Lowassa(CCM)+Lubuva(NEC) = Sioi(MP ARUMERU).
Kwa kombineisheni hii tujiandae kupokea habari mbaya ifikapo hiyo April.
Heasabu yako mkuu imenikumbusha mbali sana naona uliwahi kupiga hesabu za intergration vile?maana hiyo formation ni more than danger je hali itakuwaje?nadhani damu itamwagika,maana hiyo kombinesheni ni ushindi wa kulazimisha full charge-Tautology.
Hapo kuna haja ya kujipanga zaidi ya vita.na ndio maana nimeshapost humu nimesema CCM wote wanamilikiwa na EL,anaebisha ajitokeze,hata Nape kama unabisha jitokeze useme humu jukwaani,maana atakaloliamua hakuna wa kubisha,leo hii kujivua gamba kumefutika tena,ni kwa ajili alichoka na jambo hilo,huko NEC ameshapanga safu na sasa anataka kupanga huko Arumeru,hakika CDM tunaahidi kupambana