Mkuu, kama unaishi mabondeni au eneo lolote hatarishi hama,usiende kwa Suguye wala kwa Mwamposa,hayo maafa hayaogopi MIUJIZA.Tupe story kidogo ilikuwaje Mkuu?
Mana hapo kuna nyumba zimetumia gharama sana hapo. Akiyejenga nyumba hizo angeweza kufanya maamuz mengine yoyote mana uwezo anao. Watu wanaokwama kwenye 3neo kama hilo ni waliorithi maeneo au wanaojitafuta kimaisha😀 ndiyo ushangae na wewe mkuu waswahili wao ni bora wajenge tu ila kuchunguza kwamba najenga wapi hizo sio shida zao.
Hiyo El Nino kweli ikija kama inavyofhaniwa basi watu wengi watakufu kizembe pamoja na kuwa wamepewa tahadhari.😀 kama kawaida ya waswahili Mkuu.
Watakwambia ni kwa muda tu tutarejea kwenye majengo yetu.
Mi nawachana tu ukweli mkuu 😂😀😀😀 acha hizo mkuu.
Unataka tucheke watupige ban au lengo lako ni nini? 😅.
niikisema tatunza chakula juu ya paa je unaneno??Hellow wana JF.
Mtu kama huyu anafuata mkumbo eti ngoja nitunze vyakula ndani, are you Mad?
View attachment 3671252
View attachment 3671258
Amini nakwambia chakula hakita kusaidia kwa chochote kama upo kwenye maeneo kama haya.
View attachment 3671260
We endelea kujaza vyakula ndani.
Aisee hatari sana. Umeeleweka vizuri sana Mkuu.Mkuu, kama unaishi mabondeni au eneo lolote hatarishi hama,usiende kwa Suguye wala kwa Mwamposa,hayo maafa hayaogopi MIUJIZA.
Mafuriko yalisomba mali,watu,mifugo hadi mijusi achia mbali nzi waliokuwa wanahangaika na mizoga,mvua ilipo katika ukame ukaingia, hakuna zao lililo stahimili joto.
Tuonyeshe juhudi za kujinusuru huku tukijisindikiza na maombi kwa Muumba wetu, yaani Mungu akitoka kwenye shughuli zake atukute tunapambana kujinusuru
Wengi wanaangalia unafuu wa bei ya viwanja.Mana hapo kuna nyumba zimetumia gharama sana hapo. Akiyejenga nyumba hizo angeweza kufanya maamuz mengine yoyote mana uwezo anao. Watu wanaokwama kwenye 3neo kama hilo ni waliorithi maeneo au wanaojitafuta kimaisha
View: https://www.instagram.com/reel/DcvsyySybZj/?utm_source=ig_web_copy_link&stkn=NTc4MTIwNjQ2YQ==
tutafika kweli huku kwa wajapan hawa?
ukicheki clip za namna hiyo, ukalinganisha na tulivyoshangilia , mfugale, kijazi flyover unaona kabisa safari bado ndefu sana zoezi hata la miaka 70Sio kweli Mkuu.
Kwanza wengi wao hawana hata taarifa za kuja kwa El Nino 😂Sana kwasababu watu wengi Tanzania wamejenga mabondeni na bado wanaendelea kujenga mabondeni.