Siri gani ipo nyuma ya namba 40(arobaini)?

Siri gani ipo nyuma ya namba 40(arobaini)?

Mbona ulizi kwanini kila kitu kibaya Duniani kinalinganishwa/Kufananishwa na RANGI NYEUSI (BLACK)?

Zimwi likujualo......
 
Habarini wakuu. Kama kichwa cha uzi kinavyosema. Naomba mwenye ufahamu atufahamishe zaidi....

Karibuni.

Naomba kujua kwanini Nuhu alitengeneza safina kwa muda wa miaka 40, Mvua ya Garika ilinyesha siku 40, Waisrael walikaa utumwani Misri kwa miaka 40. Pia Waisrael walisafiri Nyikani kwa muda wa Miaka 40, mnara wa Babeli ulijengwa kwa miaka 40, BWANA
YESU KRISTO, alifunga kwa Siku 40, pia alipaa Mbinguni baada ya siku 40,
Pasaka inaadhimishwa baada ya Siku 40. Hata watu wakifiwa, humaliza msiba kwa kuondoa matanga baada ya siku 40, pia watu husema za mwizi 40, hata mtoto hutolewa nje baada ya siku 40. "kwa nini ni 40?"
Kuna watu watafikiria huu uzi kwa masaa 40,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je, ni nini siri ya namba arobaini(40)?
  1. Kipindi cha Musa wana wa Israeli walisafiri toka Misri kwa miaka arobaini(40).
  2. Kipindi cha Nuhu mvua ilinyesha siku arobaini(40).
  3. Yesu alifunga miaka siku(40).
  4. Goliati aliwapiga wana wa Israeli kwa siku arobaini (40) kabla hajauwawa na Daudi.
  5. Musa alipanda mlimani kupewa amri kumi za Mungu kwa siku arobaini(40).
  6. Mtu akifa kunakuwa na arobaini yaani siku arobaini baada ya kufa(40).
  7. Mtoto akizaliwa anatolewa nje baada ya siku arobaini(40).
  8. Hata mwizi zake ni arobaini(40)
- Na mengine mengi yanayoihusu namba arobaini (40)

Wale wataalamu wa kusoma namba naombeni msaada wenu kuhusu hii namba.

Cc: Mshana Jr
Ukijua kwa nini vipindi vya darasani kuanzia chekechea vimepangwa kwa dakika 40 utaelewa. Hii ni elimu ndogo sana.
 
Hata tukifufuliwa tutasubiri siku 40 ndio tunaanza kupewa kichapo na vipondo vya hatari full doze asubuhi kipigo, mchana kipondo na jioni kichapo full kilio mji mzima aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom