kb52
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 336
- 110
Kumbe ni uoga wa maisha tu kuhangaika kutafuta kazi. Nimegundua hakuna kitu kizuri kama kujiajiri. Instead ya kuomba kazi...ni bora kupiga mzinga kwa rafiki ama jamaa yako....akupe laki tu au laki tatu tu....na inaweza kukubadilisha mpaka watu wakashangaa. Kila kitu kipo Guanzuu aka Kariakoo......Aisee pale kuna fursa debe. Chukua vitu vya laki mbili..peleka mkoani....fanya Network Marketing....lazima utoboe.
Kazin hasara zake....kwanza manyanyaso...full kubanwa.....kuchokeshwa kama punda mlia...mawazo yako mengi ni kuiba.....
Pili...unaishi kwa hunt-mouth. Yan ukipatacho ndicho ukitumiacho kwa kula. Tunakuona bar. ..unakula vizuri na kubadilibadili vinguo vya kariakoo...hukosi hela ya kula na kuvaa but sio yakukufanya ufanikiwe. Yan unakuepokuepo tu..na hiko kigari cha mkopo. Full marafiki....kila weekend we ni kula bata za offer...u know.....hata hela ya kiwanja huna.
Tujiajili vijana. Kazi tuwaachie watoto wa mafisadi.
Kwa niaba ya Wamerekani!
Kazin hasara zake....kwanza manyanyaso...full kubanwa.....kuchokeshwa kama punda mlia...mawazo yako mengi ni kuiba.....
Pili...unaishi kwa hunt-mouth. Yan ukipatacho ndicho ukitumiacho kwa kula. Tunakuona bar. ..unakula vizuri na kubadilibadili vinguo vya kariakoo...hukosi hela ya kula na kuvaa but sio yakukufanya ufanikiwe. Yan unakuepokuepo tu..na hiko kigari cha mkopo. Full marafiki....kila weekend we ni kula bata za offer...u know.....hata hela ya kiwanja huna.
Tujiajili vijana. Kazi tuwaachie watoto wa mafisadi.
Kwa niaba ya Wamerekani!