DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,452
- 99,057
Maneno mazur SanaWanawake wanajisikia uchungu zaidi wakisikia unatoa pesa nje kuliko wakisikia una-cheat nje.
Kuhusu maumivu nao wanayahisi kwa kiwango cha juu ingawaje maumivu tuyapatayao wanaume ni makali maradufu
Ndio maana ni ngumu Sana mwanamke kunywa sumu kisa mapenzi au kujiua kisa Mapenzi. Lakini Sisi wanaume ndio tunaongoza
Turuhusiwe na sie basi , lakini sisi mnatutengenezea magunia ya mkaa na mapetroli.
Hapa natilia mkazo tu ya kuwa hakuna mwanamke ambaye hauwezi uke wenza wote wanauweza, ila huwa wanajifaragua tu.Habari!
Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.
Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.
Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.
Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.
Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.
Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.
Kuna mambo hata mngeruhusiwa yasingewezekana sababu maumbile hayaruhusu.Turuhusiwe na sie basi , lakini sisi mnatutengenezea magunia ya mkaa na mapetroli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andiko lako libandikwe kila sehemu yenye "Postikodi" na vibao vya "USIKOJOE HAPA"!Limekaa kishujaa sana.Habari!
Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.
Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.
Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.
Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.
Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.
Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.
mnatuoneaKuna mambo hata mngeruhusiwa yasingewezekana sababu maumbile hayaruhusu.
Mimi niliwahikuwa na mahusiano na wanawake fulani 2 wa chuo fulani ..Habari!
Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.
Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.
Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.
Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.
Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.
Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.
Sasa tuna waonea vipi wakati maumbile yenu hayaruhusu ?
Ahahahaha.Andiko lako libandikwe kila sehemu yenye "Postikodi" na vibao vya "USIKOJOE HAPA"!Limekaa kishujaa sana.
DuuuuhhhMimi niliwahikuwa na mahusiano na wanawake fulani 2 wa chuo fulani ..
Wasichana hao nilikuwa nao kwa kipindi tofauti,
Lakini walikuwa na tabia moja zinazofanana.,
Kunitafutia wanawake niwatafune mbunye
.
--Either ni shoga yake ,
--au kama ana mwanamke mwenzie wamegombana huko chuo,
Basi atakuja atanambiya,
Mwandende "nakupa mtoto mzuri Sana umle mbunye,"
Nikishamla ,, baadae yule girlfriend wangu anakwenda kwa yule shoga yake ,,
Ili ampe story jinsi penzi langu lilivyokuwa taamu..
Yeye anakuwa ndy kishapata faraja.
Kwa Ushuhuda huu,
Ni kweli mwanamke haumizwi na chochote kwa mahusiano mengine ya mwanaume wake.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Wengi watazikwa na utamu waoila ukiangalia idadi iliyopo kati yetu, wanawake wanatuzidi kwa wingi hivyo kila mtu akiwa na mmoja basi wengi watakosa wenza
Hiyo ni asili ya mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja. Lakini mwanamke hana asili hiyo.Habari!
Kuna mambo hayabadiliki na hayataweza kubadilika karne na karne. Labda binadamu sisi tuliopo tuondoke duniani na kuja kizazi kingine.
Jambo ambalo wanaume wengi hawalijui ni kwamba " wanaume hawachepuki, hawacheat na hawapaswi kusalitiwa na mwanamke"
Suala la mwanaume kuwa na mke au mpenzi mmoja ni maamuzi yake binafsi ambayo yatachochewa na aina ya elimu aliyonayo, dini au utamaduni wake.
Ila ikitokea mwanaume ameamua kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi ijulikane kuwa hakuna mwanamke mwenye mamlaka ya kumkaripia au kumshitaki kwa uamuzi wake huo.
Na ikitokea wewe mwanaume umeingia kwenye mgogoro wa kifamilia eti kisa una mchepuko sijui, sijui umeoa mke wa pili basi wewe mwanaume ni dhaifu, dhaifu, dhaifu wa kiwango cha kimataifa.
Karibu mila na tamaduni zote duniani zinampa nguvu mwanaume ya kumiliki mwanamkee zaidi ya mmoja. Dini karibu zote zinampa mamlaka mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Nyuma ya shilingi. Mwanamke hapaswi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja. Na ikitokea umepata viashiria vya usaliti huyo ni wa kumfukuza within a minute.
Huu wivu ambao wadada wanauonyesha ni fake na wanatuigizia. Hakuna uchungu mwanamke anaupata anapojua kuwa umekunywa maji ugenini.