PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Mtoto wa sumari amechukua form kwaajili ya kinyanganyiro arumemu.
by:RADIO FIVE
by:RADIO FIVE
Nadhani ataingia kwenye mchakato na wagombea wengine na kupitishwa kwenye pepeto. Nadhani hawatatumia vigeo vya kuchangia chama kwa hali na mali.Mtoto wa sumari amechukua form kwaajili ya kinyanganyiro arumemu.
by:RADIO FIVE
Basi na mimi nachukua form kurithi kule bumbuli 2015
Kila mtu ana haki ya kuchukua fomu.
Kura za maoni ndio zitaamua mshindi,sio kama nyie kamati kuu 'ikipima'
OTIS
ni sawa unafikiri kutakuwa na haki apo?
Kila mtu ana haki ya kuchukua fomu.
Kura za maoni ndio zitaamua mshindi,sio kama nyie kamati kuu 'ikipima'
OTIS
Mbona waenda kwa mafumbo? Funguka tu 'nyie' akina nani?
huyu jamaa mgonjwa alieleta hii thred naona homa yake imezidi imepanda hadi kichwani.heading na maudhui havihusiani kabisa.
hili sio jamvi la kahawa kama huna hoja naweza kupita tu
Wewe kuona mtu kachukua fomu na kusema ni urithi waona kuna hoja hapo?
mgombea wa ubunge kwa taratibu za chama chetu ni kupitia kura za maoni zilizowazi.
OTIS