Sio Mungu tu tuliyemkataa

Sio Mungu tu tuliyemkataa

Katoliki sadaka zinakusanywa zinapelekwa sijui vatican halafu zinasaidia maskini vichekeshoo!! Kwanini hizo sadaka zisianze kusaidia mitaji kwa waumini wasiojiweza hapohapo kwenye kanisa husika?

Walokole nao eti nyanyua mikono juu nikuombee ununue gari miaka nenda rudi hayo magari hatuoni wakinunua.

Kama maisha mazuri yanapatikana kanisani iweje wanaofanikiwa hawashindi kanisani?
Emb naomba tuweke pembeni "ukanisa" na negativity. Tuangalie the bright side of it. Sio kwenda tu kabisa ambalo hakina mwelekeo, sio kufuata watu wanasemaje, sio kufuata Imani ya mtu mwingine. Ni kufika level ya kujua positive emotional, and spiritual aspects tuzipatazo.
 
Yes, that's your choice kutokana na mtazamo wako. Ila tambua generation zote Zina thrive because of a belief of connection. You're right Kwa perspective
Sio kila imani ni ya kuifata! Jifunze kuchanganua mambo tofauti na hapo kila siku utakua lile kundi linalowanufaisha wengine.
 
Emb naomba tuweke pembeni "ukanisa" na negativity. Tuangalie the bright side of it. Sio kwenda tu kabisa ambalo hakina mwelekeo, sio kufuata watu wanasemaje, sio kufuata Imani ya mtu mwingine. Ni kufika level ya kujua positive emotional, and spiritual aspects tuzipatazo.
Anza wewe kunitajia hizo faida za kwenda kanisani sababu mimi sijaziona.
 
Sio kila imani ni ya kuifata! Jifunze kuchanganua mambo tofauti na hapo kila siku utakua lile kundi linalowanufaisha wengine.
Halikuwa swala la Imani to begin with, wewe ndo umelileta
Anza wewe kunitajia hizo faida za kwenda kanisani sababu mimi sijaziona.
Mbona zipo kwenye mada.
 
That's the point. Halikua lengo langu kueleweka. Nimeweka contrast makusudi. Kila mtu aone which is which Kwa upeo wake
Hizo contrast ndizo hata Mungu kaziweka kwa kusudi la asili ili wenye upeo waelewe maana halisi ya kusudi la uwepo wao,duniani ni mahali pa kuelewa maana hata uwapo gizani,ni mahali pa makamnda wa roho kuzisoma alama za nuru katikati ya giza na kelele za dunia,wewe ni moja wapo wa kelele za dunia,wewe ni mojawapo ya walio gizani wakashindwa kuona misimbo ya kupita ili utoke vitani ukiwa salama…kila aina ya maisha unayoyajua yanahitimishwa na nukta ya kifo,bado huelewi kuwa huna udhibiti na jeuri ya kiburi chako? Any way utakapofumba macho jumla kamwe hautarudi kutusimulia utakacho kiona,ila utakuwa umeelewa kuwa Mungu ni hadithi ama chanzo cha uhai- kila siku kila kona ni misiba tu bado huna hofu kwamba angalau uitafute maana ya uwepo wako kabla hujafutwa katika orodha ya walio hai.
 
Mbona zipo kwenye mada.
Sasa hizo faida mbona hata serikali ikiwa bora unazipata?
Familia yako ikiwa bora mbona amani, ushirikiano utavipata?

Ukienda kanisani kumejaa watu wenye msongo wa mawazo na shida za hapa na pale wanachosaidiwa kanisani ni kupewa matumaini tu ambayo naipa jina tiba ya muda mfupi.

Ukitaka tiba ya muda mrefu boresha familia yako, mahusiano yako na jamii, serikali ikiwa bora huduma za afya zitakua nzuri na uchumi utakua bora watu hawatoenda kushinda makanisani kusubiria Mungu awabariki magari na nyumba.

Kwa wanaomuamini Mungu popote unaweza kusali sio lazima kanisani, muhimu ni mtu kua na matendo mema sababu matendo ndo yatakayokupeleka mbinguni na sio ulihudhuria kanisani mara ngapi.

Wajinga ndo waliwao...
 
Sasa hizo faida mbona hata serikali ikiwa bora unazipata?
Familia yako ikiwa bora mbona amani, ushirikiano utavipata?

Ukienda kanisani kumejaa watu wenye msongo wa mawazo na shida za hapa na pale wanachosaidiwa kanisani ni kupewa matumaini tu ambayo naipa jina tiba ya muda mfupi.

Ukitaka tiba ya muda mrefu boresha familia yako, mahusiano yako na jamii, serikali ikiwa bora huduma za afya zitakua nzuri na uchumi utakua bora watu hawatoenda kushinda makanisani kusubiria Mungu awabariki magari na nyumba.

Kwa wanaomuamini Mungu popote unaweza kusali sio lazima kanisani, muhimu ni mtu kua na matendo mema sababu matendo ndo yatakayokupeleka mbinguni na sio ulihudhuria kanisani mara ngapi.

Wajinga ndo waliwao...
Nakuelewa, ephen.
Kuna kitu kinaitwa spiritual fulfilment, when that is shattered, nothing really matters.

Kwenye huu Uzi nilitaka kuonesha kuwa, despite hizo development ambazo watu wanazi value, Bado Kuna mpasuko ndani, Bado watoto wanageuja kuwa mashoga, Bado familia hazina emotional bond, hakuna basis za malezi Bora, watu wanakuwa manipulated. Japo dini inachamgamoto zake, Kuna value, value ambayo ili sustain mababu zetu kuthrive,(hata zile Mila) ni form ya dini to some extent.

Ndo maana sija base kwenye negative impacts, it's not about following nani kasema Nini au dini imewafanyia watu. If everyone is pointing fingers Kwa watu wengine. Hiyo serekali yenyewe ndo na viongozi wake wabovu wanapata nguvu.
 
Hizo contrast ndizo hata Mungu kaziweka kwa kusudi la asili ili wenye upeo waelewe maana halisi ya kusudi la uwepo wao,duniani ni mahali pa kuelewa maana hata uwapo gizani,ni mahali pa makamnda wa roho kuzisoma alama za nuru katikati ya giza na kelele za dunia,wewe ni moja wapo wa kelele za dunia,wewe ni mojawapo ya walio gizani wakashindwa kuona misimbo ya kupita ili utoke vitani ukiwa salama…kila aina ya maisha unayoyajua yanahitimishwa na nukta ya kifo,bado huelewi kuwa huna udhibiti na jeuri ya kiburi chako? Any way utakapofumba macho jumla kamwe hautarudi kutusimulia utakacho kiona,ila utakuwa umeelewa kuwa Mungu ni hadithi ama chanzo cha uhai- kila siku kila kona ni misiba tu bado huna hofu kwamba angalau uitafute maana ya uwepo wako kabla hujafutwa katika orodha ya walio hai.
Kwanini Imani isiwe jambo binafsi. Je ni Mungu Gani unayemwongelea hapa?
 
Sio kila imani ni ya kuifata! Jifunze kuchanganua mambo tofauti na hapo kila siku utakua lile kundi linalowanufaisha wengine.
Ungeelewa kuwa hii post ni kama fumbo, ni kama muamsho, wala usinge jikita kwenye dini na Imani. It's none of that
 
Back
Top Bottom