Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,241
- 113,613
Wakati mwingine huwa nikifikiri sana juu ya hii iitwayo vita dhidi ya ufisadi, naishia kukata tamaa kabisa.
Nyakati zingine huwa najiuliza kama kweli huo ufisadi upo au ni jambo la kufikirika tu.
Wale waliokuwa mstari wa mbele kupigana hiyo vita sasa wamekuwa ndo watetezi wa watu wale waliokuwa wakiwatuhumu kuwa ndo mafisadi.
Na wale walokuwa na kigugumizi kukemea na kuupiga vita ufisadi sasa eti ndo wako mstari wa mbele kupigana hiyo vita.
Hapo ndo unaona ubovu na uozo wa siasa.
Leo hii wale wote waliotajwa kwenye ile iliyoitwa ‘list of shame’ wakikamatwa na kwenda kufunguliwa mashitaka, wale ambao ndo waliyoiandika na kuisoma hiyo ‘list’ watageuka kuwa watetezi wa watu hao hao waliowatuhumu kuwa ndo mafisadi!
Inafika kipindi mtu unashindwa kutambua ni yupi hasa aliye mzalendo wa kweli anayeuchukia ufisadi kwa dhati na nguvu zake zote!!!!
Tanzania hakuna ufisadi. Neno ‘fisadi’ ni chambo cha kujipatia kiki za kisiasa tu.
Bure kabisa!!!!
Nyakati zingine huwa najiuliza kama kweli huo ufisadi upo au ni jambo la kufikirika tu.
Wale waliokuwa mstari wa mbele kupigana hiyo vita sasa wamekuwa ndo watetezi wa watu wale waliokuwa wakiwatuhumu kuwa ndo mafisadi.
Na wale walokuwa na kigugumizi kukemea na kuupiga vita ufisadi sasa eti ndo wako mstari wa mbele kupigana hiyo vita.
Hapo ndo unaona ubovu na uozo wa siasa.
Leo hii wale wote waliotajwa kwenye ile iliyoitwa ‘list of shame’ wakikamatwa na kwenda kufunguliwa mashitaka, wale ambao ndo waliyoiandika na kuisoma hiyo ‘list’ watageuka kuwa watetezi wa watu hao hao waliowatuhumu kuwa ndo mafisadi!
Inafika kipindi mtu unashindwa kutambua ni yupi hasa aliye mzalendo wa kweli anayeuchukia ufisadi kwa dhati na nguvu zake zote!!!!
Tanzania hakuna ufisadi. Neno ‘fisadi’ ni chambo cha kujipatia kiki za kisiasa tu.
Bure kabisa!!!!