PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Charles Njonjo ni Mmoja kati ya waliopata kuwa wanasiasa mashuhuri wa Kenya miaka ya 1960-1980, ambaye pia alipata kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Kenya, akiwa na digrii ya sheria aliyoipata Afrika Kusini.
Bwana huyu pia alipata kuwa Mbunge na Waziri wa Sheria na katiba katika serikali ya Kenya, na hadi sasa yuko juu sana kwenye list ya Matajiri wanaoongoza Kenya.
Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya BABA MOI.
Lakini, mbali ya kuwa kichocheo kikubwa sana cha uvunjifu wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ya mwanzo, kali zaidi inaaminika kuwa huyu ndugu alipata kutoa kauli nyingi sana tata na za dharau kama ifuatavyo:
"Naona aibu sana kuwa Mkikuyu"
"Siwezi kabisa kushikana mkono na kusalimiana na mtu wa kabila la Luo"
"Nahisi kukosa amani na usalama nikipanda ndege inayoendeshwa na Mwafrika"
Sasa huu sijui ni ulimbikeni au ndo mambo ya akina Nge**leja!
CHANZO:[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Charles_Njonjo[/ame]
Bwana huyu pia alipata kuwa Mbunge na Waziri wa Sheria na katiba katika serikali ya Kenya, na hadi sasa yuko juu sana kwenye list ya Matajiri wanaoongoza Kenya.
Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya BABA MOI.
Lakini, mbali ya kuwa kichocheo kikubwa sana cha uvunjifu wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ya mwanzo, kali zaidi inaaminika kuwa huyu ndugu alipata kutoa kauli nyingi sana tata na za dharau kama ifuatavyo:
"Naona aibu sana kuwa Mkikuyu"
"Siwezi kabisa kushikana mkono na kusalimiana na mtu wa kabila la Luo"
"Nahisi kukosa amani na usalama nikipanda ndege inayoendeshwa na Mwafrika"
Sasa huu sijui ni ulimbikeni au ndo mambo ya akina Nge**leja!
CHANZO:[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Charles_Njonjo[/ame]