Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,609
Ikulu si alikuwepo Sheikh Kikwete ?Rugemalira alishika kila mmoja. Kuanzia Ikulu ya Jakaya Kikwete, TAKUKURU, mahakama, BoT, hazina, ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, viongozi wa madhehebu ya kidini na hata baadhi ya mawaziri wa zamani wenye ushawishi serikalini,” ameeleza kiongozi mmoja mwandamizi kutoka Ikulu.
Hahahhahaha!!! Badala kusema Maaskofu na Benki ya Kanisa Katoliki Mkombozi, mnajifanya kuandika viongozi wa madhehebu ya dini.
Wagalatia bana....