TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
ID yako inaconvey attitude yako...sorry
Hahahaaa...its yo opinion... thanks anyway.
ID yako inaconvey attitude yako...sorry
Da kama ndo hivyo hiyo K ishapoteza elasticity
DNA mara nyingi watakudanganya tu kwani watu wa ustawi wa jamii hawapendi kuona mvurugano kwenye ndoa au wakisema baba yake si yule aliyepima mtoto anaweza akakosa matunzo.
Wewe usiendekeze mambo ya wanawake, take it from me! Hukawii kumsikia anakuambia ooh huyo mtu aliniharibia zipu ya handbag yangu! Women can be really strange nkt!
Wewe usiendekeze mambo ya wanawake, take it from me! Hukawii kumsikia anakuambia ooh huyo mtu aliniharibia zipu ya handbag yangu! Women can be really strange nkt!
Sasa wanamaana gani kuwa na kipimo cha DNA?DNA mara nyingi watakudanganya tu kwani watu wa ustawi wa jamii hawapendi kuona mvurugano kwenye ndoa au wakisema baba yake si yule aliyepima mtoto anaweza akakosa matunzo.
binamu umenimaliza kabisa.....
Hapo sijui unataka kujua nini maana ashakwambia sasa ukishajua itakusaidia nini??Wana MMU,
Wanawake kwa wanaume naombeni msaada, ni siri gani mwanamke hawezi kusema hadi kaburini. Rafiki yangu wa kike, anayeishi Moshi, ambaye tumedumu kwenye uhusiano kwa miaka 2, katika maongezi nilimuuliza ni jambo gani hawezi kulisahau akasema kuna mtu hawezi kumsamehe kwa kuwa alimfanyia kitendo kibaya. Nimembembeleza aniambie ni kitu gani na nani alimtendea lakini amegoma katu. Nahisi huenda alibakwa. Je, ni jambo gani mwanamke hawezi kulisema?
Nimekosa amani kufikia kumchukia jamaa ambaye simfahamu wala sijui alimtendea nini.
Mhhhhhh mbonaa mi hua sipunguzi idadii yaan najaza boda boda mbili tuuuuu!!
Wewe usiendekeze mambo ya wanawake, take it from me! Hukawii kumsikia anakuambia ooh huyo mtu aliniharibia zipu ya handbag yangu! Women can be really strange nkt!
Nasikia wewe umri miaka 29 lakini uliotembea nao unajaza hiace level seat watu 16 na kwenu unaheshika sana kuwa mwanamke aliyetulia na familia imeomba ufanywe mtakatifu sasa najiuliza wanaume 16 at age of 29 na ufanywe mchakato wa kuwa mtakatifu na waliobaki wengine wakoje? lol
Janga hili naweza sema linashikilia nambari mojaKukubambikia mtoto. Hapo kijana mpaka wakutatulie wataalam wa DNA.
Kweli mkuuIdadi ya mimba alizotoa. Yaani hata umchombeze vipi hawezi kukutajia idadi.