Kitu kipya kuliko maelezo despite of foleni.
Sa nikisema hapa si ndo nshatoa Siri kabla sijaingia kaburini....mmh mi sisemi!!!
Tigoni tena? akizoea atajisahau na kuhamishia muhogo hukoKufanya mapenzi tigoni. Kazaa nje ya ndoa. Kuhongwa. Hapo sijui kama tutasema.
mie siwezi kusema kama nimefika kileleni hadi naingia kaburini.
Mmh hamna bana sisemi tu....aaaaah kwa mme wako bana. sio hapa jukwaani
Mmh hamna bana sisemi tu....
Wana MMU,
Wanawake kwa wanaume naombeni msaada, ni siri gani mwanamke hawezi kusema hadi kaburini. Rafiki yangu wa kike, anayeishi Moshi, ambaye tumedumu kwenye uhusiano kwa miaka 2, katika maongezi nilimuuliza ni jambo gani hawezi kulisahau akasema kuna mtu hawezi kumsamehe kwa kuwa alimfanyia kitendo kibaya. Nimembembeleza aniambie ni kitu gani na nani alimtendea lakini amegoma katu. Nahisi huenda alibakwa. Je, ni jambo gani mwanamke hawezi kulisema?
Nimekosa amani kufikia kumchukia jamaa ambaye simfahamu wala sijui alimtendea nini.
kama alishawahi kutoa mimba hawezi sema hata kidogo,,,
umeamua kufa na tai shingoni sio? au wewe ni mmojawapo unayejenga nyumba mme hajui!
Sasa wanamaana gani kuwa na kipimo cha DNA?
Hayo ni mawazo duni na kutowaamini wana sayansi wetu.