KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Na huyu wiliam sarakikya anahusika na mediapix iliyochota pesa za umma na kugharamia mabango ya ccm 2010 tunamsubiri jukwaani atueleze
Lowassa ana mkono wa chuma.Akisimamia yeye mkwe atashinda.
Hivi kweli baba yako kafa hata siku ngapi bado wewe umeshawahi
kuchukua fomu, kwa hiyo amefurahia kufa kwa mzazi wake siyo,
hilo sasa ni jimbo la CHADEMA, Chagueni CHADEMA CHAGUA MAENDELEO.
Anaitwa "Sioi" not "Sio"....
Kwa nini haoi?
Jana nilikuwa usa river,wapiga kura wengi waliosikia kuwa mtoto wa marehemu mbunge Sumari, Sioi Sumari na mtoto wa mkuu wa zamani wa jeshi meja Sarakikya,willy sarakikya ni dalili za kuwadharau watu wengine wa jamii hiyo.wamesema ubunge wa meru si ufalme wa kurithishana kwa familia zilizoshiba wakati wowote.
Nimecheka kweliiii kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sisiemu kama wehuuuuu unajuaaaaaaaaaaaaaaa yaani wameshafanya kama sehemu ya familia lile jimbo nimeona na somebody sarakikya nae nimecheka sana ila walivyowapuuzi wanaweza kumpa si uanajua mzee hata kupata unaibu alimfadhili sana mzee kwenye kampeni yetu so sidhani anaweza kumwacha na jamaa siku zote za msiba nilijiulkiza mbona kavaa nguo za ccm kumbe yuko kikazzi zaidi anyway all de best
Mkuu inaomekana hao watoto wa vigogo ni tishio. Hao anaomba kuteuliwa tena madhani na CCM na unasema Arumeru mna rasrimali watu kibao. Basi waacheni wachukue form mmojawapo ateuliwe na CDM isimamishe rasrimali mtu mzuri na anayekubalika atakaye mgaragaza huyo mtoto ww kigogo.Gama tuna rasilimaliwatu wengi meru wanaofaa si lazima familia za vigogo,ijengeke tabia sasa kwa wtzania kuwanyima kura watoto wa wakubwa bcoz wao wana mitaji na njia nyingi hasa haramu,na halali za kimaisha,wy they contest on mp....kama ulijua nna haraka,naenda shambani valesca