Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,623
- 49,576
Watanzania walivyokuwa na vichwa vigumu, hakuna aliyeweka akiba ya chakula wala kuhama mabondeni.
Hii ni kama October 29 watu hawakujiandaa, baada ya kukumbuka mateso ya October 29 Machi ya pasaka wakajaza misosi ndani baada ya Mange Kimambi kutishia tena kuwa kuna maandamano.
Kama litakuja vua la maana tutarajie misiba. Ishukuriwe serikali ya CCM ilikumbuka kuweka mitaro DR es salaam yote
Hii ni kama October 29 watu hawakujiandaa, baada ya kukumbuka mateso ya October 29 Machi ya pasaka wakajaza misosi ndani baada ya Mange Kimambi kutishia tena kuwa kuna maandamano.
Kama litakuja vua la maana tutarajie misiba. Ishukuriwe serikali ya CCM ilikumbuka kuweka mitaro DR es salaam yote