"Sipendi kupangiwa Maisha" Ndio maana sifikiri kuhusu ndoa

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,026
12,333
Moja ya sababu inayo niweka mbali na kuniondolea kichwani mwangu kabisa suala la Ndoa(kuoa).

Ni kwa namna nilivyo mimi binafsi, mtindo wangu wa maisha hauhitaji kuongezeka mtu mwengine atakae nipangia taratibu za kuishi na kuendesha mfumo mzima wa maisha yangu.

Nimeweza tofautiana na watu kadhaa kuhusu namna maisha yangu navyo yaendesha na kwa kweli sijawahi hafikiana nao kuhusu mtindo wao wa maisha wanaotaka juu yangu siku zote nasimamia msimamo wangu bila kujali wao wanatazama vipi.

Hili ni moja ya jambo katika mambo mengi lililo fanya mimi kufuta kabisa kichwani mwangu suala ya ndoa(kuoa).

Binafsi sitaweza kubali atokee mtu pasipo julikana na kufahamiana nae ukubwani kisha anipangie mtindo wa maisha katika kipindi chote cha maisha yetu hili ni suala lisilowezekana kwangu.

Wewe ni jambo gani linalo kufanya usioe au kuolewa sasa wala baadae ?
 
Moja ya sababu inayo niweka mbali na kuniondolea kichwani mwangu kabisa suala la Ndoa(kuoa).

Ni kwa namna nilivyo mimi binafsi, mtindo wangu wa maisha hauhitaji kuongezeka mtu mwengine atakae nipangia taratibu za kuishi na kuendesha mfumo mzima wa maisha yangu.

Nimeweza tofautiana na watu kadhaa kuhusu namna maisha yangu navyo yaendesha na kwa kweli sijawahi hafikiana nao kuhusu mtindo wao wa maisha wanaotaka juu yangu siku zote nasimamia msimamo wangu bila kujali wao wanatazama vipi.

Hili ni moja ya jambo katika mambo mengi lililo fanya mimi kufuta kabisa kichwani mwangu suala ya ndoa(kuoa).

Binafsi sitaweza kubali atokee mtu pasipo julikana na kufahamiana nae ukubwani kisha anipangie mtindo wa maisha katika kipindi chote cha maisha yetu hili ni suala lisilowezekana kwangu.

Wewe ni jambo gani linalo kufanya usioe au kuolewa sasa wala baadae ?
Bila shaka umejiajiri pia, vinginevyo kama umeajiriwa bado unapangiwa maisha.
 
Alooooo..
JamiiForums12049724.jpg
 
Ya kumi + hii tangu jana.
Mada za ndoa na mahusiano zimekiki sana tangu mwezi huu uanze.
Sijui ni vitu vizito au ndo msimu wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom