Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

sikuhitaji hata bure

Mamaafacebook?

Mapenzi ni bure!Pesa haiitaji kutumika kwenye mapenzi !Njoo Kyela ufaidi mapenzi yaliyo boreshwa!

Sijui makende kwenye kisosa,sijui maji kuungwa karafuu sijui kuogeshwa ni mambo ambayo yapo out dated na hayajaboreshwa toka tuzaliwe!

Mbeya tukachukua haya yote toka Tanga then tukayaboresha ndiyo maana sasa ni zaidi ya Tanga!!

Ehehehehehehe uwiiiiiii!
 
Last edited by a moderator:
Kwani kubadilisha mawazo ndiyo kukwazana? Kama umekwazika kwa swali dogo tu tena lililojibu hoja yako uliyotaka kulinganisha uchumi wa Mbeya na Tanga kwenye uzi # 481 basi unahitaji msaada wa kisaikolojia...

Mkuu with due respect
Mada iliyopo ni kuwa ni nani kati ya Tanga na Mbeya anayejua mapenzi kumshinda mwenzake!

Tujikite kujadili hii issue hii na haya mambo sijui "unahitaji msaada kisaikolojia"sidhani kama hapa ni sehemu yake!

Tuongee bila jazba wala kushambuliana!Mbeya kwa sasa ukifika mgeni ukilamba demu pale huwezi ondoka utahamia!
 
Mkuu with due respect
Mada iliyopo ni kuwa ni nani kati ya Tanga na Mbeya anayejua mapenzi kumshinda mwenzake!

Tujikite kujadili hii issue hii na haya mambo sijui "unahitaji msaada kisaikolojia"sidhani kama hapa ni sehemu yake!

Tuongee bila jazba wala kushambuliana!Mbeya kwa sasa ukifika mgeni ukilamba demu pale huwezi ondoka utahamia!
Naunga mkono hoja, ni vizuri kubaki kwenye mada.
Bado nasisitiza Tanga ndiyo muasisi na bado itaendelea kuwa juu hata kama Mbeya na baadhi ya mikoa mingine baada ya kufundishwa na watu kutoka Pwani wanaanza kufurukuta. Lakini siku zote mtoto kwa Mzazi hakui ingawa anaweza kumzidi Mzaziwe umbo na ndevu....
 
Naunga mkono hoja, ni vizuri kubaki kwenye mada.
Bado nasisitiza Tanga ndiyo muasisi na bado itaendelea kuwa juu hata kama Mbeya na baadhi ya mikoa mingine baada ya kufundishwa na watu kutoka Pwani wanaanza kufurukuta. Lakini siku zote mtoto kwa Mzazi hakui ingawa anaweza kumzidi Mzaziwe umbo na ndevu....

Hilo nalo neno
 
sorry SIKUTAKI
Mamaafacebook?

Mapenzi ni bure!Pesa haiitaji kutumika kwenye mapenzi !Njoo Kyela ufaidi mapenzi yaliyo boreshwa!

Sijui makende kwenye kisosa,sijui maji kuungwa karafuu sijui kuogeshwa ni mambo ambayo yapo out dated na hayajaboreshwa toka tuzaliwe!

Mbeya tukachukua haya yote toka Tanga then tukayaboresha ndiyo maana sasa ni zaidi ya Tanga!!

Ehehehehehehe uwiiiiiii!
 
sorry SIKUTAKI

Nimeondoka kwenye mada hii!My home boy grafani11 wraps up everything not only intellectually but also morally lkn wewe umekazania tu " hata ukinipa bure sitaki" na sasa " sorry sikutaki"!Very cultural unethical and imbecile!

Jifunze ku interact na watu!Iga uandishi wa MMU gurus na bahati nzuri kwako grafani11yupo nawe,mgande huyo akunoe ili ujumbe wako uwe una make some senses !Tumia busara na pima ulicho andika kabla huja post!
Mamaafacebook nakutakia mchana.mwema!Dont take me serious ahahahaha!

Umeona hapo grafan kwenye post yake ya juu alivyo make sense?Ndiyo tunatakiwa tukubaliane pasipo kukubaliana lkn kwa nidham bila lugha za kukera!
 
Last edited by a moderator:
Nimeondoka kwenye mada hii!My home boy grafani11 wraps up everything not only intellectually but also morally lkn wewe umekazania tu " hata ukinipa bure sitaki" na sasa " sorry sikutaki"!Very cultural unethical and imbecile!

Jifunze ku interact na watu!Iga uandishi wa MMU gurus na bahati nzuri kwako grafani11yupo nawe,mgande huyo akunoe ili ujumbe wako uwe una make some senses !Tumia busara na pima ulicho andika kabla huja post!
Mamaafacebook nakutakia mchana.mwema!Dont take me serious ahahahaha!

Umeona hapo grafan kwenye post yake ya juu alivyo make sense?Ndiyo tunatakiwa tukubaliane pasipo kukubaliana lkn kwa nidham bila lugha za kukera!

Sielew ulichoandika by the way grafan yeye n.member tu sio kua ananikoza upo??? Anaenikoza yupo kajaa tele kama pishi la.mchele bwahhahhhaaaaa iwe kiuhalisia au sio kihalisia huo ndo.ukweli uliopo mbele yako na moyoni mwangu
 
Last edited by a moderator:
Sielew ulichoandika by the way grafan yeye n.member tu sio kua ananikoza upo??? Anaenikoza yupo kajaa tele kama pishi la.mchele bwahhahhhaaaaa iwe kiuhalisia au sio kihalisia huo ndo.ukweli uliopo mbele yako na moyoni mwangu
Dada nisalimie shemeji yangu...
 
na nyie bas sasa imetosha toka mmranza kuisifia mbeya??? kwaio mnataka tuhamie ama???
 
Back
Top Bottom