Siri ambayo wanaume wengi hawaijui kuhusu wanawake

Habari!

Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.

Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.

Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.

Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.

Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.

Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.
nakubaliana na hii hoja yako mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ngoja uje kuwa na binti au mtu wako wa karibu aolewe halafu mume wake amfanyie vitimbi na Umalaya halafu uone kama utafurahi
Jinsi Mwanaume mwenzio kwa vitendo hivyo au ungetamani atulie na mkewe na kujenga maelewano mema.
 
Back
Top Bottom