Siri Imefichuka: Maafisa wa Ngazi ya Juu wa Marekani Wanamshawishi Rais wa Ukraine Afanye Mazungumzo na Putin

Nimeiona BBC pia. Ila inaonekana haya mazungumzo yamesaidia kwa kiasi kikubwa mpaka leo Urusi hajatumia Nyuklia.

Sasa kuna muda Urus alipiga mkwara wa kutumia Nyuklia, badae Urus akapotozea!

Je, USA alitumia mbinu gani za kumzuia Urus asitumie Nyuklia? Ilikuwa ni ushawishi tu au USA alimpiga mkwara Urusi?
Nadhani ni mazungumzo na ushawishi sio mikwara. Putin sio Tshisekedi
 
Uliaminishwa nanani!!?

Supa pawa wenu lini aliwahi kuiangusha sirikali yeyoye hata ile ya somalia kwa walau hata week licha yakwamba alikua na shost zake wa OTAN
ebu mzungumzie Urusi ndo utuletee ushuz wako mwingine , mnakuwa na miwasho yq kuiwazia nchi fulani , story inamuhusu Urusi ila nyegez zinakuforce umtaje Kibaden
 
Hiki chuma ni hatari sana.
Rasmi sasa, hiki ni kifaa cha dunia.
Hana majivuno,mpangilifu,ana busara na hekima,jasiri,msomi,jasusi,commando,mvumilivu na mwenye subra,waama mwenyezi MUNGU katuletea mtetezi dhidi ya MASHETWANI wanaoufanyia ghasia na kufuru ulimwengu.
 
Hiki chuma ni hatari sana.
Rasmi sasa, hiki ni kifaa cha dunia.
Hana majivuno,mpangilifu,ana busara na hekima,jasiri,msomi,jasusi,commando,mvumilivu na mwenye subra,waama mwenyezi MUNGU katuletea mtetezi dhidi ya MASHETWANI wanaoufanyia ghasia na kufuru ulimwengu.
 
Hana majivuno,mpangilifu,ana busara na hekima,jasiri,msomi,jasusi,commando,mvumilivu na mwenye subra,waama mwenyezi MUNGU katuletea mtetezi dhidi ya MASHETWANI wanaoufanyia ghasia na kufuru ulimwengu.

Pia ni mzoefu wa siasa za ulimwengu kuliko rais yeyote yule aliyeko madarakani muda huu tunaongea.
 
ebu mzungumzie Urusi ndo utuletee ushuz wako mwingine , mnakuwa na miwasho yq kuiwazia nchi fulani , story inamuhusu Urusi ila nyegez zinakuforce umtaje Kibaden

Ujue kuwa Urusi anapambana na NATO katika medani zote, kuanzia vita, siasa, diplomasia, uchumi, biashara, tekinologia n.k.
 
Nadhani sasa siyo siri tena.




1668888086182.png
 
Back
Top Bottom