Martrix_32
JF-Expert Member
- Dec 1, 2025
- 1,024
- 2,048
kwann 😀Jamani jumuiya🙌🙌🙌Hapana kwa kweli
kwann 😀Jamani jumuiya🙌🙌🙌Hapana kwa kweli
Yaani jumuiya yangu nina miezi kadhaa sijaenda wanakwaza!wanaanzisha tumambo twingitwingi!Na mipombe yako..hata utanielewa basi
Kuna jumuiya kwenda lazima mchango.nanusipoenda pia tatizo
😂😂😂Huzijui vizuri jumuiya eeh!?wanapenda hela balaakwann 😀
hahahaaaa, sijui kwa kwel kumbe na wao michango kama shulen😂😂😂Huzijui vizuri jumuiya eeh!?wanapenda hela balaa
Hata bible yenyewe imekataza ila nature ya binadamu baadhi.kuheshimu wenye pesa zaidi.Wao pesa mbele kama mfuko wa shati!ukitaka uheshimiwa na uthaminiwe we kata kobunda ukiingia unapokelewa unaonyeshwa siti za mbele
Ooh ooh ohhh,huko ni mperampera usipime!hahahaaaa, sijui kwa kwel kumbe na wao michango kama shulen
Bora ujikalie pembeni aisee Mungu anasikia hata ukiomba sirini!Hata bible yenyewe imekataza ila nature ya binadamu baadhi.kuheshimu wenye pesa zaidi.
Na sio madehehebu Wala ya upako wote wako hivyo.
Mi nkasema acha Mungu anihukumu maana ye ndio Anajua situation halisi.
Ukikaa mara Kuna tour bagamoyo
Mara kuna trip mikumi
Michango 80,000...70,000
100,000
Hakuna hata trip ya kwenda kutoa msaada Kwa yatima au hospital
Thibitisha uwepo wa Mungu , hapa hatuongelei swala la pombeNa mipombe yako..hata utanielewa basi
Kuna jumuiya kwenda lazima mchango.nanusipoenda pia tatizo
Toa uthibitisho acha kubwabwaja kama wehuNa mipombe yako..hata utanielewa basi
Ndio hivyo.ila mi nataka Yale ya maombezi huko Nako kipengele.Bora ujikalie pembeni aisee Mungu anasikia hata ukiomba sirini!
Usipoaamini wewe inatosha MzeeToa uthibitisho acha kubwabwaja kama wehu
kwek asee, kuna faza mmoja alikuwa anauliza mtu "ivi kuna kanisa gani ambalo halina michango" nlicheka tu !Ooh ooh ohhh,huko ni mperampera usipime!
Halipo hata moja!kwek asee, kuna faza mmoja alikuwa anauliza mtu "ivi kuna kanisa gani ambalo halina michango" nlicheka tu !
Huo uthibitisho umeuweka wapi nikaacha kuusoma? Wehu ni yule badala ya kujibu hoja anarukia personality, thibitisha uwepo wa Mungu, acha porojo.Usipoaamini wewe inatosha Mzee
Mie sijakulazikiaha Yamini kwamba yupo.
Umeniomba mwenyewe nithibishe halafu unaniita mwehu
Uko sawa?
Lengo la kuandika makala kwenye majukwaa ya umma ya wazi mfano JF ni kufikisha ujumbe fulani kwa hadhira (wasomaji) yako.Kimsingi upo sahihi mkuu,usijali sana maoni ya watu juu ya ulichokiwasilisha,swala la uelewa ni la mtu binafsi,anachagua aelewe au asielewe,contrast ulizoziweka wengine ndo wanaziishi so ni ngumu wao kukupa approval na kukuelewa,bora ya wewe ambaye ushazijua,humu pia watu wanaishi Kwa makundi Mshana Jr anayaita cycle,so Mmoja akipinga hao cycle yake wote watapinga kama mandezi,by the way ni ujumbe mzuri Kwa tafakari ya asubuhi ya jumapili kuliko kuamka tu na kufakamia viporo!!!
ila lengo kuu ni Mungu, kujuliana hali ni ziada tu !Unaweza usimuamini Mungu na ukaenda kanisani vizuri tu. Kanisani ni kama kijiwe flani tu cha watu kukutana na kujuliana hali.
Mungu ni geresha tu la kufanya kanisani paheshimiwe. Ni mhusika wa kufikirika.ila lengo kuu ni Mungu, kujuliana hali ni ziada tu !
Post yako sijaielewa hueleweki! Mimi nimeelezea nilichokiona makanisani haihusiani kabisa na andiko lakoUngeelewa kuwa hii post ni kama fumbo, ni kama muamsho, wala usinge jikita kwenye dini na Imani. It's none of that
Mimi na wewe tuna mtazamo sawa.Tunafanana mtazamo.
Mimi siendi kanisani miaka mingi Sasa.
Sijinasibishi na dini yeyote.
Naamini Mungu yupo.
Namuomba Mungu kwa wakati wangu kwa faragha.
Siogopi kuzikwa bila ibada ya wafu inayoendeshwa na watu wa kanisa.
Sadaka na zaka zangu natoa kwa mtindo wa kuwasaidia wenye uhitaji pale tu ninapokuwa na nafasi ya kufanya hivyo. Siyo kukamuliwa kilazima kanisani au na watu wa jumuiya ndogo za kikanisa.