Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Do you mean yule mwanamme ambaye huwa anamtukana sana Mama yako mzazi ndiye alipata bahati?

Msalimie anyway eheheheheh!

Naona unataka shar sasa huyo huyo ndo nampenda so what? Hiv ulifikir ntakufata wewe kwa kipi kipya ulichonacho? Sorry you have entered the wrong place! Naona.unashadadia sana.....atukane aseme had binuke wewe imekupunguza wapi au wataka fukunyua habar zisizokuhus....ninarudia tena na sitaacha SIKUHUTAJI SIKUTAKI SINA SHIDA NA WEWE SINA HAJA YA KUA NA.WEWE HUNA.HATA LITAKALONIFANYA NISHTUKE KWAKO nampenda huyo huyo nampenda sana kuliko lolote nadhan.umenipata mwanaume hawi na mshedede kama.hiv juu ya habar ambazo.hazimhusu kukataliwa kubaya jamani ntue mie
 
Naona unataka shar sasa huyo huyo ndo nampenda so what? Hiv ulifikir ntakufata wewe kwa kipi kipya ulichonacho? Sorry you have entered the wrong place! Naona.unashadadia sana.....atukane aseme had binuke wewe imekupunguza wapi au wataka fukunyua habar zisizokuhus....ninarudia tena na sitaacha SIKUHUTAJI SIKUTAKI SINA SHIDA NA WEWE SINA HAJA YA KUA NA.WEWE HUNA.HATA LITAKALONIFANYA NISHTUKE KWAKO nampenda huyo huyo nampenda sana kuliko lolote nadhan.umenipata mwanaume hawi na mshedede kama.hiv juu ya habar ambazo.hazimhusu kukataliwa kubaya jamani ntue mie

Khaaa!Hizi ni sifa za kijinga sana kwa kweli!Umenikataa wapi na lini nilikutaka?

Sifa za kujipa ujiko kama wewe unatongozwa MMU hazina nafasi kwangu!
 
Khaaa!Hizi ni sifa za kijinga sana kwa kweli!Umenikataa wapi na lini nilikutaka?

Sifa za kujipa ujiko kama wewe unatongozwa MMU hazina nafasi kwangu!

Ngoja niweke msg zako za pm na zile ulizotuma kuleeeee halaf utajua
 
Ngoja niweke msg zako za pm na zile ulizotuma kuleeeee halaf utajua

Haya weka nasubiri!
Kuniita mjinga unaonyesha uwezo wako wa kufikiri umeishia wapi!Inaonyesha kiwango chako cha elimu ni kipi!

Epuka kutukana hasa ukikumbushwa ambacho wewe mwenyewe uliandika hapa!Hamna mtu aliyejua jamaa yako kama anamtukana Mama yako mzazi ni ww ulisema!

Wala hamna mtu aliyejua kama wewe huwa unatoka uchafu mweupe kwenye papuchi yako ni ww ulisema!

Ukikumbushwa kwa nn una panic?Acha matusi pls
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ninaamini sio Tanga tu ndio eneo pekee wanaojua mapenzi.

Hata hapa kwetu MBEYA wapo mabinti wengi wanojua mapenzi tena zaidi ya watu wa Tanga nina ushuhuda wa vijana wengi kutoka mikoa mbalimbali sasa wanakimbilia Mbeya kuwaoa mabinti wa Mbeya.

Ushauri wangu ukiona una hangaika wapi utapata mpenzi hodari na atakaye kufurahisha karibu sana mbeya.

Mapenzi zaidi ya Tanga

never heard before kwakweli.....hii mpya
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ninaamini sio Tanga tu ndio eneo pekee wanaojua mapenzi.

Hata hapa kwetu MBEYA wapo mabinti wengi wanojua mapenzi tena zaidi ya watu wa Tanga nina ushuhuda wa vijana wengi kutoka mikoa mbalimbali sasa wanakimbilia Mbeya kuwaoa mabinti wa Mbeya.

Ushauri wangu ukiona una hangaika wapi utapata mpenzi hodari na atakaye kufurahisha karibu sana mbeya.

Mapenzi zaidi ya Tanga

Mbeya - Kabila gani.....mnyakyusa they are not material wives....thay are big headache mwisho lazima mtibuane au kuachana au ukubali kuwa bolizozo ndani ya nyumba.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ninaamini sio Tanga tu ndio eneo pekee wanaojua mapenzi.

Hata hapa kwetu MBEYA wapo mabinti wengi wanojua mapenzi tena zaidi ya watu wa Tanga nina ushuhuda wa vijana wengi kutoka mikoa mbalimbali sasa wanakimbilia Mbeya kuwaoa mabinti wa Mbeya.

Ushauri wangu ukiona una hangaika wapi utapata mpenzi hodari na atakaye kufurahisha karibu sana mbeya.

Mapenzi zaidi ya Tanga

watu wanapenda wanawake wa mbeya coz sio wasumbufu....kitu "nyangusage thambi thako mwenyewe"
 
Hao wanawake wa mbeya labda uwasifie kwa mambo mengine.. Mfano kutafuta mali.. Wanajitahidi wakiwezeshwa. Lakini mapenzi ni zero, kwanza wababe, malaya, halafu wengi wao washamba na hii inasababishwa na wao kujiona wajanja. Ukioa mwanamke wa mbeya usipokuwa mjanja unakuwa umeolewa wewe mwanaume.
 
Mbeya - Kabila gani.....mnyakyusa they are not material wives....thay are big headache mwisho lazima mtibuane au kuachana au ukubali kuwa bolizozo ndani ya nyumba.
Reference: Bahati Bukuku & Mumewe
 
Haya weka nasubiri!
Kuniita mjinga unaonyesha uwezo wako wa kufikiri umeishia wapi!Inaonyesha kiwango chako cha elimu ni kipi!

Epuka kutukana hasa ukikumbushwa ambacho wewe mwenyewe uliandika hapa!Hamna mtu aliyejua jamaa yako kama anamtukana Mama yako mzazi ni ww ulisema!

Wala hamna mtu aliyejua kama wewe huwa unatoka uchafu mweupe kwenye papuchi yako ni ww ulisema!

Ukikumbushwa kwa nn una panic?Acha matusi pls

A nail right on the head! Well done
 
Reference: Bahati Bukuku & Mumewe

Shauri yako.....!!!! si hao tu, fanya utafit kidogo ufuatilie ndoa za wanawake wa kinyaki na makabila mengine uone zinavyovunjika hovyo au zilivyo ICU
 
Back
Top Bottom