Sipendi mwanamke mchafu kabisa

Sipendi mwanamke mchafu kabisa

Alisikika mlevi mmoja akisema :
Mtu msafi saaaana Huwa ni mchafu kuliko kawaida.. Yuko radhi akojolee kwenye kikombe kisa tu kasugua sinki asilichafue Kwa sababu tu anataka kukojoa... Chunguzeni
 
Mlioenda tofauti na mtoa mada wote nimewapa like. But nimkumbushe mtoa mada kuwa msafi sana ni mojawapo ya magonjwa ya akili na haipo kwenye lundi kundi la personalities
psychopath
 
Kwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Ha ha ha ha ha ha ha ha
Mkuu sidhani kama kuna mtu anapenda mke mchafu
 
Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.

Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Dhubutu

Thubutu
 
Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.

Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
 
Kinachonifanya nifue kila siku asubuhi ni kwasababu sipendi kazi ya kufua hivyo nikizirundika nitaumwa kwa mawazo ya kufua. Nikizidisha ni siku mbili.
Shuka nalalia wiki nzima maana nalilalia mwenyewe. Nguo pekee ninazoweza rudia ni jeans na koti.
 
Hapa mwezi sijafua nakazi ya kurudia rudia nguo tu.... Nikiona inatishatisha naweka kwenye kitenga cha nguo chafu.... Maswala ya kujipa shida siwezi mimi
Mwezi ? Kah! We Mtoa Mada Ndie Anaekufaa.
 
Kwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Makofi!!! umpate na uyo mnyonge kiasi icho..yaan mm ulinislap hata mara moja tuu basi atakaeamulia apo ni Mungu tuu tena aniongekeshe live vinginevyo utabuni mbinu mpya ya kuomba msamaha nikuelewe...ata ivi niko decent so sitegemei kumuudhi bae wangu kias cha kutaka kunipiga.....Hongerah kua mmoja kati ya wanaume wachache wasafi.
 
IMG_3082.JPG
 
Sema usafi sawa ila kuna sehemu umezingu,

Jeans unavaaje siku moja unafua?

Kuna mavazi ya kuvaa siku moja na kufua sawa

Kama nguo za ndani (boxer + vest)

Sema wengine tupate wanawake wasafi la sivyo itakuwa gharika
 
Mi mwenyewe sipendi mwanaume mchafu kabisa

Napenda smart, ambaye usafi kwake ni kitu cha kwanza, nguo safi zimepasiwa, kiatu safi kimepigwa kiwi, kama raba safi rangi ionekane sio unavaa raba haijulikani rangi

Ndani kwake kusafi, kila kitu kimepangwa sehemu yake, sio nguo zinazagaa masoksi kule, jeans kwny uvungu wa kitanda, sufuria halijaoshwa wiki ,sio geto lina harufu kumi kidogo ukitoka hapo mafua wiki nzima! Nope.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom