Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Ili Mwanaume ukomae kimapenzi,unatakiwa uumizwe na Wanawake wasiyopungua wa Nne! Wwe huyo ndiyo wa kwanza,hapo bado watatu!!
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Miaka 4?? watu mna ujasiri mlikua mnapeana mabusu tu.

Pole sana


Ngoja tukupe mda tuone kama hutaoa mpk kifo chako
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Kama vipi olewa na njemba
 
Sijajipanga kufall in love mpaka kwA mtu niliyemuona tayar hv bro hujaona vijana waliodata kisa kuzamia mapenzi mazima mazima
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
je wewe wakati unamsubiri ulikuwa unajitunza?
 
Back
Top Bottom