wanajf hili jambo ambalo linaisumbua kidogo juu ya hill suala la arobaini kwani mambo mengi wanahusisha siku arobaini nitakupeni mifano michache; ukitaka kufunga kidini hufunga kwa siku arobaini, mama akijifungua huanzakutombwa baada ya siku 40, mtoto akizaliwa huanza kutolewa nje baada ya siku 40, ukifiwa mama hukaa eda siku 40, honeymoon watu hukaa siku 40 na mengine mengi ila nisaidie penye arobaini inayohusisha mambo ya mapenzi huwa inamaana gani kwaanaejua nijuzen hapo.
Typing.......