kha!! wanawake hawa bana...sasa kwa kuwa umempa pete ya uchumba ndio anadaka mimba?
wee mbwage na mwambie hapa hamna tena ndoa maana mambi gani hayo ya kutegana...kwani ulimwambia wataka mtoto? make her pay kwa kumbwaga. wamezidi sana hawa wanawake kudaka mimba wakati njemba hajakwambia kuwa anataka mtoto
wewe hapa sio ubabe. it just stating the obvious jamanii!!! wewe sikiliza usiwe na jazba eti kwa sababu wewe mwanamke.
mimi sikatai kuwa mamikojo yake ndio yamembebesha mimba huyu mwaamke. the isssue hapa ni je mnamke na mwanaume wlikubaliana kuwa sasa tuzae? hyo hadithi ya kavu mbona ni makubaliano tuu bwana. having an procted sex is not a greenlight to u getting pregnant...its merely a natural desire to taste natures sweetest fruit in its fullest.ni lazima kuwe na makubaliano kati ya hao watu wawili kama wote wapo tayari kwa kueta mtoto kama vile kunavokuwa na makubaliano ya kufanya sex kavu kavu
Habari zenu wakuu,
Leo naomba ushauri wenu.
Nina mchumba wangu ambaye nimeshamlipia mahari na tayari nimemvisha ya uchumba. Jana jioni aliniambia kuwa ni mjamzito na kuwa hiyo mimba ni yangu, kwa kuwa namwamini sina tatizo na hilo. Ila tatizo langu ni kuwa kwa sasa ssipo tayari kulea mimba hapo tutakapofunga ndoa. Tunategemea kufunga ndoa Feb 2013
Kwa kweli nipo njia panda na ninafikia hadi wakati namemwambia my fiancee kuwa aafanye abortion jaapo yeye anakataa.
Naombeni ushauri katika hili coz nimekosa raha kabisa. Na jambo la pili km nikifanya abortion je ni njia zipi salama za kufaanya jambo hili (japo naajua ni illega)
Naombeni ushauri wenu tafadhali
Yaani mzabzab comments zako!!!! Kwa hiyo siku hizi wanawake mimba tunajiwekea wenyewe? Haya bwana.
Kama unajua vizuri mahusiano.Jibu swali langu kwanza NANI ANAHUSIKA KUHUSU KUPANGA UZAZI? Halafu tuendelee na hoja.
Habari zenu wakuu,
Leo naomba ushauri wenu.
Nina mchumba wangu ambaye nimeshamlipia mahari na tayari nimemvisha ya uchumba. Jana jioni aliniambia kuwa ni mjamzito na kuwa hiyo mimba ni yangu, kwa kuwa namwamini sina tatizo na hilo. Ila tatizo langu ni kuwa kwa sasa ssipo tayari kulea mimba hapo tutakapofunga ndoa. Tunategemea kufunga ndoa Feb 2013
Kwa kweli nipo njia panda na ninafikia hadi wakati namemwambia my fiancee kuwa aafanye abortion jaapo yeye anakataa.
Naombeni ushauri katika hili coz nimekosa raha kabisa. Na jambo la pili km nikifanya abortion je ni njia zipi salama za kufaanya jambo hili (japo naajua ni illega)
Naombeni ushauri wenu tafadhali
nilivyosoma post nilikutukana kimoyomoyo naomba unisamehe....
hivi wakati mnangonoka mpaka mnahisi utamu kupita mlikuwa mnawaza nini....
KHA WANAUME WENGINE VILAZA KWELI... NAMPA POLE HUYO MKEO MAANA ANAOLEWA NA MWANAUME KATILI ASIYE NA HURUMA HATA KWA DAMU YAKE MWENYEWE....
Mkuu wewe muache mwenzio alee mimba yake kwani aliyeibeba ni yeye wala sio wewe.... just imagine aitoe then apate tatizo la kupelekea kutolewa kizazi.... je upo tayari kuishi naye???? vp akifa pia utafurahi????
tumia akili sometime... kama humtaki ni bora umuache kuliko kumshauri atoe mimba!!!!!!!!
Mtoa mada sijui hata kama hiyo ndoa ataiweza coz BUSARA ZERO.[/QUOTE
Mungu amsaidie sna maana dalili si nzuri na anaonekana kuogopa maju
kujukumu.
nilivyosoma post nilikutukana kimoyomoyo naomba unisamehe....
hivi wakati mnangonoka mpaka mnahisi utamu kupita mlikuwa mnawaza nini....
KHA WANAUME WENGINE VILAZA KWELI... NAMPA POLE HUYO MKEO MAANA ANAOLEWA NA MWANAUME KATILI ASIYE NA HURUMA HATA KWA DAMU YAKE MWENYEWE....
Mkuu wewe muache mwenzio alee mimba yake kwani aliyeibeba ni yeye wala sio wewe.... just imagine aitoe then apate tatizo la kupelekea kutolewa kizazi.... je upo tayari kuishi naye???? vp akifa pia utafurahi????
tumia akili sometime... kama humtaki ni bora umuache kuliko kumshauri atoe mimba!!!!!!!!
Hakuna jitu jinga kama ww. Ulipokuwa unakojoa ulijua unakojoa chini?Habari zenu wakuu,
Leo naomba ushauri wenu.
Nina mchumba wangu ambaye nimeshamlipia mahari na tayari nimemvisha ya uchumba. Jana jioni aliniambia kuwa ni mjamzito na kuwa hiyo mimba ni yangu, kwa kuwa namwamini sina tatizo na hilo. Ila tatizo langu ni kuwa kwa sasa ssipo tayari kulea mimba hapo tutakapofunga ndoa. Tunategemea kufunga ndoa Feb 2013
Kwa kweli nipo njia panda na ninafikia hadi wakati namemwambia my fiancee kuwa aafanye abortion jaapo yeye anakataa.
Naombeni ushauri katika hili coz nimekosa raha kabisa. Na jambo la pili km nikifanya abortion je ni njia zipi salama za kufaanya jambo hili (japo naajua ni illega)
Naombeni ushauri wenu tafadhali
Habari zenu wakuu,
Leo naomba ushauri wenu.
Nina mchumba wangu ambaye nimeshamlipia mahari na tayari nimemvisha ya uchumba. Jana jioni aliniambia kuwa ni mjamzito na kuwa hiyo mimba ni yangu, kwa kuwa namwamini sina tatizo na hilo. Ila tatizo langu ni kuwa kwa sasa ssipo tayari kulea mimba hapo tutakapofunga ndoa. Tunategemea kufunga ndoa Feb 2013
Kwa kweli nipo njia panda na ninafikia hadi wakati namemwambia my fiancee kuwa aafanye abortion jaapo yeye anakataa.
Naombeni ushauri katika hili coz nimekosa raha kabisa. Na jambo la pili km nikifanya abortion je ni njia zipi salama za kufaanya jambo hili (japo naajua ni illega)
Naombeni ushauri wenu tafadhali
Napata tabu sana kukuelewa. Ni kwa nini unasema haupo tayari kulea mimba?