First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
i see...
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
Mim simupiemu mutu,na mutu ikinipiemu simujibu nukuta
Hahaha!! Kama muheshimiwa utafika.
Nashukuru Mungu nimepona kabisaaaa,asante kwa kunijulia hali...... kwani unataka kuja pm?(joke)
shemu kumbe wewe hujui mambo ya huko eeh?
Tumshukuru Mungu kwa zawadi ya afya njema... Haaa nataka nije pm.. ila ngoja niende kugombea ubunge ili niwe mheshimiwa
Mbona wewe hujani PM?
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
Ameen, ...yani hapo utakuwa umefanya la maana sana maana pochi kwanza mengine badaye lolz
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
Haaaa hapa Nina za bunge la katiba sijui zinatosha au tuongeze ongeze!!
Nifundishe basi jinsi ya kuingia huko PM name nikajionee mwenyewe.
Shem ata sijui sana, kumbe sio kuzuri ivo????
Mmmmh kama hvo basi ni shidaaaaah !!
basi ntakuwa nakusalimia miss neddy