Mwenyewe najiuliza parking itakuwa wapi au ndipo watatumia ile space ya kanisa la kilokole na hotel ya green light ambapo napo ni padogo na sijui kama watakubali,bado kutengeneza uzio kuzuia wazamiaji.Jukwaa linafungwa tayari kwa show hapa tabata shule ,tatizo hakuna parking na uwanja ni mdogo sana
Sijajua nani kawashauri japo nafurahi wameniletea burudani mtaani ila najua hawatarudia tena kwa kero watakayopataMwenyewe najiuliza parking itakuwa wapi au ndipo watatumia ile space ya kanisa la kilokole na hotel ya green light ambapo napo ni padogo na sijui kama watakubali,bado kutengeneza uzio kuzuia wazamiaji.
Daah kiusalama bado hapajakaa vizuri naona wahuni wa matumbi, buguruni na vingunguti watakavyo ISHI. Kwanini asingechukua viwanja vya Posta.
Kwa hiyo show inafanyika,Sijajua nani kawashauri japo nafurahi wameniletea burudani mtaani ila najua hawatarudia tena kwa kero watakayopata
Show inafanyika kama kawa,tangu jumanne jukwaa linafungwa leo linamaliziwa jana konde boy na meneja wake wameshinda uwanjani kusimamia mamboKwa hiyo show inafanyika,
Nijiandae kumzomea mtoa mada na wachawi wenzie
Pale mechi wakichezaga watoto wa Tabata Matumbi vs Buguruni au Buguruni vs Vingunguti, refa anamaliza mpira akiwa anavuka barabara akielekea kituo cha polisi.Sijajua nani kawashauri japo nafurahi wameniletea burudani mtaani ila najua hawatarudia tena kwa kero watakayopata
Show kesho na jumamosi tabata shuleIyo show kwani tarehe ngapi?tuanzie hapo kwanza
...the show was different whoever attended atakwambia ...hadi ilibidi tukaimarishe ulinzi kuanzia shell ya Olympic...the man is phenomenal kutoboa especially nje ya Wasafi muulize Rich Mavoko atakwambia.Nimeshafika Cask ni kama useme Zuchu ameijaza Juliana pub au Kitambaa cheupe au Kidimbwi. Pale kunajaa bila kuwa na msanii yoyote na hata kina Barnaba wanafanya show na kunajaza sana
Na ikifanyika atakula za uso mpaka ashangae...raia zishamkataa kitambo
Kama nakuona ulivyo mstari wa mbele kwenye show huku unachukua video ya kila tukio, unakenua kenua unasahau kama uliandika uchawi Jf,Mzee wa kuahirisha matukio
Kaanza Konde Mgahawa sijui uliishia wapi, mwaka juzi baada ya kuzindua Afro East Mlimani City, akasema mwezi wa tano 2020 atafanya show taifa siku ikafika kimya, akaja tena na idea ya kufanya show siku tatu mfululizo mwezi wa 11, 2020 huku akipewa support na EFM siku ikafika kimya, akaja tena Konde in da club mikoa 19 akafanya show moja baadae akadai anaumwa daktari kamshauri apumzike.
Na hii show yake aliyo iandaa AFRO Carnival Tabata shule 3rd March 2022 sioni dalili ya kufanyika mwisho wa siku atapiga kimya.
Mashabiki wengi kivipi Mkuu mbona namba zina someka tofautiNyie mtakua shabiki wa mondi sio wa mziki mzuri. Jamaa saivi ndio anamashabiki wengi kumzidi boss wake piteni vyuo muone
Kwani ni shoa ya siku ngapi mkuu?Vipi day 1 ya show jana paliendaje?
Subiri kuona za uso paaah paaah paaah 😂😂😂😂Mtoa mada ni shoga nilishasemaga tangu mwanzo hawa wenzie pia wakiongozwa na dogo inno hapo na jenzie sinza pazuri.
Hata hivyo jamaa anawa prove wrong