Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,806
Kitu kipigwe pipe za kutosha kila siku kitakuwa plstic linaloyeyushwa,
Kitu kipya kuliko maelezo despite of foleni.
Kitu kipya kuliko maelezo despite of foleni.
Huu ndio tunaita usaliti wa kitaaluma, yaani wanakiongopesha kipimo maksudi!!We unaangalia kupima tu je kama mtoto siyo wakohafu mama yake hajui baba wa mtoto alipo au uchumi wake hamfanyi aweze kutunza mtoto hujui kuwa itakula kwako wataalam watasema ni wako kumbe siyo.
Sasa hawa wanasosholojia watajifanya wana akili sana, kumbe ndio wanaharibu mambo, ***** zao, mfano hai mkuu ni mimi binafsi, kuna mtoto nahisi nimebambikwa, amezaliwa copyright na sura ya mfanyakazi mwenzangu, huyo jamaa nahisi kanyimwa tu,hapo suala siyo wanasayansi wanasosholojia ndo kazi zao kuchakachua majibu ili mtoto au ndoa isivurugike maana daktari kabla hajakupeni majibu lazima aombe ushauri wa wataalam wa ustawi wa jamii.
umeamua kufa na tai shingoni sio? au wewe ni mmojawapo unayejenga nyumba mme hajui!
Hahhhahhha aisee 16 idadi ya Kim Kardashian hiyo lol,we mbona unajazaa Kile kivuko cha kigamboni mi sisemiii nimeuchunaa tu, kwa hiyo 16 lazima mtu apwayee etii nomaa sanaaaa
mie siwezi kusema kama nimefika kileleni hadi naingia kaburini.
Na kodi nshaanza kula...
Ana mpenzi humu huyo..
Je, ni jambo gani mwanamke hawezi kulisema?
Kodi yake inaisha june karibu, ila sipangishi watu waliooa....naomba umfukuze huyo mpangaji unipangishe mie maana ndio njia ya kuonana nawe!
Kodi yake inaisha june karibu, ila sipangishi watu waliooa....
Anakuzingua hata boyfrend sina mie....ah ah ah ah ah, evelyn salt jibu tuhuma hizi
Sasa hawa wanasosholojia watajifanya wana akili sana, kumbe ndio wanaharibu mambo, ***** zao, mfano hai mkuu ni mimi binafsi, kuna mtoto nahisi nimebambikwa, amezaliwa copyright na sura ya mfanyakazi mwenzangu, huyo jamaa nahisi kanyimwa tu,
na huwa anatamani kweli mtoto, kwa sababu nilishawahi ambiwa kuwa mchumba wangu huyo alikuwa anachepuka na huyu jamaa ambae ni rafii yangu, nataka baadae niconfirm kwa DNA halafu nimshtue jamaa kwamba bro una mtoto, ili achukue mtoto wake apeleke kwao, maanake huyo bi ti sijamuoa yuko kwao, sasa katika mazingira haya, huoni kuwa wakidanganya vipimo watakuwa ndio wameharibu?
Huu ndio tunaita usaliti wa kitaaluma, yaani wanakiongopesha kipimo maksudi!!
Sasa si wangesema tu kuwa hatupimi DNA kwa ajili ya kutambua mzazi halisi wa mtoto kwa kuhofia kuparanganyisha familia kuliko kutoa majibu ya uongo?
kugegedana ndani ya ndoa ni noma, Malafyale. by the way vipi mafuriko yamepungua? lolKugegedwa ndani ya ndoa