Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Labda iundwe tume ya maridhiano kama iliyoundwa na Mandela baada ya apartheid,vinginevyo kazi ya kutumbua ni ngumu zaidi ya tunavyofikiria,iundwe tume waitwe hao mafisadi,wahojiwe, wanao kiri na kurudisha hazina fedha walizokwapua na kuwa tayari kufilisiwa wasamehewe na wapelekwe chuo cha maadili miezi kadhaa kwa ajili ya rehabilitation, wakionekana wamebadilika basi waendelee na kazi,watakaogoma basi wapelekwe mahakama ya ufisadi,vinginevyo ni overhaul ya system yote kwani karibu vigogo wote wanaguswa.Kama anavyosema Lisu,short of that tutaendelea kutumbua vidagaa tu
kodi peke yake wameshindwa kulipa, watawezaje kurudisha hiyo hela hawa wa kufungwa maisha au kufilisiwa waishi kama "mashetani" bana!
 
Mnalalamika nchi imeoza, wakikamuliwa waliooza pia mnalalamika, kila kitu kwenu ni kulalamika, wanafiki wakubwa!
****
#Tibaijuka alisema / watuhumiwa wa ufisadi wapo salama sana!/
wanaotumbuliwa ni visisimizi vya KAFARA,
""FUNIKA KOMBE, MWANAHARAMU APITE.....""
 
Hii sentensi si kweli:
"madhehebu ya kidini", ukweli ni dhehebu moja tu tena ni la kanisa katoliki ndilo lililotumika.

Kwanini mpotoshe na kusema "madhehebu"?

Cc BAK
336_ruge.JPG
Nikweli kabisa tena wametajwa maaskofu wa kanisa katoliki la wenye heri..
 
Hii sentensi si kweli:
"madhehebu ya kidini", ukweli ni dhehebu moja tu tena ni la kanisa katoliki ndilo lililotumika.

Kwanini mpotoshe na kusema "madhehebu"?

Cc BAK
336_ruge.JPG
Wewe mwanamke una akili ndogo sana.
It doesn't matter, mwizi mwizi tu.....sawa na JK
 
Wewe mwanamke una akili ndogo sana.
It doesn't matter, mwizi mwizi tu.....sawa na JK

Nimesoma bandiko zima, hakuna "madhehebu" niliyoyaona isipokuwa dhehebu moja tu tena ni la Kanisa katoliki na maaskofu wake wawili na benki yao ya mkombozi ndiyo waliohusika. Sasa kwanini mjidai ni "madhehebu"?
 
Lakini mkumbuke siku hiyo anaongea na viongozi wa ccm wa mikoa na wilaya alisea...haina haja ya kufufua makabuli....sasa Escrow na mawahusika wake nalo ni kabuli hana haja ya kulifufua...
 
Magu hawezi fanya chochote khs escrow.Atakua anajitafutia matatizo mkubwa na hilo genge la wakwapuaji.Watamwendea mbio hata wamfukuze chamani.Lakini si alisema anajuta kuomba kazi hii.Unadhania nini sababu. Kuna untouchables (wasioguswa) wengi sana na wana ushawishi mkubwa.
 
Kwa vile Raisi magufuli ana watu makini wa kufuatilia na kupata taarifa,kwa hili halihitaji Intelejensia taarifa ipo wazi...Washitakiwe na wafilisiwe hata hao viongozi wa katoliki.....Escrow ni picha la kihindi linalo isha na staring anakufa kwenye maua kwa kuangukiwa na povu la sabuni
 
****
#Tibaijuka alisema / watuhumiwa wa ufisadi wapo salama sana!/
wanaotumbuliwa ni visisimizi vya KAFARA,
""FUNIKA KOMBE, MWANAHARAMU APITE.....""

Kama Lowassa, Mkulo, Karamagi, Mramba, Kitilya, Yona, Tibaijuka, Sefue,Hosea ni visisimizi, sasa tembo katika nchi hii ni akina nani ambao hata wewe mwenyewe bila kujali kama ni fisadi au sie unaweza kusema yule ndiye Tembo ?
 
Rais alikiri kuwa aliyepewa fedha na serikali – PAP – hakuwa na sifa; serikali yake haikufanya uchunguzi yakinifu kuhusu historia, uhalali, sifa na uwezo wa kampuni ya PAP katika uwekezaji wa umeme, ununuzi wa mitambo na mtaji.

Tulikuwa na Rais wa hovyo, watu walikuwa wanajiibia kadri wanavyotaka, yeye yuko bize na masafari yasiyo na tija.
 
Nimesoma bandiko zima, hakuna "madhehebu" niliyoyaona isipokuwa dhehebu moja tu tena ni la Kanisa katoliki na maaskofu wake wawili na benki yao ya mkombozi ndiyo waliohusika. Sasa kwanini mjidai ni "madhehebu"?
Hahahahaaaa hii signature ya faiza foxy
 
Lakini mkumbuke siku hiyo anaongea na viongozi wa ccm wa mikoa na wilaya alisea...haina haja ya kufufua makabuli....sasa Escrow na mawahusika wake nalo ni kabuli hana haja ya kulifufua...

Aidha huelewi au umeamua kusema uongo. Muktadha aliouzungumzia pale ulikuwa wa kichama tena mahsusi pilikapilika za uchaguzi na kampeni zake. Uongo mwingine, ashkumsi matusi, ni kama kujitia kidole sehemu fulani halafu ukanusa ilhali harufu ya kule unaijua ikoje.Uzandiki haujengi.
 
Wewe mwanamke una akili ndogo sana.
It doesn't matter, mwizi mwizi tu.....sawa na JK

Kumwambia mtu ana akili ndogo hakumfanyi awe na akili ndogo, bali matendo yake ndio yanayotanabaisha kipimo cha akili alichonacho na vivo hivyo kwako wewe. Ukigundua mtu ana akili ndogo muoneshe tofauti kimatendo, vinginevyo atakuwa amekuzidi akili. Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno!
 
Back
Top Bottom