toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,839
- 10,263
Yani 4yrs hujamla tu? Wanaume tumebaki wachache
ahahaha huyu ana tatizo sio bure
Yani 4yrs hujamla tu? Wanaume tumebaki wachache
Yani 4yrs hujamla tu? Wanaume tumebaki wachache
Ukiona hvyo ujue ndio unaponaa, pole ndugu yanguNi wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu
Ili Mwanaume ukomae kimapenzi,unatakiwa uumizwe na Wanawake wasiyopungua wa Nne! Wwe huyo ndiyo wa kwanza,hapo bado watatu!!Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.
Eee Mungu wewe unajua bwana
Miaka 4?? watu mna ujasiri mlikua mnapeana mabusu tu.Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.
Eee Mungu wewe unajua bwana
Zamu yenu, sisi tumechoka kulia!Wanaume tunaongoza kulia lia humu JF kuliko hata wanawake.
Kama vipi olewa na njembaYani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.
Eee Mungu wewe unajua bwana
je wewe wakati unamsubiri ulikuwa unajitunza?Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.
Eee Mungu wewe unajua bwana