Sio Mungu tu tuliyemkataa

Sio Mungu tu tuliyemkataa

Unamaanisha dini zina msaada katika kutengeneza jamii bora na highest social order au unatambua tu kwamba kuendelea kuwepo kwa kiwango kikubwa cha dini Africa kwa sasa ni matokeo ya hali yetu ya umasikini, maendeleo duni na kiwango kidogo cha social order?
Ni muhimu kuweza kutenganisha haya mambo mawili.
Yote ni sawa to some extent.
Ninacho maanisha ni kwamba dini sio issue, issue ni mzizi wa origin zetu, ukosefu wa elimu, na kufuata dhana na kuruhusi hizo dhana zituchanganye in a negative way. Yaani tunataka freedom ila Bado tunabishana freedom ni Nini!
Freedom haipo kwenye dini au siasa. Ipo kwenye misingi Bora ya jamii, ambayo haiwezi kudhuriwa na dini.
 
Mbona una attack mkuu? Nia yangu ni kuonesha application ya hiyo secular morality kwenye jamii iliyo progamiwa the opposite of it.

Hicho kitu unacho kuongelea kipo sahihi ndio, je application kwenye nchi zetu kinawezekana. Put into consideration jamii isiyo elewa hayo yote tunayoyaita secular morality... Jamii inaanzia family level.
Application haitokei siku moja hata huko Norway, Sweden, Denmark na Finland hawakuanza moja kwa moja kuwa walivyo leo. Wamepitia historia ndefu ya kuwa jamii za kidini.

Ila leo wameweza kuwa secular democracies.

Na sisi tuna nafasi nzuri sana ya kujifunza kwao tusipitie mamia ya miaka kama walivyopitia wao.

Tunaishi nao, tunawaona. Ni watu kama sisi tu.

Tatizo si kwamba hatuwezi kuishi maisha mazuri ya kuheshimu utu wa mtu kwa kufuata secular morality na human rights.

Tatizo hatuna nia, hatuna elimu, hatuna ustaarabu, hatuna utamaduni huo.

Tuna utamaduni wa kutaka mambo harakaharaka bila ya kufanya kazi ngumu. Tuna utamaduni wa kutaka matokeo kichawichawi tu kwa shortcuts.

Tukiuondoa utamaduni huo, tukiweka nia, tukiongeza elimu, hakuna tofauti kati ya hao northern Europeans na sisi.

There is nothing anatomically, biologically or genetically that is significantly different. The difference is cultural.

So, if the difference is cultural, kwa nini wao waweze na sisi tushindwe tukiweka nia na kubadilisha utamaduni?
 
Tatizo hatuna nia, hatuna elimu, hatuna ustaarabu, hatuna utamaduni huo.
That's what I meant. Right 👍

Tunabutamaduni wa kutaka mambo harakaharaka bila ya kufanya kazi ngumu. Tuna utamadunibwa kutaka matokeo kichawichawi tu kw shortcuts.

Tukiuondoa utamaduni huo, tukiweka nia, tukiongeza elimu, hakuna tocauti kati ya hao northern Eurooeans na sisi.
Je, unadhani haya yote chanzo ni dini au ni sisi na utamaduni tulio jijengea? We both know sio dini, dini ni kama kivuli cha kujifichia tukifanya hayo.. so the issue goes to culture not religion.

So, if the difference is cultural, kwa nini wao waweze na sisi tushindwe tukiweka nia na kubadilisha utamaduni?
Wewe mwenyewe umesema wamechukua miaka, embu jaribu kutathmini average education na moral level ya mtanzania wa kawaida. It's that even going to be possible? What if we stopped thinking of religion as a problem?

Wouldn't that make the prosses somehow easy, while the average ignorant citizen blindly follows religious doctrine with better approach?

Hapo unayoyasema ni kama kuwa delusional kuona how least possible inawezekana. We don't have the same history, we don't know their background na Bado what kind of governance led to that.
 
That's what I meant. Right 👍


Je, unadhani haya yote chanzo ni dini au ni sisi na utamaduni tulio jijengea? We both know sio dini, dini ni kama kivuli cha kujifichia tukifanya hayo.. so the issue goes to culture not religion.


Wewe mwenyewe umesema wamechukua miaka, embu jaribu kutathmini average education na moral level ya mtanzania wa kawaida. It's that even going to be possible? What if we stopped thinking of religion as a problem?

Wouldn't that make the prosses somehow easy, while the average ignorant citizen blindly follows religious doctrine with better approach?

Hapo unayoyasema ni kama kuwa delusional kuona how least possible inawezekana. We don't have the same history, we don't know their background na Bado what kind of governance led to that.
You cannot stop thinking of religion as a problem, because it is a problem.

Utakuwa na viongozi wabaya, unataka uwaondoe. Viongozi hao watashirikiana na viongozi wa dini kukuonesha mistari ya kitabu cha dini inayosema mamlaka yote ya kisiasa inatoka kwa Mungu. Na watu wanatakiwa kuwa watiifu kwa mamlaka, wasitake kuiondoa.

Rais Samia kasema hili a few days ago. Baada ya serikali yake kuua watu kibao kanukuu vitabu vya dini kasema utawala wote wa kisiasa unatoka kwa Mungu. Hivyo hamna budi kuukubali utawala wake tu, kwa sababu utawala wake ni mpango wa Mungu, basically.

Hapo utasemaje religion is not a problem wakati ndiyo inazuia uongozi bora?

Religion inazuia logical thinking, inaleta argument ya logical fallacy, ya argument from authority. Authority of God and religion.

Ukishajua kuwashikia watu akili na kusema Mungu kasema hivi, watafanya tu, whether unachotaka kufanya ni kizuri au kibaya.

Na politics zinatumia mwanya huu kutawala watu vibaya.

How is religion not a problem hapo?

I suppose unaweza kusema hiyo manipulation inaweza kutokea hata kwenye mifumo secular.

But that is a different category problem.

Kwa sababu kwenye mifuno secular tunaambiana kuwa hii ni mifumo yetu tu watu, tunaweza kuikosoa tunavyotaka. Mifumo yenyewe inaweka njia za kujisahihisha, demokrasia za kuondoa viongozi wabovu.

Mifumo ya kidini haina tolerance hiyo. Ukikosoa Biblia au Quran wewe umekufuru, unaweza hata kuuawa.

Inherrently hakuna room for self correction without risking your neck.
 
de Gunner Kama hujamsoma, msome Mwanafalsafa anaitwa Albert Camus. Ni existentialist (Nobel in literature laureate) aliyekuwa anafikiria sana masuala ya, absurdity, the meaning of life and how to live best.

Alichunguza sana hoja ya kutumia dini iki kupata maana katika maisha na kuishi vizuri, akaipindua na kuikataa hoja hiyo.

Kitabu chake kimoja kinachoichambua hoja hii vizuri ni "The Myth of Sisyphus"

images (1).webp
 
Ukishajua kuwashikia watu akili na kusema Mungu kasema hivi, watafanya tu, whether unachotaka kufanya ni kizuri au kibaya.
That's the saddest part, Kiranga
It's all mental japo pia ile point yangu ya cultural background unaisusa kimtindo.

Na ni kweli wanatumia dini kama kivuli, ila still it goes way behind, to our history.

Religion inazuia logical thinking, inaleta argument ya logical fallacy, ya argument from authority. Authority of God and religion.
Ni kweli because it's just a doctrine, tena a strong one, but ile point yangu ya illiteracy Kwa asilimia kubwa ya watanzania itawezaje ku catch up na hayo mabadiliko tuyatakayo kiranga? It's nearly impossible, not today or tomorrow. Na hao viongozi ambao nao wakitaka kuwa right, wanaishiwa kuuwawa? Most of these concepts na system za kupata secular democracy nyingi zipo nje ya upeo wa mtanzania wa kawaida, hawezi kujitetea, hawezi kuelewa

I suppose unaweza kusema hiyo manipulation inaweza kutokea hata kwenye mifumo secular.

But that is a different category problem.

Kwa sababu kwenye mifuno secular tunaambiana kuwa hii ni mifumo yetu tu watu, tunaweza kuikosoa tunavyotaka. Mifumo yenyewe inaweka njia za kujisahihisha, demokrasia za kuondoa viongozi wabovu.

Mifumo ya kidini haina tolerance hiyo. Ukikosoa Biblia au Quran wewe umekufuru, unaweza hata kuuawa.

Inherrently hakuna room for self correction without risking your neck.
Hapo umenena mkuu, and I know hizo secular ndo misingi Bora na Zina room for self correction. But as I said, that won't happen in this generation, the next and even after the next... It'll take years of not only wars, but reprogramming na hiyo ni mpaka wananchi wajue wanapigania Nini.

Lakini pia ukija ukiangalia hata mataifa yaliyo endelea, utakuja kugundua vita nyingi Huwa ni indegineously caused by watu wenyewe, na kujificha kwenye dini kama kivuli.

Dini pekee mara chache huwa sababu kamili ya vita; mara nyingi huingiliana na nguvu za kisiasa, kijamii, na kiuchumi.

"Vita ya Syrian Civil War ilianza zaidi kama maandamano dhidi ya serikali mwaka 2011, wakati wa vuguvugu la Arab Spring. Watu walikuwa wakilalamikia:
ukosefu wa uhuru,
ukandamizaji wa serikali,
rushwa,
uchumi mbaya.
Baadaye mgogoro uligeuka kuwa wa kijeshi na makundi mbalimbali ya kidini na kisiasa yakaingia. Ndipo tofauti za kidini (kama Sunni, Shia, Alawite) zikaanza kuonekana zaidi. Kwa hiyo dini ilikuja kuwa sehemu ya mgogoro, lakini si chanzo pekee cha mwanzo."

"Nigeria, hasa kaskazini, kuna migogoro inayohusishwa na kundi la Boko Haram. Hapa dini ipo wazi kwenye ujumbe wa kundi hilo, lakini wachambuzi wengi pia hutaja:
umasikini mkubwa,
ukosefu wa ajira,
elimu duni,
rushwa,
serikali dhaifu,
tofauti za kikabila na kikanda.
Kwa hiyo mazingira hayo huwafanya vijana wengi kuwa rahisi kuvutwa kwenye misimamo mikali." So it's more cultural and religion used as a weapon.

Anyways you're right too, depending on religion too ni kosa kubwa ila, tutafanyaje if the frog we are attacking goes beyond religion? Kutackle hiyo miziz bila kurisk neck is nearly impossible. Na inatakiwa iwe consistent hata Kwa miaka kumi ya vita tu.
 
de Gunner Kama hujamsoma, msome Mwanafalsafa anaitwa Albert Camus. Ni existentialist (Nobel in literature laureate) aliyekuwa anafikiria sana masuala ya, absurdity, the meaning of life and how to live best.

Alichunguza sana hoja ya kutumia dini iki kupata maana katika maisha na kuishi vizuri, akaipindua na kuikataa hoja hiyo.

Kitabu chake kimoja kinachoichambua hoja hii vizuri ni "The Myth of Sisyphus"

View attachment 3590404
I'll check it out.. thanks for recommending
Nimekiona sana. For years ila sikukisoma.
 
Sio kweli kwamba kila mtu anayeenda kanisani anaenda kwa sababu anahitaji social connection au emotional support.
Wengine wanaenda kwa moyo wao wenyewe cause wanaamini na wana conviction yao binafsi, hata kama wangekuwa peke yao, church wangeenda tu.

Kuna watu ambao hata bila marafiki bado wanaenda kwenye nyumba za ibada, pia kuna watu ambao hata wakitengwa na jamii au hata wakikossa social connections bado wanaendelea kuwa na faith.
Kwa hiyo usitoe conclusion kwamba watu wanaenda kwenye nyumba za ibada cause wanahitaji social connection zaidi kuliko doctrine.
Hiyo siyo universal truth ila ni interpretation yako tu based on experience yako mwenyewe.

Una assume kwamba watu wengi wanaendelea na dini kwa sababu ya social structure wakati, huo huo, kuna wengine ni deep believers wa kweli ambao wanaihitaji hiyo doctrine zaidi kuliko hata social connections.
Do you really know about Orthodox Christianity or Sunni Islam?

Lakini kwa upande mwingine, nafikiri uko sahihi tu, hasa hoja yako kwamba miaka ya hivi karibuni kuna ongezeko kubwa la isolation, loneliness, kupungua kwa social connections, na communities kuvunjika.
Lakini kwenda church siyo necessarily solution ya isolation au njia ya kupatta social connections.

Tunaona makanisani yanazidi kujaa kila siku lakini bado watu bado wako isolated na hawana social connections, kwa sababu mara nyingi haya huwa ni masuala ya kisaikolojia zaidi.
 
Kwa hivyo mtu akiwa ana ujumbe mzuri lakini anashindwa kuwasilisha vizuri.
Asiulizwe anamaanisha nini?
Kuomba ufafanuzi (clarification) lengo hasa kuondoa utata (ambiguity) na tafsiri tofauti (misinterpretation).
Ila wewe na mleta mada mmechukulia anakosolewa. Hilo nalo tatizo tena kubwa.
Hakuna sehemu nimesema asiulizwe,hakuna sehemu nimesema asikosolewe, nimesema apewe chance ya kueleweka(uamuzi binafsi),na Wala siamini kama watu hawajamuelewa humu,ni vile tu watu wengine wanapenda challenge za kijinga Ili kujionesha kuwa wako smart au kudogosha ufanyacho. Sababu baada ya kuelewa ndo utapata chance ya kuuliza penye utata,kujazia ujumbe wake,kupinga Kwa fact au kurekebisha chochote,fikiria mtu anaandika"Hueleweki",mwingine aje akucheke na kusema wewe ni mjinga straight, Huwezi sema hao watu wanakosoa au wanauliza,hao ni wanakukataa kabisa na watapambana huo Uzi wote uonekane ni wa kindezi tu,watu wanawelewa hadi mbuzi wao wasioweza kuongea itakuwa binadamu mwenzio?mbona Kiranga anatiririka nae tu huko? nyie ndo mnauelewa mpana zaidi ya huyo mwamba au?
 
Mwisho wa siku, labda maana halisi haipo kwenye doctrine zote tulizolazimishwa kuamini.
Labda ipo kwenye uwezo wa binadamu kuwa sehemu salama kwa binadamu mwingine.
Nahisi soon na mimi nitakua km Muhammed Ali (Cassius Clay) au muite Cassius X, siku nikikutana na Malcom X
 
mwenzio?mbona @Kiranga anatiririka nae tu huko? nyie ndo mnauelewa mpana zaidi ya huyo mwamba au
Mkuu, watu ignorant siku zote hupenda kusatisfy ego zao. Ignorance is bliss. Kuna kipindi niliamua kabisa to not give a *** about it.
 
Mkuu, watu ignorant siku zote hupenda kusatisfy ego zao. Ignorance is bliss. Kuna kipindi niliamua kabisa to not give a *** about it.
Amini Kwamba,ndio Maana sisi wengine tunapendq sana kusoma kuliko kuandika ni vile tunajua matatizo ya akili ni mengi mtaani na watu wenye common sense sikuhizi ni outnumbered,na kwenye haya majukwaa ni sehemu zao za kupunguza sumu,unaweza kujikuta upo kwenye ligi na mtu na hata usijue sababu za msingi ni zipi!!!
 
Sio kweli kwamba kila mtu anayeenda kanisani anaenda kwa sababu anahitaji social connection au emotional support.
Wengine wanaenda kwa moyo wao wenyewe cause wanaamini na wana conviction yao binafsi, hata kama wangekuwa peke yao, church wangeenda tu.

Kuna watu ambao hata bila marafiki bado wanaenda kwenye nyumba za ibada, pia kuna watu ambao hata wakitengwa na jamii au hata wakikossa social connections bado wanaendelea kuwa na faith.
Kwa hiyo usitoe conclusion kwamba watu wanaenda kwenye nyumba za ibada cause wanahitaji social connection zaidi kuliko doctrine.
Hiyo siyo universal truth ila ni interpretation yako tu based on experience yako mwenyewe.

Una assume kwamba watu wengi wanaendelea na dini kwa sababu ya social structure wakati, huo huo, kuna wengine ni deep believers wa kweli ambao wanaihitaji hiyo doctrine zaidi kuliko hata social connections.
Do you really know about Orthodox Christianity or Sunni Islam?

Lakini kwa upande mwingine, nafikiri uko sahihi tu, hasa hoja yako kwamba miaka ya hivi karibuni kuna ongezeko kubwa la isolation, loneliness, kupungua kwa social connections, na communities kuvunjika.
Lakini kwenda church siyo necessarily solution ya isolation au njia ya kupatta social connections.

Tunaona makanisani yanazidi kujaa kila siku lakini bado watu bado wako isolated na hawana social connections, kwa sababu mara nyingi haya huwa ni masuala ya kisaikolojia zaidi.
Haikuwa imebasa kwenye udini hasa, I know for a fact dini is just a cult. Ila nikijaribu kuangalia kiini Cha hayo yote na yanaenda deeper than religious layers. Ndo maana nikasema siye mungu tuliye mkataa. So this was just a philosophical pov na sio kutaka watu wawe attached na dini and so forth. Am not a religious believer but I thought of how it has been a trap to dealing with bigger issues facing society.

Una assume kwamba watu wengi wanaendelea na dini kwa sababu ya social structure wakati, huo huo, kuna wengine ni deep believers wa kweli ambao wanaihitaji hiyo doctrine zaidi kuliko hata social connections.
Do you really know about Orthodox Christianity or Sunni Islam?
Kuna utafiti unaonesha the root of all those religious conflicts, and I mean the major ones always begin from cultural roots. Religion inaingia kama kivuli tu. So dini unakuja kuona at deeper levels ni kama tool ya kuanza vita, but real issues ni power and seeking dominance.
 
nimesema apewe chance ya kueleweka(uamuzi binafsi),na Wala siamini kama watu hawajamuelewa humu
Usiwasemehe nafsi za watu kwa kudhania.
Mimi mmojawapo sikumuelewa nikashindwa kusoma andiko lake hadi mwisho ambako ndipo ameeleza nini anakusudia kusema.
Kwa muundo huo inawekana wapo wengine walifanya kama mimi.

Kumbe angeandika kwa namna ya ufupisho na uwazi, au kwa kirefu lakini akilenga hoja, kwa kufuata kanuni za uandishi (putting punctuation marks properly) ujumbe ungeeleweka karibu na watu wote.
It's hard to read and comprehend unintelligible message. You can barely finish reading two paragraphs in that case.
I think you know what I mean.
Msaidie mtu aboreshe anapokosea kwa kumuambia ukweli, siyo kumfariji au kumuacha aendelee na tatizo.
I can tell you, next time the OP will try to improve his writing skills.
 
That's the saddest part, Kiranga
It's all mental japo pia ile point yangu ya cultural background unaisusa kimtindo.

Na ni kweli wanatumia dini kama kivuli, ila still it goes way behind, to our history.


Ni kweli because it's just a doctrine, tena a strong one, but ile point yangu ya illiteracy Kwa asilimia kubwa ya watanzania itawezaje ku catch up na hayo mabadiliko tuyatakayo kiranga? It's nearly impossible, not today or tomorrow. Na hao viongozi ambao nao wakitaka kuwa right, wanaishiwa kuuwawa? Most of these concepts na system za kupata secular democracy nyingi zipo nje ya upeo wa mtanzania wa kawaida, hawezi kujitetea, hawezi kuelewa


Hapo umenena mkuu, and I know hizo secular ndo misingi Bora na Zina room for self correction. But as I said, that won't happen in this generation, the next and even after the next... It'll take years of not only wars, but reprogramming na hiyo ni mpaka wananchi wajue wanapigania Nini.

Lakini pia ukija ukiangalia hata mataifa yaliyo endelea, utakuja kugundua vita nyingi Huwa ni indegineously caused by watu wenyewe, na kujificha kwenye dini kama kivuli.

Dini pekee mara chache huwa sababu kamili ya vita; mara nyingi huingiliana na nguvu za kisiasa, kijamii, na kiuchumi.

"Vita ya Syrian Civil War ilianza zaidi kama maandamano dhidi ya serikali mwaka 2011, wakati wa vuguvugu la Arab Spring. Watu walikuwa wakilalamikia:
ukosefu wa uhuru,
ukandamizaji wa serikali,
rushwa,
uchumi mbaya.
Baadaye mgogoro uligeuka kuwa wa kijeshi na makundi mbalimbali ya kidini na kisiasa yakaingia. Ndipo tofauti za kidini (kama Sunni, Shia, Alawite) zikaanza kuonekana zaidi. Kwa hiyo dini ilikuja kuwa sehemu ya mgogoro, lakini si chanzo pekee cha mwanzo."

"Nigeria, hasa kaskazini, kuna migogoro inayohusishwa na kundi la Boko Haram. Hapa dini ipo wazi kwenye ujumbe wa kundi hilo, lakini wachambuzi wengi pia hutaja:
umasikini mkubwa,
ukosefu wa ajira,
elimu duni,
rushwa,
serikali dhaifu,
tofauti za kikabila na kikanda.
Kwa hiyo mazingira hayo huwafanya vijana wengi kuwa rahisi kuvutwa kwenye misimamo mikali." So it's more cultural and religion used as a weapon.

Anyways you're right too, depending on religion too ni kosa kubwa ila, tutafanyaje if the frog we are attacking goes beyond religion? Kutackle hiyo miziz bila kurisk neck is nearly impossible. Na inatakiwa iwe consistent hata Kwa miaka kumi ya vita tu.

Sisemi kuwa dini ni chanzo cha kila tatizo, nasema ukiwa na mfumo wa dini unakuwa na tatizo lisiloepukika la logical fallacy ya argument from authority, na siasa zitatumia dini kupitisha ujinga wowote.

Point ya culture hata mimi nimeisema. Ni kitu kigumu kubadilika mara moja lakini mabadiliko yanawezekana.

Inaonekana unaamini mabadiliko hayawezekani.

Msimamo huu una pande mbili.

Pande hizo zinategemea nia.

Bila ya watu kuwa na nia, uko sawa, mabadiliko hayawezekani.

Lakini, nia ikiwepo, hata ndani ya miaka 30 tu mabadiliko yanawezekana.

Tatizo ni nia.

Wewe angalia sasa hivi kupata knowledge imekuwa rahisi sana, kila kitu kinapatikana mitandaoni.

Lakini Watanzania wengi wanafanya nini mitandaoni? Wanatafuta knowledge? Wanafanya free courses online? Wanajifunza Kiingereza ili kuwasiliana na dunia? Wanatafuta kazi za mitandaoni online? Wanafanya biashara za mitandaoni? Wanabadilishana ujuzi na watu wanaooambana na serikali zao kama wao huko Bangladesh na kwingine?

Granted, a bit of this may sound like blaming the victim. I realize that. But when do we reject this victimhood and do sonething?

Kiukweli wanaotumia mitandao hivyo ni wachache. Wengi wanaangalia matako, wanashabikia mpira, wanafuatilia umbeya wa wqsanii na influencers, wanadanga, na kupiga siasa za kulalamika bila kifanya chochote.

Hawana nia ya kubadilika, wameridhika.
 
Usiwasemehe nafsi za watu kwa kudhania.
Mimi mmojawapo sikumuelewa nikashindwa kusoma andiko lake hadi mwisho ambako ndipo ameeleza nini anakusudia kusema.
Kwa muundo huo inawekana wapo wengine walifanya kama mimi.

Kumbe angeandika kwa namna ya ufupisho na uwazi, au kwa kirefu lakini akilenga hoja, kwa kufuata kanuni za uandishi (putting punctuation marks properly) ujumbe ungeeleweka karibu na watu wote.
It's hard to read and comprehend unintelligible message. You can barely finish reading two paragraphs in that case.
I think you know what I mean.
Msaidie mtu aboreshe anapokosea kwa kumuambia ukweli, siyo kumfariji au kumuacha aendelee na tatizo.
I can tell you, next time the OP will try to improve his writing skills.

Usiwasemehe nafsi za watu kwa kudhania.
Mimi mmojawapo sikumuelewa nikashindwa kusoma andiko lake hadi mwisho ambako ndipo ameeleza nini anakusudia kusema.
Kwa muundo huo inawekana wapo wengine walifanya kama mimi.

Kumbe angeandika kwa namna ya ufupisho na uwazi, au kwa kirefu lakini akilenga hoja, kwa kufuata kanuni za uandishi (putting punctuation marks properly) ujumbe ungeeleweka karibu na watu wote.
It's hard to read and comprehend unintelligible message. You can barely finish reading two paragraphs in that case.
I think you know what I mean.
Msaidie mtu aboreshe anapokosea kwa kumuambia ukweli, siyo kumfariji au kumuacha aendelee na tatizo.
I can tell you, next time the OP will try to improve his writing skills.
Thanks and working on your advice.
 
Sisemi kuwa dini ni chanzo cha kila tatizo, nasema ukiwa na mfumo wa dini unakuwa na tatizo lisiloepukika la logical fallacy ya argument from authority, na siasa zitatumia dini kupitisha ujinga wowote.

Point ya culture hata mimi nimeisema. Ni kitu kigumu kubadilika mara moja lakini mabadiliko yanawezekana.

Inaonekana unaamini mabadiliko hayawezekani.

Msimamo huu una pande mbili.

Pande hizo zinategemea nia.

Bila ya watu kuwa na nia, uko sawa, mabadiliko hayawezekani.

Lakini, nia ikiwepo, hata ndani ya miaka 30 tu mabadiliko yanawezekana.

Tatizo ni nia.

Wewe angalia sasa hivi kupata knowledge imekuwa rahisi sana, kila kitu kinapatikana mitandaoni.

Lakini Watanzania wengi wanafanya nini mitandaoni? Wanatafuta knowledge? Wanafanya free courses online? Wanajifunza Kiingereza ili kuwasiliana na dunia? Wanatafuta kazi za mitandaoni online? Wanafanya biashara za mitandaoni? Wanabadilishana ujuzi na watu wanaooambana na serikali zao kama wao huko Bangladesh na kwingine?

Granted, a bit of this may sound like blaming the victim. I realize that. But when do we reject this victimhood and do sonething?

Kiukweli wanaotumia mitandao hivyo ni wachache. Wengi wanaangalia matako, wanashabikia mpira, wanafuatilia umbeya wa wqsanii na influencers, wanadanga, na kupiga siasa za kulalamika bila kifanya chochote.

Hawana nia ya kubadilika, wameridhika.
Hivi mkuu unajua, it all begins on a primary level!? Kuna kitu kinaitwa generational trauma. This goes way deep, patterns of conditioning ambazo ni ma Karne ya programing. It ain't that simple, black Americans mpaka Leo inawatafuna. They're involved in addiction, gangs, dysfunctional families. Why? Not because ni dini, not because of illetracy(they're advanced). Angalia figures ambazo zinataka kuwainua weusi, they're killed when it starts to escalate.

Wanarithishana trauma, wanaishia kuwanufaisha weupe because they're still holding grudges of their ancestors. It goes so deep, Sasa uje Africa, ambako mtu unamwambia aangalie trauma anakwambia waachie wazungu. That's not illetracy, that's insane ignorance. Huyo mtu kukombolewa sio Leo, sio kesho na wala hata vizazi vitatu mbele.

Inawezwkana lakini strategy inabidi ianzie ngazi za chini sana, it needs a common ground, na haitachukua muda mfupi kama ulivyosema.

It's possible but not easy, also not going to be easy neglecting religion if that's what most Africans are attached to. But it is possible.
 
Hivi mkuu unajua, it all begins on a primary level!? Kuna kitu kinaitwa generational trauma. This goes way deep, patterns of conditioning ambazo ni ma Karne ya programing. It ain't that simple, black Americans mpaka Leo inawatafuna. They're involved in addiction, gangs, dysfunctional families. Why? Not because ni dini, not because of illetracy(they're advanced). Angalia figures ambazo zinataka kuwainua weusi, they're killed when it starts to escalate.

Wanarithishana trauma, wanaishia kuwanufaisha weupe because they're still holding grudges of their ancestors. It goes so deep, Sasa uje Africa, ambako mtu unamwambia aangalie trauma anakwambia waachie wazungu. That's not illetracy, that's insane ignorance. Huyo mtu kukombolewa sio Leo, sio kesho na wala hata vizazi vitatu mbele.

Inawezwkana lakini strategy inabidi ianzie ngazi za chini sana, it needs a common ground, na haitachukua muda mfupi kama ulivyosema.

It's possible but not easy, also not going to be easy neglecting religion if that's what most Africans are attached to. But it is possible.
I did not say it was easy.

Hata huko ambako kwa kiasi kikubwa wameweza walikuwa na matatizo kibao, tofauti yao na sisi ni kwamba wao waliweka nia kubadilisha mambo, mpaka wakauana huko kwenye ma French Reovolution. Ukisoma historia ya Uingereza unakutana na vita kibao, kina Cromwell mpaka wameondoa ufalme, Ulaya watu wamepigana vita mpaka kwenye The Thirty Years War ya 1618-1648 ikaleta The WWestphalia Treaty, iliyokuja kuweka mikataba ya kuwa na mipaka na nchi kuheshimiana vizuri, mpaka tukapata the modern nation state from that, mpaka League of Nations na hatimaye UN 1945.

Sisi hatujaweka nia hivyo. Yani hata tulivyoingia katika mifumo hii ni kwa kusombwasombwa na wimbi la dunia inavyoenda tu, kwa sababu na sisi ni watu tusiachwe nyuma. Lakini hatujashiriki kutengeneza mifumo, na mpaka leo hatushiriki, hata vitabu kuandika historia tunaandikiwa na wengine kwa kiasi kikubwa.

Kuna mtu mmoja anaitwa Samantha Powers, alikuwa balozi wa Marekani UN wakati wa Obama. Aliandika kitabu kinaitwa "The Education of An Idealist: A Memoir". Anaongelea tatizo la mtu mwenye ideals za kubadilisha mambo anapoingia katika mfumo na kukutana na matatizo ya kufa mtu kama unavyosema, anafanya vipi? Anakata tamaa na kusema matatizo haya hayawezekani kumalizika kwa sababu ni makubwa sana (huu mtazamo ameuita "admiring the problem") au anafanya kazi kubadilisha anachoweza?

Samantha Powers alikataa kwenda upande wa "admiring the problem", in fact alinifungua mcho kunionesha kuwa "admiring the problem" is a problem in itself.

We are supposed to solve the problem, not admire the problem.
 
I did not say it was easy.

Hata huko ambako kwa kiasi kikubwa wameweza walikuwa na matatizo kibao, tofauti yao na sisi ni kwamba wao waliweka nia kubadilisha mambo, mpaka wakauana huko kwenye ma French Reovolution. Ukisoma historia ya Uingereza unakutana na vita kibao, kina Cromwell mpaka wameondoa ufalme, Ulaya watu wamepigana vita mpaka kwenye The Thirty Years War ya 1618-1648 ikaleta The WWestphalia Treaty, iliyokuja kuweka mikataba ya kuwa na mipaka na nchi kuheshimiana vizuri, mpaka tukapata the modern nation state from that, mpaka League of Nations na hatimaye UN 1945.

Sisi hatujaweka nia hivyo. Yani hata tulivyoingia katika mifumo hii ni kwa kusombwasombwa na wimbi la dunia inavyoenda tu, kwa sababu na sisi ni watu tusiachwe nyuma. Lakini hatujashiriki kutengeneza mifumo, na mpaka leo hatushiriki, hata vitabu kuandika historia tunaandikiwa na wengine kwa kiasi kikubwa.

Kuna mtu mmoja anaitwa Samantha Powers, alikuwa balozi wa Marekani UN wakati wa Obama. Aliandika kitabu kinaitwa "The Education of An Idealist: A Memoir". Anaongelea tatizo la mtu mwenye ideals za kubadilisha mambo anapoingia katika mfumo na kukutana na matatizo ya kufa mtu kama unavyosema, anafanya vipi? Anakata tamaa na kusema matatizo haya hayawezekani kumalizika kwa sababu ni makubwa sana (huu mtazamo ameuita "admiring the problem") au anafanya kazi kubadilisha anachoweza?

Samantha Powers alikataa kwenda upande wa "admiring the problem", in fact alinifungua mcho kunionesha kuwa "admiring the problem" is a problem in itself.

We are supposed to solve the problem, not admire the problem.
You're right, ila I think mindset ndo Kila kitu.
Nikwambie tu ukweli, sio kwamba we are admiring the problem, we don't even know our background... As you said it's written for us by the very same people who want us trapped. Umeelezea vizuri sana kuhusu hizo history za nchi za wenzetu, but I assure you, Kuna watu wa amabao ni mababu zetu, one we look up for, they know nothing about this country rather alone what to believe is right.

Nakuelewa sana mkuu, you have a good point, but it's being delusional to start thinking about change, if there's no single chance almost 80 to 90 percent of the population knowing what change they're up to. Of course it's so possible if done correctly.

At the end of the day, we must accept what we can't change at the moment, should learn how to survive and thrive through it. Acceptance doesn't mean we can't change it, but knowing the battle has greater enemies beyond our control. Ni kama watumwa walio teswa Kwa Karne wakavumilia ili Leo sisi tuwe free. It's a process.
 
Back
Top Bottom