Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,809
wakuu habar.
muda mref hawa wanaharakat fek wananichefua sana, eti tupige kura, tuwape chakula. wahunituu. rasilimali ngapi hatujatumia? madini, mbuga, ardh.....mpaka tunatukanwa na cameroon. bulsht, sipigi kura mimi....
Hakika mkuu, Namwona Mwinyi pale, na PINDA... eti pigia kura MLIMA Kilimanjaro. Nasema hawa jamaa vipi? Wakati wa kampeni walijaza mabango ya JK kila kona ya nchi. Kama lingekuwa ni suala lenye maslahi kwa nchi na hata vizazi vijavyo ni kwa nini wasijaze mabango kila kona kama vile ya JK 2010?
Kampeni yenyewe imeanza tangu 2009, iweje wazinduke dakika za lala salama, huu ni uigizaji mwingine. Na sjiui kwa faida ya nani.
Anyway, Naunga mkono KUTOUPIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO hadi nitakapoona faida ya rasilimali zingine zinazoibwa kila kukicha - Wanyama, Madini, Mifugo nk.