Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Status
Not open for further replies.
BWIGA na KIBONDE mnauhakika wa UKUU wa Wilaya hasa wilaya ya KINONDONI Novemba 2015.Hongera BWIGA na KIBONDE baada ya Makonda atakapoondolewa ukuu baada ya LOWASA kuingia madarakani.

Bwiga ndio Mbwiga??
 
Makonyora huyu jamaa inawezekana kweli akainunua redio mawingu!! Kazi kwake Lowasa ashindwe kwenda ikulu, maana hawa watangazaji wa redio mawingu. Si mchezo.

Hii haitakuwa radio yake ya kwanza kununua hapa Bongo.
 
Hiki ndicho kifo rasmi cha Radio Clouds, itaanza kupambanishwa na radio Magic na Times very soon
 
Sio kuwa ndio itapaa zaidi???

Umewahi kuona vyombo vya habari vinavyomilikiwa na wahindi vinakua???

Angalia Magic Radio, Dtv, C2C, CTN na vinginevyo!

Kwanza hapo wafanyakazi wa Clouds wajiandae hata kupunguziwa mishahara yao😱
 
Habari Za Uhakika Nilizozipata Kutoka Kwa Mtu Wa Ndani Kabisa Na Very Senior Kutoka Clouds Media Inayomiliki Redio Mbili Clouds FM Na Choice FM Pamoja Na Runinga Ya Clouds Tv Imenunuliwa Na Tajiri,

Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.

Kazi Ipo Mwaka Huu!!!
Sikia dongo lako clauds umeambiwa unatumia madawa ya kulevya. Pole GENTA
 
Habari Za Uhakika Nilizozipata Kutoka Kwa Mtu Wa Ndani Kabisa Na Very Senior Kutoka Clouds Media Inayomiliki Redio Mbili Clouds FM Na Choice FM Pamoja Na Runinga Ya Clouds Tv Imenunuliwa Na Tajiri,

Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.

Kazi Ipo Mwaka Huu!!!

Acha uongo wew, akuna kitu kama hicho,
 
Habari Za Uhakika Nilizozipata Kutoka Kwa Mtu Wa Ndani Kabisa Na Very Senior Kutoka Clouds Media Inayomiliki Redio Mbili Clouds FM Na Choice FM Pamoja Na Runinga Ya Clouds Tv Imenunuliwa Na Tajiri,

Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.

Kazi Ipo Mwaka Huu!!!



GENTAMYCINE a.ka MWALI KIGEGO usiyejua kwa nn umechezwa na kufundwa, Aahahahaha Eti nimepewa taarifa na mwenye mbwa hahahahaha pole sana mwenye mbwa anaishi ABU DHABI.

ukiona unaweza kusoma meseji ya kijibwa si ajabu na wewe umeumbwa na unapatikana kwenye specie moja na MBWA. Sasa mbwa mwenzangu maana naamini binadamu hawawezi kujua mbwa wakibweka tunaongea lugha gani ? ila kwa kuwa umegundua ninabwekaje haya sasa tubweke ili watu wajue kuwa GENTAMYCINE NI MBWA miongoni mwa mbwa wanaobweka jamii forum ahahahaha ni vizuri ungejitambulisha kuwa wewe ni aina gani ya MBWA .

Unanipa wasiwasi kujua ww kama ulielimika na ukaelewa nini maaana ya kuropoka na kuongea kwa evidence? WEWE MBWA MWENZANGU( GENTAMYCINE) Unaonekana ni product ya SHULE ZA KATA, maana wenyewe hawajui hata kwa nini wanasoma na mwishowe huishia kuandika mashairi kwenye answer sheet zao, sioni sababu ya wewe kuorodhesha matusi badala ya kueleza ukweli.

hata kama ni masuala ya kisiasa hakuna mwanasiasa mwenye kuongea kwa kukurupuka, ukienda CDM wanaongea kwa fact , UKIENDA CCM nao wanaongea kwa fact ila wewe ndio MBWA UNAYEBWEKA BILA KUONA MWIZI sasa kama unaweza weka namba yako tukufanyie YOU HEEEEEEEEEEEEEEEEEARD ili wakufunge domo lako.

kama kweli wewe mwanaume na unajiamini weka namba yako ya simu udhibitishe madai yako.

si ajab ndio wale wanaotumia madawa ya kulevya
 
Sasa nimeanza kuamini Joe kusaga keshahamishia makazi na shghuli Abhu Dhabi( Clouds intelnation) soon alikuwa anojiwa .Nadham ameuza kiasi kikubwa cha hisa za Clouds Media(kibiashara zaidi) anadai watazidi kuimarika katka Matamasha zaid( Amesoma Alama za Nyakati)
 
Mods wawe makini na huyu mleta thread hii, ni mtutsi mwenye chuki na Tanzania.
 
Habari Za Uhakika Nilizozipata Kutoka Kwa Mtu Wa Ndani Kabisa Na Very Senior Kutoka Clouds Media Inayomiliki Redio Mbili Clouds FM Na Choice FM Pamoja Na Runinga Ya Clouds Tv Imenunuliwa Na Tajiri,

Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.

Kazi Ipo Mwaka Huu!!!
huyu bwanyenye sasa anataka kuiweka nchi mfukoni na sio mzaha. na sio ule utani wa baba wa taifa kuhusu yule giriki kujidai ameiweka serikali yake mfukoni. bwanyenye rostam ana mfuko mkubwa kuweza kuiweka serikali ya ccm ndani.
 
GENTAMYCINE a.ka MWALI KIGEGO usiyejua kwa nn umechezwa na kufundwa, Aahahahaha Eti nimepewa taarifa na mwenye mbwa hahahahaha pole sana mwenye mbwa anaishi ABU DHABI.

ukiona unaweza kusoma meseji ya kijibwa si ajabu na wewe umeumbwa na unapatikana kwenye specie moja na MBWA. Sasa mbwa mwenzangu maana naamini binadamu hawawezi kujua mbwa wakibweka tunaongea lugha gani ? ila kwa kuwa umegundua ninabwekaje haya sasa tubweke ili watu wajue kuwa GENTAMYCINE NI MBWA miongoni mwa mbwa wanaobweka jamii forum ahahahaha ni vizuri ungejitambulisha kuwa wewe ni aina gani ya MBWA .

Unanipa wasiwasi kujua ww kama ulielimika na ukaelewa nini maaana ya kuropoka na kuongea kwa evidence? WEWE MBWA MWENZANGU( GENTAMYCINE) Unaonekana ni product ya SHULE ZA KATA, maana wenyewe hawajui hata kwa nini wanasoma na mwishowe huishia kuandika mashairi kwenye answer sheet zao, sioni sababu ya wewe kuorodhesha matusi badala ya kueleza ukweli.

hata kama ni masuala ya kisiasa hakuna mwanasiasa mwenye kuongea kwa kukurupuka, ukienda CDM wanaongea kwa fact , UKIENDA CCM nao wanaongea kwa fact ila wewe ndio MBWA UNAYEBWEKA BILA KUONA MWIZI sasa kama unaweza weka namba yako tukufanyie YOU HEEEEEEEEEEEEEEEEEARD ili wakufunge domo lako.

kama kweli wewe mwanaume na unajiamini weka namba yako ya simu udhibitishe madai yako.

si ajab ndio wale wanaotumia madawa ya kulevya

Duh mbona umetumia maneno makali sana kwa mwenzako .....mtakie radhi bana
 
Habari Za Uhakika Nilizozipata Kutoka Kwa Mtu Wa Ndani Kabisa Na Very Senior Kutoka Clouds Media Inayomiliki Redio Mbili Clouds FM Na Choice FM Pamoja Na Runinga Ya Clouds Tv Imenunuliwa Na Tajiri,

Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.

Kazi Ipo Mwaka Huu!!!
kanjanja umeumbuka na stori zako za bange za vijiweni,bange noma
 
...@ GENTAMYCINE na wewe tunaomba ututhibitishieee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom