Sio Mungu tu tuliyemkataa

Sio Mungu tu tuliyemkataa

ugumu wa maisha kutokana na sababu mbalimbali kama vile uvivu n.k,
hufanya wengi nyakati hizi kukata tamaa kabisa ya maisha na kuacha hata imani zao za kidini, huku wakidhihirisha ukengeufu wao kwa kujipiga kifua na kujivika usomi ambao pia, kwa mtazamo wa kawaida kabisa hata hauonekani kwenye wanachojaribu kukiamini baada ya kuasi imani zao za awali. Zaidi sana, kinachoonekana ni ujanja ujanja tu usioeleweka kwa wanaohubiriwa.

kwani ukiwa na imani yako kwa Mungu au usipokua na imani kwa Mungu, kuna haja gani ya kuweweseka na kubabaika na wasiohangaika na una choamini au usicho amini? Si ukomae na maisha yako kwa amani na kusonga mbele kimya kimya tu na itapendeza zaidi?
Hicho ndo nilichokuwa na maanisha, but not in a toxic way, not in trying to make someone else believe.
 
Hii mada ni nzuri sana umeileta siku ya jumapil.
Naomba unitafsirie uliposema

"Sio Mungu Tu tuliye mkataa"​

 
Huyo uliyemquote sio mleta mada bali ni pacha wake,
Naona alisahau kulog out ili akujibu kwa ID aliyo shushia mada.

😀 😀
Mbona watu Huwa mnachukia nkiproviwa wrong? Mambo ya ID wapi na wapi?
 
Hata mie natafuta njia ya kuconnect na society kupitia kanisa..
Lakini ukiacha Hilo,Niko kinyume nawe.naamini Mungu yupo Tena ndani yangu licha ya yote nliyopitia na yanayotokea
Nliacha tu kwenda knaisani Kwa sababu zangu binafsi.lakini sijaacha kuongea na Mungu Mimi kama Mimi.
 
Hata mie natafuta njia ya kuconnect na society kupitia kanisa..
Lakini ukiacha Hilo,Niko kinyume nawe.naamini Mungu yupo Tena ndani yangu licha ya yote nliyopitia na yanayotokea
Nliacha tu kwenda knaisani Kwa sababu zangu binafsi.lakini sijaacha kuongea na Mungu Mimi kama Mimi.
It's okay, na hiyo ndo healthy belief.
Mimi ntaanza kwenda kanisani hasa Kwa ajili ya Mimi. Loved this❤️
 
Nimebahatika kuhudhuria ibada za madhehebu yote yanayopatikana Tz kasoro mashahidi wa yehova.

Nilichogundua makanisa ni sababu mojawapo ya umaskini kwa waumini wake.

Ni nadra sana kukuta mtu ni mgonjwa kanisani halafu kanisa likakusanya waumini kumchangia pesa ya matibabu au kumuhimizA aende hospital, zaidizaidi watamuombea na kumpa matumaini ya uongo! Baada ya hapo watataka mgonjwa atoe sadaka.

Kwanini waumini ni maskini, hohehahe halafu viongozi wao wanajiweza?
Makanisani wamejaa matapeli hakuna wachungaji wa ukweli.

Hasa kwenye dhehebu la walokole kumejaa watu wenye matatizo ya akili.
Naamini Mungu yupo lakini kanisani sikanyaji katuu kumejaa wanafki wa kidini.

Mchungaji anaogopa kufa kwa kusema ukweli! Maajabu
 
Kanisani kumetengwa viti vya mbele wanakaa wafadhili wa kanisa, waumini wanaojulikana wanajiweza kifedha viti vingine ndo mkae nyie mnaotoa michango jero.

Watu wanaoshindia mlo mmoja kwa siku haohao wanaambiwa wachange pesa mchungaji anunue gari la kutembelea.

Wachungaji hawana siri ukienda kwake kumshirikisha jambo lako asubuhi, jioni waumini wote washajua siri zako.
 
Kimsingi upo sahihi mkuu,usijali sana maoni ya watu juu ya ulichokiwasilisha,swala la uelewa ni la mtu binafsi,anachagua aelewe au asielewe,contrast ulizoziweka wengine ndo wanaziishi so ni ngumu wao kukupa approval na kukuelewa,bora ya wewe ambaye ushazijua,humu pia watu wanaishi Kwa makundi Mshana Jr anayaita cycle,so Mmoja akipinga hao cycle yake wote watapinga kama mandezi,by the way ni ujumbe mzuri Kwa tafakari ya asubuhi ya jumapili kuliko kuamka tu na kufakamia viporo!!!
 
Katoliki sadaka zinakusanywa zinapelekwa sijui vatican halafu zinasaidia maskini vichekeshoo!! Kwanini hizo sadaka zisianze kusaidia mitaji kwa waumini wasiojiweza hapohapo kwenye kanisa husika?

Walokole nao eti nyanyua mikono juu nikuombee ununue gari miaka nenda rudi hayo magari hatuoni wakinunua.

Kama maisha mazuri yanapatikana kanisani iweje wanaofanikiwa hawashindi kanisani?
 
Catholic-Voodoo Practitioner | Wicca & East African Traditions
Healing | Divination | Spiritual Guidance



Mwenye shida njoo inbox
 
Ume mprove wrong nani?
Unaweza kuonyesha hilo jambo ambalo umeliprove wrong ili na mimi nilione?
Kwa hiyo unataka nikwambie Nini hasa na unajua kinacho endelea.
Nimebahatika kuhudhuria ibada za madhehebu yote yanayopatikana Tz kasoro mashahidi wa yehova.

Nilichogundua makanisa ni sababu mojawapo ya umaskini kwa waumini wake.

Ni nadra sana kukuta mtu ni mgonjwa kanisani halafu kanisa likakusanya waumini kumchangia pesa ya matibabu au kumuhimizA aende hospital, zaidizaidi watamuombea na kumpa matumaini ya uongo! Baada ya hapo watataka mgonjwa atoe sadaka.

Kwanini waumini ni maskini, hohehahe halafu viongozi wao wanajiweza?
Makanisani wamejaa matapeli hakuna wachungaji wa ukweli.

Hasa kwenye dhehebu la walokole kumejaa watu wenye matatizo ya akili.
Naamini Mungu yupo lakini kanisani sikanyaji katuu kumejaa wanafki wa kidini.

Mchungaji anaogopa kufa kwa kusema ukweli! Maajabu
Yes, that's your choice kutokana na mtazamo wako. Ila tambua generation zote Zina thrive because of a belief of connection. You're right Kwa perspective
 
Back
Top Bottom