Siri 5 Mauaji Msikitini

Mbona waarabu wenyewe hawakati kanzu zao wala hawavai hivyo vipedo?
 
I'm sorry, nilifikiri Ww ni SHE, nimezoea maneno kama yako yanatoka kwa mdomo wa KE
Watoto wa kiume mliokaa na kinadada mnashida sana, ila kutetea kwako magaidi lazima ufuatiliwe tu.
 
Wewe, hao ni wenzao kabisa, eti wamewasaliti, usilete urojo hapa
 
Huwa najiuliza waarabu ndo wangekuwa super power wa Dunia hii mfano kama Marekani, France, Uk, German, Russia, China, Japan nk. Wangeruhusu imani nyingine kweli nje ya uislam?
Waarabu wana roho mbaya sana
 
Kama una jicho la uono na fikra pevu utamaizi kuwa waliouliwa walikuwa Waislamu na walioua Si Waislamu. Watafutie dini ya kuwapa, regardless ya watakachosema hawana uislam na Uislamu hauwatambui.
Hizi ndo quotes za busara
 
Nafikiri ni wakati wa kuangazia makundi yote ya judo.Iwe msikitini ama nje ya hapo.Kama mnauana wenyewe sisi makafiri si mtatumaliza? Majudo ya nini nchini sisi sio wachina.
 
Waarabu wana roho mbaya sana
Wanao uwatu hapa tz ni waarabu wanao katakata maalbino wakiwa hai ni waarabu wanachuna ngozi kule mbozi mbeya ni waarabu walio uwa watu sengerema ni waarabu walichoma moto familia yote hapo dsm ni waarabu walio uwa mwnyekiti wa mtaa mwz ni waarabu wanauwa vikongwe huko kanda ya ziwa ni waarabu?
Kumbuka kila jamii ina watu wahalifu...
Burundi waafrica wanuwana congo, sudan, masumbiji, angola, naigeria,kenya, uganda kila sehemu za africa maiwaji ivi hayakuumi haya mawaji yanayo fanyika africa unaumia na mauwaji ya waarabu tu?
Jadili hoja bila chuki na toa maoni yako nini kifanyike kizuiya haya mauwaji ktk ardhi ya tz africa na dunia yote.
Yawezekana maoni yako yakawa dawa ya kumaliza mauwaji na uhalifu mwngine.
 
Hayo maarabu si ndio yana recruit na kuwa brainwash baadhi ya waislam kujiunga IS na kuchinja watu kama kuku.
Waarabu wana roho mbaya sana.
 
Nafikiri wanapenda mazoezi ukilinganisha wala nguruwe
kwahiyo hawa waliokuwa wanasali baada ya kumaliza mazoezi badala ya kwenda kuwatoa wenzao ulitaka wapewe adhabu gani na kaka gaidi????

Maana ni ujinga kupiga mazoezi. unaletewa taarifa wenzako wanaonewa wewe unaendelea kusali.

ACHA KUANDIKA KWA HISIA TUMIA AKILI.
 
kama kuna sheria inakataza kufanya mazoez nyumba ya ibada weka hapa,judo ni kwa ajil ya kujilinda na uonevu(vibaka) na kuweka afya safi
Ndio maana kaka gaidi alivyoingia ndani aliuliza swali moja.

Kwanini mnsali wakati wa mapambano kutafuta haki ya wenzenu.wala hujakosea mkuu na gaidi hakukosea pia.
 
Kwanini unaamini waliotekeleza mauaji hayo ni waislam? Kwani hujawahi kuona jambazi anaua halafu silaha anamshikisha marehemu ku-FAKE ionekane marehemu kajiua? Akili gani uko nayo...

Kwa akili yako hii wauaji mpaka sasa wameshafanikiwa malengo yao coz tension yote imehamia kuwasaka hao the so called Magaidi
 
Hayo maarabu si ndio yana recruit na kuwa brainwash baadhi ya waislam kujiunga IS na kuchinja watu kama kuku.
Waarabu wana roho mbaya sana.
Mkuu jitahidi kunisoma unielewe..
Waarabu wanayao na sisi waafica tunayetu.
Sasa nini tufanye ili sisi waafrica tuondokane na maovu yetu?
Ya waarabu waachie waarabu wenyewe kwanza tuanze na yetu tukimaliza ndio tutaenda kwa waarabu kuwasaidia njia tulizo tumia sisi ili na wao watumie.
 
 
Mbona waarabu wenyewe hawakati kanzu zao wala hawavai hivyo vipedo?
Unaongea usichokijua mkuu,waarabu wenye kuijua dini na kuifuata hawavai kanzu zinazoburula mji mzima kisha hizo hizo Kanzu wakaingia nazo Msikitini kuswali!!

Usiongee kitu usichokijua Mkuu, au pengine kwa vile umeona waarabu wawili watatu hapo mtaani kwako wanavaa kanzu ndefu basi ndio ukahukumu waarabu wote wako hivyo?!
 
Waarabu wana roho mbaya sana
waliotengeneza HIV wana roho nzuri?..waliochinja wahindi wekundu wana roho nzuri?..waliomwaga agent yellow vietnam wana roho nzuri,waliopga atomic japan?chinja aborigin australia?walioendesha vita vya msalaba?vita iraq,afganstan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…