GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Habari Za Uhakika Nilizozipata Kutoka Kwa Mtu Wa Ndani Kabisa Na Very Senior Kutoka Clouds Media Inayomiliki Redio Mbili Clouds FM Na Choice FM Pamoja Na Runinga Ya Clouds Tv Imenunuliwa Na Tajiri,
Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.
Kazi Ipo Mwaka Huu!!!
=====================
UPDATES;
Hii habari imekanushwa kupitia hii thread=>Kusaga: Clouds FM haina chama! Akanusha Clouds kununuliwa na Rostam Aziz
Mwanasiasa Na Mfanyabiashara Maarufu Hapa Nchini Tanzania Rostam Aziz Na Kwamba Kuanzia Wiki Iliyoisha Wafanyakazi Wote Wa Hiyo Media Walikuwa Wakiingia Mikataba Mipya Na Management Mpya Ya Bwanyenye Huyo Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically Motivated.
Kazi Ipo Mwaka Huu!!!
=====================
UPDATES;
Hii habari imekanushwa kupitia hii thread=>Kusaga: Clouds FM haina chama! Akanusha Clouds kununuliwa na Rostam Aziz