Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Unaandika kama yule mama aliyepewa mil 10 za mboga vile! Naye alisema anamfahamu sana huyo mtoa pesa. Nawe naona unamfahamu saaana!
Acha hadithi. Unayemfahamu siyo huyo! Hadithi za BoT na nyingine zimeelezwa sana hapa JF. Naona ulikuwa hujajiunga na sasa unadhani una jipya la kueleza. Hapa JF mtu wako alishavuliwa nguo. siyo mgeni kwetu.

Padri akipewa pesa ya aina hiyo ni nini? Ada ya nini? Mbinguni? au zaka? Labda ukisema ilikuwa indulgence (kama unaijua) nitasema sawa ingawa enzi hizo zilishapita.

Huyo jamaa ni Jirani yangu tangu Miaka ya 80 hadi Leo, we hujui lolote tuliaaaa
 
F.a.l.a ww dhehebu limehusika vp hao ni watu binafsi
Hii sentensi si kweli:
"madhehebu ya kidini", ukweli ni dhehebu moja tu tena ni la kanisa katoliki ndilo lililotumika.

Kwanini mpotoshe na kusema "madhehebu"?

Cc BAK
336_ruge.JPG
 
Huyo jamaa ni Jirani yangu tangu Miaka ya 80 hadi Leo, we hujui lolote tuliaaaa
Hata awe baba wa kambo kwako sisi haitusaidii. Nakushauri urejee thrd za JF kabla hujajiunga. Wewe ni mpya sana hapa. Usihangaike kuunda historia mpya.

Kuna watu mulishazoea kusifia watu wa aina hii na hatuna jinsi ya kuwarekebisha.
 
Mkuu, huwez kutenganisha padre na kanisa au shekhe na msikiti kwa kosa la huyo kiongozi maana yangu ni kwamba askofu yeye ni kiongoz wangu na sina mamlaka ya kumuhukumu kwa matendo hasa kuhusu mambo yke binafsi na cyo ya DINI!!!
Pia hiyo benk inafanya kaz km benk zingne kumbe km wafanyakazi wamefanya makosa au viongozi ndo wakulaumiwa na cyo kanisa km taasisi
Kwa imani hiyo sina cha kukushawishi lakini kama ni hivyo, MUngu angezidisha uhusiano wake na Lucifer na kuyaacha mambo yake binafsi.
 
Katika kesi hiyo Tanesco ilikuwa inawakilishwa na mawakili wa kampuni za R.K Rweyongeza & Advocates na Crax Law Partners.

SOURCE: Mtanzania


Hivi Tanesco wanaakili? Wanachukua ndugu zake Rugemalira wawe advocates wao, unategemea watashinda? Hawa jamaa wapo connected Sana.
 
Serikali Ina si mkono tu bali na miguu na macho marefu..... Hakuna wa kushindana na serikali kama ikiamua kushughulikia suala la Escrow & IPTL. Na his Majesty amesema hachezewi. Naomba pia kwenye hili asichezewe. Hatuna pesa za kuwapa washezi wasio wazalendo.
 
Mkuu BAK tunashukuru kwa taarifa makini iliyo jitosheleza.
Wahisika bilashaka wapo wemeona na kufuatilia maoni ya wadau!
Labda waendelee kuzuia mikutano, makongamano na kufukuza wapinzani bungeni na kuzuia kuonyesha bunge live!!
Vinginevyo watachukua hatua hata zile fedha zilizo bebwa na masandarusi kupelekwa huko zitaridishwa!!
Hapa kazi waungwana!
 
Mkuu BAK tunashukuru kwa taarifa makini iliyo jitosheleza.
Wahisika bilashaka wapo wemeona na kufuatilia maoni ya wadau!
Labda waendelee kuzuia mikutano, makongamano na kufukuza wapinzani bungeni na kuzuia kuonyesha bunge live!!
Vinginevyo watachukua hatua hata zile fedha zilizo bebwa na masandarusi kupelekwa huko zitaridishwa!!
Hapa kazi waungwana!
zimeshaliwa....
 
Umefanya vyema kuambatanisha kanisa katoliki na huu ufisadi. Lakini kumbuka pia watu wanapouambatanisha uislamu na mambo flani flani usitoe mapovu.

[HASHTAG]#ISIS[/HASHTAG]
[HASHTAG]#ALQUEDA[/HASHTAG]
......
.....
.....

Hao ni wale wale tu.

Sasa kasome upya nilichokijibu halafu urudi useme ni "madhehebu" yepi ya kidini yaliyohusika?
 
Kumbe FaizaFoxy bado upo...! Naona ESCROW imekutoa pangoni, duh, pesa za Umma zinauma au siyo?
 
Kumbe FaizaFoxy bado upo...! Naona ESCROW imekutoa pangoni, duh, pesa za Umma zinauma au siyo?

Ulifikiri Singa na Ruge wanatoa sadaka ya umeme?

Hebu tengeneza umeme wako halafu ugawe bure useme ni wa umma.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Huu mziki mzito! kwa Dr.

Magufuli ifike mahali uchukue ushauri kutoka cdm wana ccm wenzako wanafurahia disaini flani kama hawapo pamoja na wew!
 
Labda iundwe tume ya maridhiano kama iliyoundwa na Mandela baada ya apartheid,vinginevyo kazi ya kutumbua ni ngumu zaidi ya tunavyofikiria,iundwe tume waitwe hao mafisadi,wahojiwe, wanao kiri na kurudisha hazina fedha walizokwapua na kuwa tayari kufilisiwa wasamehewe na wapelekwe chuo cha maadili miezi kadhaa kwa ajili ya rehabilitation, wakionekana wamebadilika basi waendelee na kazi,watakaogoma basi wapelekwe mahakama ya ufisadi,vinginevyo ni overhaul ya system yote kwani karibu vigogo wote wanaguswa.Kama anavyosema Lisu,short of that tutaendelea kutumbua vidagaa tu
MAGUFULI KUMBE ALICHUKUA HUU USHAURI WA HUYU JAMAA
 
Back
Top Bottom