jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 439
Shetan uyo anapig mwe kokote tu hahahaakili za kijinga kwahiyo album mbovu kisa hayupo WCB?
Shetan uyo anapig mwe kokote tu hahahaakili za kijinga kwahiyo album mbovu kisa hayupo WCB?
Chuki hupofushathread imekimbiwa na walioianzisha.
Mshauri kwanza baba yako aache kunywa viboboswa ndio uanze kushauri watu waliokuzidi kila kitu.Huyu dogo bure Sana na mbaya said hashaurik
Ndo maana unaona jembenijembe
Yupo to kimya dogo bangi zinamzid
Jamaa amepambana haswa, si fan wake ila naheshimu sana hustle zake..Game sio lelemama..., binafsi badala ya kumshutumu / kumcheka..., nampa Hongera hata hapo alipofika kulinganisha na alipotokea...
He has done Great..., a few can afford to say the same...
Sure kwakweli kapambana kwakuwa it is not easy. Game ngumu na maadui wake wengiJamaa amepambana haswa, si fan wake ila naheshimu sana hustle zake..