Sipo tayari kulea mimba kabla ya ndoa

Sipo tayari kulea mimba kabla ya ndoa

mkuu unawezatoa isipatikane tena baada ya iyo ndoa ukamlaumu mpenzio kwamba hazai kumbe wewe ndo ulisababisha nakushauri usiitoe kabisa jipangeni tu feb si mbali kama mlikuwa hampo tayari mngechukua taadhari kwa kujikinga basi
 
Duh. Nimeshangaa kweli, mimi ninatamani japo mimba ya kusingiziwa wewe unapata bahati halafu unajifanya kuwa
Bize? Kweli wanadamu hatuna jema. Nakushauri usiitoe hiyo mimba bali uilee. Najua kinachokufunga ni aibu kua
Watu watakuonaje lakn mwisho wa cku hayo ni maisha yako ww binafsi. Lea mimba na fungeni ndoa as soon as possible
 
Duh. Nimeshangaa kweli, mimi ninatamani japo mimba ya kusingiziwa wewe unapata bahati halafu unajifanya kuwa
Bize? Kweli wanadamu hatuna jema. Nakushauri usiitoe hiyo mimba bali uilee. Najua kinachokufunga ni aibu kua
Watu watakuonaje lakn mwisho wa cku hayo ni maisha yako ww binafsi. Lea mimba na fungeni ndoa as soon as possible

huyu itakua anasali makanisa yanayotenga so anaogopa kutengwa tu na wanadam wenzie anafikiria kumkosea muumba
 
USIFANYE HICHO UWAZACHO NI VYEMA KUKUBALIANA NA HALI HALISI NA HUYO MTOTO ANA HAKI YA KUISHI MPENDE MCHUMBA NA MPENDE MTOTO NA utaonekana mwenye hekima
 
kha!! wanawake hawa bana...sasa kwa kuwa umempa pete ya uchumba ndio anadaka mimba?
wee mbwage na mwambie hapa hamna tena ndoa maana mambi gani hayo ya kutegana...kwani ulimwambia wataka mtoto? make her pay kwa kumbwaga. wamezidi sana hawa wanawake kudaka mimba wakati njemba hajakwambia kuwa anataka mtoto

Wakati yeye anachomeka huo mti wake kavu alifikiri nini?
 
kitendo cha wewe njema kufanya mapenzi kavukavu maana yake ushakubali matokeo eiza mimba au VIRUSI ,haina haja ya kuuliza hapo,alllaaaaaaaaaaaaaa,ambwage aone raha ya mwanawe kulelelewa na wanaume wenzie ye atafute mwingine amjaze mimba responsibo men walee

kavu ni akubaliano na mimba kushika au lah inatakiwa iwe makubaliano...kwani jamaa alimbaka huyo demu kufanya sex kavu? ebo!!! mwanaume kama anataka kuzaa na wewe atakwambia sio wajishikia mimba bila kuongea nae
 
We vipi kwani hiyo mimba aliipata kwa njia ya hewa?

alipata baada ya wote wawii kukubaliana kucheza mechi kavu...sasa kwa nini wasingekubaliana kuwa tuzae au lah!! mwanamke sio wadaka mimba tuu kama mwanaume ajaongelea hilo suala....uateseka wewe miezi 9 na matusi huko hospital na jamaa anasepa tuu
 
Habari zenu wakuu,
Leo naomba ushauri wenu.
Nina mchumba wangu ambaye nimeshamlipia mahari na tayari nimemvisha ya uchumba. Jana jioni aliniambia kuwa ni mjamzito na kuwa hiyo mimba ni yangu, kwa kuwa namwamini sina tatizo na hilo. Ila tatizo langu ni kuwa kwa sasa ssipo tayari kulea mimba hapo tutakapofunga ndoa. Tunategemea kufunga ndoa Feb 2013
Kwa kweli nipo njia panda na ninafikia hadi wakati namemwambia my fiancee kuwa aafanye abortion jaapo yeye anakataa.
Naombeni ushauri katika hili coz nimekosa raha kabisa. Na jambo la pili km nikifanya abortion je ni njia zipi salama za kufaanya jambo hili (japo naajua ni illega)
Naombeni ushauri wenu tafadhali

Ungekuwa karibu nami ningekupiga mingumi mpaka police, unavyojua kufunua watoto wa wenzio hujui matunda yake. IBILISI mkubwa WE. na ukifaniikiwa kutoa mimba ihamie tumboni kwako ukajifungue wewe.
 
Ulipokuwa kwenye uroda ulitegemea nini? Tena utubu fasta maana ushaua kwa kukusudia..Ndo maana watoto wanakuwa na maroho ya kukataliwa maana wanaanza kukataliwa toka tumboni
 
Wewe pumbavu kabisa wakati unakojoa ulifikiri ni gold unamuwekea shenzi wewe,jamani naogopa ban ningekutukana zaidi,halafu ningekuwa huyo dada ningekuwa nimeshakubwaga wewe si mwanaume huna hadhi ya hata kuitwa mwanaume,what a loss,huna hata haya ya kuleta huu ujinga hapa,wewe ulipofanya bila kondomu ulikuwa unawaza nini,katili kama nini,ulibebwa tumboni kwa mwanamke wewe?
 
Tena wewe ni nuksi cursed is the day she met you?huna huruma ataishi na kujilaumu daima asipopata mwingine,wewe ni zero,
 
alipata baada ya wote wawii kukubaliana kucheza mechi kavu...sasa kwa nini wasingekubaliana kuwa tuzae au lah!! mwanamke sio wadaka mimba tuu kama mwanaume ajaongelea hilo suala....uateseka wewe miezi 9 na matusi huko hospital na jamaa anasepa tuu

Wajibu wa kuzuia mimba ni pande zote mbili kwa sababi bila hayo mamikojo yake mimba ingeingia alafu unaonekana unaaminia ubabe kwenye maisha yako kuliko AKILI NA BUSARA.
 
hapa JF nadhani ndo uzuri wake....kila mwenye lake analimwaga....jema, baya twende kazi

sasa lara 1 hebu msaidie kumshauri huyu maana mimi ningekuwa karibu ningetamani hata kumzaba kibao.
 
Last edited by a moderator:
watu wanatafuta watoto kwa shida we unangangana kuitoa
je ukimuoa asipozaa utamlaumu nani?
Mungu amekujala mtoto wewe unataka wanadamu wakuone u mwema kumbe ni afadhali ya lucifer
ngekuwa karibu ningekuzabua.
 
Wajibu wa kuzuia mimba ni pande zote mbili kwa sababi bila hayo mamikojo yake mimba ingeingia alafu unaonekana unaaminia ubabe kwenye maisha yako kuliko AKILI NA BUSARA.

wewe hapa sio ubabe. it just stating the obvious jamanii!!! wewe sikiliza usiwe na jazba eti kwa sababu wewe mwanamke.
mimi sikatai kuwa mamikojo yake ndio yamembebesha mimba huyu mwaamke. the isssue hapa ni je mnamke na mwanaume wlikubaliana kuwa sasa tuzae? hyo hadithi ya kavu mbona ni makubaliano tuu bwana. having an procted sex is not a greenlight to u getting pregnant...its merely a natural desire to taste natures sweetest fruit in its fullest.ni lazima kuwe na makubaliano kati ya hao watu wawili kama wote wapo tayari kwa kueta mtoto kama vile kunavokuwa na makubaliano ya kufanya sex kavu kavu
 
Back
Top Bottom