna kimyaaa kuhusu sakata la Escrow kama alivyouchuna kwenye Lugumi na MV Ufisadi, "Mie nimejitoa kafara kupambana na mafisadi nchini."

Hana ubavu wa kuyatumbua majipu Ya IPTL na Lugumi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi nyinyi mnawaza jpm anapambana na rushwa poleni akuna kitu hapo
 
kama rais wetu anachukia rushwa na ufisad awakamate wahuska wa sakata la escrow na mengne kama hayo, vngnevo atakuwa anaonea vdagaa huku papa wakla bata baharin
 
Magufuli anakazi hii nchi karibia kila MTU ni jipu kwa nafasi yake!!Itachukua miaka 50 nchi yetu kuwa waadirifu secta nyingi
Tukiwa na mfumo mzuri utakaojengwa juu ya msingi imara wa katiba ya wananchi ni muda mfupi tu kila kitu kitakaa kwenye Mstari ulionyooka
 
Kimo hiki magufuli hakiwezi
Anashindwa nini? Wakati majeshi yote yapo chini yake? Ana support kubwa ya wananchi kwa nn ashindwe? Mi nahisi anafanya timing kwanza hatak kukurupuka unajua kukata kichwa cha Kobe kunahitaji timing ya hali ya juu!
 
Back
Top Bottom