Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,913
- 11,327
Inabidi waheshimu walimu mno, maana kupitia leo wameweza kupanda juu ya jengo kwa kutumia umeme. Hahahahaaaaaa.....
Mkuu kitakuwa ni kichekesho mno kulinganisha GDP/GNP ya Mbeya na Tanga!
Huko kulinganisha maendeleo ya Mbeya na Tanga tusikufikie jamani maana itakuwa aibu hapa!