Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Status
Not open for further replies.
Inawezekana kwani sio ajabu kwa kampuni kuuza hisa,kama wamesaini mkataba mpya basi inawezekana clouds fm wame-outsource kazi kwa kampuni nyingine yote yanawezekana,

Mkuu Gyentamacine wafanyakazi wamesaini mkataba na kampuni ya clouds au kampuni ya rostam? Kusaga ameuza hisa zote au baadhi au ame-outsource kazi kwa rostam?

Maswali Mengi Na Ya Kinafiki Na Kisanifu Siyataki Bali Nasisitiza Kusema Kuwa Bwanyenye Rostam Aziz Ameinunua Rasmi Clouds Media Period.
 
Lini Itashuka? Na Hongera Pia Kunifahamisha Kuwa Kumbe Ni Very Credible Humu! Nilikuwa Sijui Tyta. UKWELI NDIYO HUO NA SIUBADILISHI.

itashuka kama habari si kweli...kwa kuwa umeonesha kujiamini kwa habari uliyoleta tusiokuwa na uhakika hatutakuhukumu....cha msingi ni kuthibisha kutoka chanzo kingine cha karibu..
 
ee mungu tunajua akili zako hazichunguziki!!tunakuomba wewe mwenye rehema uiondoe ccm tanzania kwa mkono wako wenye nguvu kuliko wanadamu wote na miungu yote.

amen amen.......

Ohoo mungu tusikie
 
itashuka kama habari si kweli...kwa kuwa umeonesha kujiamini kwa habari uliyoleta tusiokuwa na uhakika hatutakuhukumu....cha msingi ni kuthibisha kutoka chanzo kingine cha karibu..

Inaonekana Kama Vile Upo Hapo Hapo Kikazi Hivyo Fanya Hima Mtafute Yule Bosi Wenu Senior Atokaye Nchi Ambayo Raia Wake Wengi Wanafanya Kazi Hapa Nchini Tanzania Tena Za Vyeo Vya Juu Tu Huku Wengine Wakiwa Ni Walimu Lakini Sisi Watanzania Kamwe Hatuwezi Kufanya Kazi Kwao Na Rais Wao Ni Bonge La Teja

Huku Makamo Wake Akiwa Ni Bonge La Mafia Na Ofisi Yake Sometimes Huwa Ipo Ktk Hilo Jengo Lenu Jipya Opposite Na Ofisi Zenu. Nadhani Mpaka Hapa Nitakuwa Nimeshamaliza Utata Huu Na Sishangai Wewe Kutokujua Hili Kwani Yawezekana Ukawa Ni Dagaa Tu Unayeogelea Ktk Bahari Yenye Papa Na Nyangumi Wengi.....Pole!
 
Maswali Mengi Na Ya Kinafiki Na Kisanifu Siyataki Bali Nasisitiza Kusema Kuwa Bwanyenye Rostam Aziz Ameinunua Rasmi Clouds Media Period.

Sasa kama kainunua clouds Media kwanini wafanyakazi wasaini mkataba mpya wakati kampuni ni ile ile clouds media?
 
Makonyora huyu jamaa inawezekana kweli akainunua redio mawingu!! Kazi kwake Lowasa ashindwe kwenda ikulu, maana hawa watangazaji wa redio mawingu. Si mchezo.
 
Maswali Haya Ya Kipuuzi Kamuulize Kibonde au Millard Ayo Sawa? Unakoelekea UTANITIBUA Yaanze Kunitoka Kisha Tugombane Sawa?

Siwezi nikagombana humu JF na mtu,kama hautaki maswali usilete mada humu ndani.Hayo matusi ukitoa dawa yako ni kukuripoti upigwe BAN tu,utaulizwaje swali kisha ulete matusi? wewe wa wapi?
 
inaonekana kama vile upo hapo hapo kikazi hivyo fanya hima mtafute yule bosi wenu senior atokaye nchi ambayo raia wake wengi wanafanya kazi hapa nchini tanzania tena za vyeo vya juu tu huku wengine wakiwa ni walimu lakini sisi watanzania kamwe hatuwezi kufanya kazi kwao na rais wao ni bonge la teja

huku makamo wake akiwa ni bonge la mafia na ofisi yake sometimes huwa ipo ktk hilo jengo lenu jipya opposite na ofisi zenu. Nadhani mpaka hapa nitakuwa nimeshamaliza utata huu na sishangai wewe kutokujua hili kwani yawezekana ukawa ni dagaa tu unayeogelea ktk bahari yenye papa na nyangumi wengi.....pole!

hii nukuu ulidhamiria kwangu??...sasa nadharia yote hii ya nini??...hutaki kuhojiwa juu ya mada uliyoleta??..ama unalazimisha niikubali habari yako pasi na shaka??...
 
Sasa kama kainunua clous wewe kinakuuma nini? anzisha na wewe ya kwako wainunue kuliko kutupigia kelele zisizo na msingi
 
Huna Hata Haja Ya Kuripoti Kwani Wapo Wenyewe Humu. Kama Umetumwa Kunichokonoa Wewe Endelea Na Sitakukawiza Majahanun Weye!

Huwezi kunitisha kwa matusi wewe,mie mwenyewe mtoto wa mbwa wa manzese,mie nipo kitambo humu ndani na tunaleta habari zenye uhakika zisizokuwa na shaka,sasa kama wewe hautaki kuulizwa usianzishe thread za "KIWAKI"
 
hii nukuu ulidhamiria kwangu??...sasa nadharia yote hii ya nini??...hutaki kuhojiwa juu ya mada uliyoleta??..ama unalazimisha niikubali habari yako pasi na shaka??...

Usinichoshe Tafadhali.
 
Huwezi kunitisha kwa matusi wewe,mie mwenyewe mtoto wa mbwa wa manzese,mie nipo kitambo humu ndani na tunaleta habari zenye uhakika zisizokuwa na shaka,sasa kama wewe hautaki kuulizwa usianzishe thread za "KIWAKI"

Kumbe Wewe Mwenyewe Ni Mtoto Wa Doggy Tena Wa Manzese Sasa Ulichokuwa Unataka Kudekadeka Kwa Mods Wakupe Msaada Ni Nini? Mtoto Wa Kiume Hugangamala Mwenyewe Na Huwa Yupo Tayari Kwa Lolote Lile!

au Mwenzetu Wewe Ni Kama Yule Mwanariadha Wa Afrika Ya Kusini Aitwae SEMANYA? Karibu Jamvini Mtoto Wa Mbwa SEMANYA.
 
Hapo kama namuona papaa Ephraim kibonde akikalia kiti cha ukurugenzi wa clouds media,---Kama taarifa hii ni ya kweli.

Kwani na yeye ni mu iran sijui muhindi mpaka apate ukurugenzi kiulaini huyu kibonde!????
 
Ee Mungu tunajua akili zako hazichunguziki!!tunakuomba wewe mwenye rehema uiondoe ccm Tanzania kwa mkono wako wenye nguvu kuliko wanadamu wote na miungu yote.
Dah! Mkuu hii ni Sala au maombi ya Dini gani?
 
Very soon itakuwa kama TBC ,na itabaki na wtazamaji kiduchu,watu wataendelea kuangalia ITV na Channel 10 tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom