aise ni pm nlikuwa natafuta mtu kama wewe saana.plz pm mie tuongeekumbe ni uoga wa maisha tu kuhangaika kutafuta kazi. Nimegundua hakuna kitu kizuri kama kujiajiri. Instead ya kuomba kazi...ni bora kupiga mzinga kwa rafiki ama jamaa yako....akupe laki tu au laki tatu tu....na inaweza kukubadilisha mpaka watu wakashangaa. Kila kitu kipo guanzuu aka kariakoo......aisee pale kuna fursa debe. Chukua vitu vya laki mbili..peleka mkoani....fanya network marketing....lazima utoboe.
Kazin hasara zake....kwanza manyanyaso...full kubanwa.....kuchokeshwa kama punda mlia...mawazo yako mengi ni kuiba.....
Pili...unaishi kwa hunt-mouth. Yan ukipatacho ndicho ukitumiacho kwa kula. Tunakuona bar. ..unakula vizuri na kubadilibadili vinguo vya kariakoo...hukosi hela ya kula na kuvaa but sio yakukufanya ufanikiwe. Yan unakuepokuepo tu..na hiko kigari cha mkopo. Full marafiki....kila weekend we ni kula bata za offer...u know.....hata hela ya kiwanja huna.
Tujiajili vijana. Kazi tuwaachie watoto wa mafisadi.
Kwa niaba ya wamerekani!
Sizitaki mbichi hizi.....
Napenda kujiajiri lakini sio kwa style ya kuponda walioajiriwa. Pia kumbuka wabongo wengi Mitaji inatoka kwenye ajira. Hata waliojiajiri na wajasiriamali wa ki bongo wapo wanaofanya mambo ya hovyo pia. Mwisho nakushauri ujifunze maana ya mjasiriamali na mchuuzi. Wachuuzi sio wajasiriamali.
Xaxa usifyonye watu bana! Kuna waliotajirika kwa kazi za kuajiriwa hizo hizo hebo!
Mchuuzi ni yule anayenunua bidhaa na kwenda kuiuza kwa bei kubwa bila kuongeza thamani ya bidhaa (Value addition). Ukinunua matunda na kwenda kutengeneza juice maana yake umeongeza thamani na wewe ni mjasiriamali, kuna creativity hapo. Ila ukichukua bidhaa kama nguo kariakoo na kwenda kuziuza mwenge kwa kuongeza bukubuku wewe ni mchuuzi sio mjasiriamaliUjasiliamali upo ndani ya uchuuzi, kwa hiyo mchuuzi anaweza kuwa na entrepreneurship culture.
Angalia hii,nakwenda sokoni najumua matunda mbalimbali natengeneza mixer ya matunda hayo kama kachumbali. Kila sahani sh 500.
Mchuuzi ni yule anayenunua bidhaa na kwenda kuiuza kwa bei kubwa bila kuongeza thamani ya bidhaa (Value addition). Ukinunua matunda na kwenda kutengeneza juice maana yake umeongeza thamani na wewe ni mjasiriamali, kuna creativity hapo. Ila ukichukua bidhaa kama nguo kariakoo na kwenda kuziuza mwenge kwa kuongeza bukubuku wewe ni mchuuzi sio mjasiriamali
kumbe ni uoga wa maisha tu kuhangaika kutafuta kazi. Nimegundua hakuna kitu kizuri kama kujiajiri. Instead ya kuomba kazi...ni bora kupiga mzinga kwa rafiki ama jamaa yako....akupe laki tu au laki tatu tu....na inaweza kukubadilisha mpaka watu wakashangaa. Kila kitu kipo guanzuu aka kariakoo......aisee pale kuna fursa debe. Chukua vitu vya laki mbili..peleka mkoani....fanya network marketing....lazima utoboe.
Kazin hasara zake....kwanza manyanyaso...full kubanwa.....kuchokeshwa kama punda mlia...mawazo yako mengi ni kuiba.....
Pili...unaishi kwa hunt-mouth. Yan ukipatacho ndicho ukitumiacho kwa kula. Tunakuona bar. ..unakula vizuri na kubadilibadili vinguo vya kariakoo...hukosi hela ya kula na kuvaa but sio yakukufanya ufanikiwe. Yan unakuepokuepo tu..na hiko kigari cha mkopo. Full marafiki....kila weekend we ni kula bata za offer...u know.....hata hela ya kiwanja huna.
Tujiajili vijana. Kazi tuwaachie watoto wa mafisadi.
Kwa niaba ya wamerekani!
Kumbe ni uoga wa maisha tu kuhangaika kutafuta kazi. Nimegundua hakuna kitu kizuri kama kujiajiri. Instead ya kuomba kazi...ni bora kupiga mzinga kwa rafiki ama jamaa yako....akupe laki tu au laki tatu tu....na inaweza kukubadilisha mpaka watu wakashangaa. Kila kitu kipo Guanzuu aka Kariakoo......Aisee pale kuna fursa debe. Chukua vitu vya laki mbili..peleka mkoani....fanya Network Marketing....lazima utoboe.
Kazin hasara zake....kwanza manyanyaso...full kubanwa.....kuchokeshwa kama punda mlia...mawazo yako mengi ni kuiba.....
Pili...unaishi kwa hunt-mouth. Yan ukipatacho ndicho ukitumiacho kwa kula. Tunakuona bar. ..unakula vizuri na kubadilibadili vinguo vya kariakoo...hukosi hela ya kula na kuvaa but sio yakukufanya ufanikiwe. Yan unakuepokuepo tu..na hiko kigari cha mkopo. Full marafiki....kila weekend we ni kula bata za offer...u know.....hata hela ya kiwanja huna.
Tujiajili vijana. Kazi tuwaachie watoto wa mafisadi.
Kwa niaba ya Wamerekani!