Sipigii kura mlima Kilimanjaro

Sipigii kura mlima Kilimanjaro

Wapige maliasili wenyewe waweke vocha ya 1bil then watume hzo sms
 
hata me sipigii kura kilimanjaro tena bora nipigie wengine atleast watanipa hata scholarship kuliko hawa mafisadi wa tz
 
Watz mnabahat make mlima ungekua unaamishwa ungekua china zamani!
 
wakuu habar.
muda mref hawa wanaharakat fek wananichefua sana, eti tupige kura, tuwape chakula. wahunituu. rasilimali ngapi hatujatumia? madini, mbuga, ardh.....mpaka tunatukanwa na cameroon. bulsht, sipigi kura mimi....

Mimi pia sipigii kura. Sipendi masifa ya kijinga ya takwimu tu ati tanzania ni mahali pekee penye tanzanite. Tanzania ni mahali pekee penye simba sijui wapandao mtini tanzania blah blah blah halafu baadae iwe tanzania nchi yenye mlima kilimanjaro ambao ni maajabu ya dunia wakati watoto wanakaa chini madarasani tunafaidika na nini na sifa hizi arooo sipigi kura kabisa
 
Tunaungana pamoja,hata miye napinga kuupigia kura mana watakao faidika mafisadi wakati sisi tunaendelea kutaabika.
 
If somebody votes or not, Mt. Kilimanjaro is and will still be the highest mountain in Africa.
 
Pamoja sana! muda mrefu niimekuwa kinyume na hawa jamaa. ukishakuwa 7th wonder of the world halafu ndo iwe nini? mimi nimezaliwa kwenye mteremko wa huo mlima, sijaona tofauti yoyote na mzaliwa wa nanjilinji! sipigi kura!

mkuu hata mimi ni mkaskazini ila hawa washenzi wameniudhi sana
 
hatuwasusii!! Tunakata Supply Chain ya madawa ya kulevya..unapopga kura, unaendelea kusupply poda kwa mateja na kuendelea ku make things worse kwako na kwao..sasa tunakata supply ili waende arosto, na ikiwezekana wafe.

safi sana mkuu nimeipenda hiyo
 
Mimi pia sipigii kura. Sipendi masifa ya kijinga ya takwimu tu ati tanzania ni mahali pekee penye tanzanite. Tanzania ni mahali pekee penye simba sijui wapandao mtini tanzania blah blah blah halafu baadae iwe tanzania nchi yenye mlima kilimanjaro ambao ni maajabu ya dunia wakati watoto wanakaa chini madarasani tunafaidika na nini na sifa hizi arooo sipigi kura kabisa

kilometer tano toka bunge latatu kwa ufahari na gharama watu wanakula mlo mmoja kwa siku. kiti kimoja ni 500usd+ watu kwenye nyumba za nyasi!!
SIPIGI KURA,
 
mi cjaelewa jaman wanandugu wa jamii forum, kwa nini uvote kitu ili kishinde kwenye maajabu ina maana co cha maajabu kwa sababu kama kitu ni cha maajabu kitajieleza na sio kutuambia tukipigie kura ili kuingia kwenye maajabu, ebu nsaidieni kwa ili manake mi cwaelewi kabsa hawa wahusika au wanataka pesa 2. Ina maana wanaogombania hizo nafasi sifa hazjitoshelezi ndo maana 2napigia kura
 
Pamoja sana! muda mrefu niimekuwa kinyume na hawa jamaa. ukishakuwa 7th wonder of the world halafu ndo iwe nini? mimi nimezaliwa kwenye mteremko wa huo mlima, sijaona tofauti yoyote na mzaliwa wa nanjilinji! sipigi kura!

GEDO, kama wewe umekataa, basi hata mimi sipigi kura! Kwanza sijawahi kufaidika hata kwa kupata kuni kutoka katika mlima huo..! Mbona hayazungumziwi maajabu ya TANZANITE, mbona hawazungumziwi VYURA WA KULE KIHANSI... Na vipi kuhusu kile KISIMA CHA MAJI YA BARAKA kule ukwereni.. Acheni hizi bhana..! Inauma sana kugawana mahalalio yetu kama zawadi jamani..
 
Naunga mkono hoja kwa asilimia mia nne. Sasa hivi hauna soko ndio wanaomba tuu-promote kwa pamoja halafu baadae waubinafsishe kwa manufaa yao. Kama shida ni maajabu hatuna haja ya mlima, hata hii serikali inavyoendeshwa tayari ni maajabu tena ambayo hayahitaji kupigiwa kura.

Hebu kwanza:
tuwe na uthubutu wa kutumia akili zetu. Kwa kuongeza kodi kwenye mafuta ya taa, kutowekeza kwenye mavumbuzi madogo madogo ya nishati huko vijijini na waheshimiwa ku-re-new license zao za kuvuna magogo tayari ni viashiria vya Mlima kupoteza theluji yooote ndani ya miaka 20 ijayo. Hatuna haja ya kupiga kura, theluji ikipotea tayari ni maajabu
 
Back
Top Bottom