Siri gani mwanamke hawezi kusema mpaka kaburini?

Siri gani mwanamke hawezi kusema mpaka kaburini?

Bora asikuambieee maneno mengineee si vizuri kuyasikiaaaa
Unaweza pata preshaa ya kujitakia usipende kuulizaa ulizaaa
 
Ahahahaha, amenikumbusha ndugu yangu mmoja alinunia miaka 2 hata nikimsalimia haitiki. Kisa alinipa nguo zake (2, chafu)nimpitishie kwake na mie nikiwa ndo naanza safari ya mkoa. Sikupitisha ila kesho yake zikatumwa kwa courier na akakataa kuzipokea. Genuinely nilisahau. Basi mie nikazihifadhi to date (7yrs?). Na ndo keshakufa sasa. Nimewaambia nduguze wananiambia zichome moto, nimegoma watachoma wenyewe.

kila siku akinivutia mdomo nilikuwa najiuliza hivi huyu akiulizwa nimemuudhi nini atajibuje? Sie wanawake bwana, ahahahha.
....ahhh, unajitoa amani bure tu. Kama alivyosema King'asti, anaweza kutajia jambo ukabaki mdomo wazi kwa mshangao lilivyo #NonIssue ....






#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Kutembea nje ya ndoa, kuzaa nje ya ndoa, kutembea na rafiki wa bwana, kupigwa mande na kukutajia idadi ya wanaume aliolala nao mara nyingi atapunguza idadi

Mhhhhhh mbonaa mi hua sipunguzi idadii yaan najaza boda boda mbili tuuuuu!!
 
.....umeona ee?... Sasa huyo #Siri yake "Aliipaka Jam na Siagi" kisha akaifanyia na Lamination kabla ya kuificha huko uchagoni!

Mtu kama huyo akuambie alichokifanya utamuelewa kweli?! PRIDE IS PRECIOUS 😉

Ahahahaha, amenikumbusha ndugu yangu mmoja alinunia miaka 2 hata nikimsalimia haitiki. Kisa alinipa nguo zake (2, chafu)nimpitishie kwake na mie nikiwa ndo naanza safari ya mkoa. Sikupitisha ila kesho yake zikatumwa kwa courier na akakataa kuzipokea. Genuinely nilisahau. Basi mie nikazihifadhi to date (7yrs?). Na ndo keshakufa sasa. Nimewaambia nduguze wananiambia zichome moto, nimegoma watachoma wenyewe.

kila siku akinivutia mdomo nilikuwa najiuliza hivi huyu akiulizwa nimemuudhi nini atajibuje? Sie wanawake bwana, ahahahha.




#MosKwito !
 
Wana MMU,

Wanawake kwa wanaume naombeni msaada, ni siri gani mwanamke hawezi kusema hadi kaburini. Rafiki yangu wa kike, anayeishi Moshi, ambaye tumedumu kwenye uhusiano kwa miaka 2, katika maongezi nilimuuliza ni jambo gani hawezi kulisahau akasema kuna mtu hawezi kumsamehe kwa kuwa alimfanyia kitendo kibaya. Nimembembeleza aniambie ni kitu gani na nani alimtendea lakini amegoma katu. Nahisi huenda alibakwa. Je, ni jambo gani mwanamke hawezi kulisema?

Nimekosa amani kufikia kumchukia jamaa ambaye simfahamu wala sijui alimtendea nini.

Siri utazipata kwa rafiki au ndgu yake wa karibu kama utajua namna ya kuwaingia mara nyingi kupitia kwa mtu wa tatu.
 
Hahaha kupanga ni kuchagua. Alijichagulia stress yake mwenyewe kwa raha zake.

sijui mnaishije na sie wanawake aisee. Akhaa!
.....umeona ee?... Sasa huyo #Siri yake "Aliipaka Jam na Siagi" kisha akaifanyia na Lamination kabla ya kuificha huko uchagoni!

Mtu kama huyo akuambie alichokifanya utamuelewa kweli?! PRIDE IS PRECIOUS 😉






#MosKwito !
 
Kugegedwa ndani yamaji wakati umeenda beach alafu ukamkodia boya ili afundishwe kuogelea. Wale jamaa nuksi,niwajuzi wamambo ndani yamaji, mwanamke atake asitake akiwa mzuri lazima agegedwa nakatu hawezi kukwambia mpaka anaingia kaburini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sioni ni kitu gani mwanamke anaweza asikwambie, ni suala la muda tu ila usilazimishe saana mpk ukajikuta unaonesha hasira kwa jambo ambalo hulijui. Nakumbuka mi x wangu alikuwa rafiki yangu sana kiasi kwamba akawa ananiambia mambo mengi sana mazito na mojawapo ni la kubakwa akiwa mdogo na houseboy wao....na hili jambo ni siri ndani ya family yao
Labda akiwa ameenda kwa mganga kukuroga, na hata hili pia siku ukimzunguka zunguka basi atakwambia ukweli wote na kukuomba msamaha.

Inawezekena yeye ndo alimtaka HB wao akamg'oa bikra hivyo alivyokutaka akahisi labda utataka kumuuliza bikra yake.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kukubambikia mtoto. Hapo kijana mpaka wakutatulie wataalam wa DNA.

DNA mara nyingi watakudanganya tu kwani watu wa ustawi wa jamii hawapendi kuona mvurugano kwenye ndoa au wakisema baba yake si yule aliyepima mtoto anaweza akakosa matunzo.
 
Hapo hakuna heart to heart conversation. Kuna vitu unaweza kaa navyo peke yako maishani, but with the right person utasema tu, take it from me. Kama mnapanga ndoa, ni ile ndoa inayoweza kuwa mmoja anajenga Maswa, mwingine anasindika mtama Nkasi, kama tu mnara wa babeli.

Hakuna kitu muhimu kwenye mahusiano kama mawasialiano ya wazi, kumbuka 'wazi' hailazimishwi, ni mtu ana-earn hiyo trust.
 
siri kubwa ni ya kukubambikia mtoto aisee hiyo ni cri kubwa mno, hakuna anayeweza kuitoa hata ufanyeje,,,,,hizo za kuliwa tigo walau anaweza akaisema
 
Who cares kama anasiri au lah!! Am sure wanawake wetu hawataki kujua siri zetu wanaweza kufa kwa mshtuko.


The king.
 
Kidogo nidhani who cares ana siri, na wewe unazijua.

Who cares kama anasiri au lah!! Am sure wanawake wetu hawataki kujua siri zetu wanaweza kufa kwa mshtuko.


The king.
 
Last edited by a moderator:
Idadi ya mimba alizotoa. Yaani hata umchombeze vipi hawezi kukutajia idadi.
 
Back
Top Bottom