Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Status
Not open for further replies.
Kama umemsikia Kusaga ile Cheka yake tuu unajua tuu habari za kipuuzi ndo mana tunadharaulika wote humu ndani kwa wapumbavu Wachache wasio na upeo wa kupambanua mambo
 
Mwenyewe Kusaga kakanusha haijauzwa wala hakuna mpango wa kuiuza, acheni ujuaji mwisho mnaongea uongo.
 
Sasa nimeanza kuamini Joe kusaga keshahamishia makazi na shghuli Abhu Dhabi( Clouds intelnation) soon alikuwa anojiwa .Nadham ameuza kiasi kikubwa cha hisa za Clouds Media(kibiashara zaidi) anadai watazidi kuimarika katka Matamasha zaid( Amesoma Alama za Nyakati)

Joe anaishi Dubai hiyo Clouds Int ofisi ndo zipo Abuu Dhabi.
 
Ikiwa hivyo Lowassa na Rostam watashika nchi. DC wa kinondoni atakimbia nchi
 
Tatizo lako mkuu ni hilo. Ukipata mtu kukuchalenji hukawii kumwaga matusi. Nilitaka kukupa changamoto ila nikaogopa utaniharibia siku.

Mkuu ukiona mtu anakimbilia kujihami kwa matusi jua ni debe tupu hakuna alijualo zaidi ya ukurupukaji tu.
 
Tatizo lako mkuu ni hilo. Ukipata mtu kukuchalenji hukawii kumwaga matusi. Nilitaka kukupa changamoto ila nikaogopa utaniharibia siku.

Kwahiyo Mmeshani Label Kuwa Mimi Ni Mtu Tu Wa Matusi? Tena Ni Bora Tu Na Wewe Upite Zako Tu Usijeniharibia Siku Nikakupa Makavu.
 
Wadau ni kwelii clouds media group imenunuliwa na Rostam azizi naona ndio story zilizopo mjinii
Wenye kujua mtupe ukweluu

Nafurahi Sana Kuwa GENTAMYCINE Nime make impact Ktk Public Sasa Kwani Imefikia Hatua Hadi Ktk Ma Group Whatssap Yenu Habari Kuu Ni Hii Breaking News Yangu. Na Labda Kwa Kumalizia Tu Mkuu Wewe Uliyeuliza Nakujibu Tena Kuwa NINA UHAKIKA TENA WA ASILIMIA Zinazofikia Infinity KUWA CLOUDS MEDIA IMEUZWA KWA Bwanyenye Rostam Aziz Na SITOBADILISHA Taarifa Yangu Hii Kwani NIMEITOA Kwa A Very Authoritatative, Credible and Reliable Source Na Hata Wakatae Vipi UKWELI NDIYO HUO Na ATAKAYE BISHA YEYE ABISHE ZAKE Tu.
 
Hawa ndo baadhi ya watu wanataka kushusha UBORA wa JF, MOD chukueni hatua za haraka.

Pia tujifunze tuwe tunatoa habari sahihi na za ukweli.
 
Mkuu ukiona mtu anakimbilia kujihami kwa matusi jua ni debe tupu hakuna alijualo zaidi ya ukurupukaji tu.

Hata Aliyekuzaa Nae Alikurupuka Kukutoa LEBA Na Hatimaye Kukuweka Ktk Hilo Hilo Debe Lililokuwa Tupu Na Ndiyo Maana Ni Lumpen Perse.
 
Hata Aliyekuzaa Nae Alikurupuka Kukutoa LEBA Na Hatimaye Kukuweka Ktk Hilo Hilo Debe Lililokuwa Tupu Na Ndiyo Maana Ni Lumpen Perse.

Ok kwa hyo tayari tumeshasikia kuwa rostam kanunua iyo media ya cloudz kama ulivyoleta hyo thread yako hapa ndani tayari tumesikia aya unataka nini tena labda si umeshaleta info sepa bas kama vp....??
 
Hawa ndo baadhi ya watu wanataka kushusha UBORA wa JF, MOD chukueni hatua za haraka.

Pia tujifunze tuwe tunatoa habari sahihi na za ukweli.

JF Imeanza Na Ubora Wake, Inaendelea Kuwa Na Ubora Wake Na Itazidi Kuwa Tu Na Ubora Wake Whether GENTAMYCINE na GASY WA UKWELI Wawepo au WASIWEPO Na Jiulize Swali Wewe Na Mods Nani Ni Mwerevu? Kwa Niwajuavyo Mods Na Waanzilishi Na Wamiliki Wa Hii Forum Ni Watu Wenye UTASHI WAO TIMILIFU Na UPEO Mkubwa Wa Kupima Mambo Na Masuala Na Hawana UPUUZI Kama Wako. Labda Hizo Hatua Za Haraka Wazichukue Kukutoa Wewe ILA Narudia Tena Na Tena Na Kwa MSISITIZO MKUBWA Kuwa CLOUDS MEDIA IMESHAUZWA KWA Bwanyenye Rostam Aziz Hutaki au Unaona Umeumia JINYONGE! Sikurupuki Kama UFIKIRIAVYO Na Najiamini Haswa.
 
Ok kwa hyo tayari tumeshasikia kuwa rostam kanunua iyo media ya cloudz kama ulivyoleta hyo thread yako hapa ndani tayari tumesikia aya unataka nini tena labda si umeshaleta info sepa bas kama vp....??

Sibishani Na Mbwa Wewe Bali Nilikuwa Namjibu Mwenye Mbwa Hapo Juu. Na Huna Uwezo Wa Kuniambia Nisepe Humu Wewe Ukiwa Kama NANI?
 
GENTAMYCINE a.ka MWALI KIGEGO usiyejua kwa nn umechezwa na kufundwa, Aahahahaha Eti nimepewa taarifa na mwenye mbwa hahahahaha pole sana mwenye mbwa anaishi ABU DHABI.

ukiona unaweza kusoma meseji ya kijibwa si ajabu na wewe umeumbwa na unapatikana kwenye specie moja na MBWA. Sasa mbwa mwenzangu maana naamini binadamu hawawezi kujua mbwa wakibweka tunaongea lugha gani ? ila kwa kuwa umegundua ninabwekaje haya sasa tubweke ili watu wajue kuwa GENTAMYCINE NI MBWA miongoni mwa mbwa wanaobweka jamii forum ahahahaha ni vizuri ungejitambulisha kuwa wewe ni aina gani ya MBWA .

Unanipa wasiwasi kujua ww kama ulielimika na ukaelewa nini maaana ya kuropoka na kuongea kwa evidence? WEWE MBWA MWENZANGU( GENTAMYCINE) Unaonekana ni product ya SHULE ZA KATA, maana wenyewe hawajui hata kwa nini wanasoma na mwishowe huishia kuandika mashairi kwenye answer sheet zao, sioni sababu ya wewe kuorodhesha matusi badala ya kueleza ukweli.

hata kama ni masuala ya kisiasa hakuna mwanasiasa mwenye kuongea kwa kukurupuka, ukienda CDM wanaongea kwa fact , UKIENDA CCM nao wanaongea kwa fact ila wewe ndio MBWA UNAYEBWEKA BILA KUONA MWIZI sasa kama unaweza weka namba yako tukufanyie YOU HEEEEEEEEEEEEEEEEEARD ili wakufunge domo lako.

kama kweli wewe mwanaume na unajiamini weka namba yako ya simu udhibitishe madai yako.

si ajab ndio wale wanaotumia madawa ya kulevya

Omba Namba Ya Simu Kistaarabu Na Siyo Ki POPOMA Hivi Na Hata Nikikupa Wewe Ni Sawa Na Punje Ya Mchanga Kwangu Na Hujai Ptuuuuuuuuuuuuuuuu.................!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom